Sirudii tena kuelewesha BOGUSMkataba mbovu upi?
Weka hapa hicho unachosema kibovu.
Hio kampuni imewekeza bandari zaidi ya 40 duniani.
Hivi we kwa akili yako ya kipadri kampuni yenye sifa mbaya itaweza kuwekeza nchi zaidi ya 40 tofauti duniani?
We najua unatetea kanisa hapa lkn kuwa ukijua Tanzania sio nchi ya upako.
Au Vatican.
Ni nchi yenye wananchi milion 60 na zaidi. Na wote wako chini ya serikali ya jamuhuri sio Kanisa.
Acheni serikali ifanye kazi yake bila kuingiza chuki zenu za kurithi zisizo na faida kwenu wala kwa watoto wenu.
Nakala aipate FaizaFoxyKwa kweli kanisa limetuwakilisha vizuri sana Watanzania kuliko serikali yetu.
Wewe nani hata usiwasilize unaowaongoza?!
Kanisa tunaomba msiishie tu kutoa maoni.
Hapo ndipo kwenye hoja kuu. MgawanyoUnless wewe ni mtusi au mhutu kiswahili nilichoandika hapo juu kiko wazi.
Mapadri na wachungaji ni fitna kubwa ktk hii nchi.
Wanapenda sana kujitia kiherehere kwenye maamuzi ya serikali.
Waislamu kwa upande mwingine huwezi kusikia wanaingilia kazi za serikali.
Sasa nani anaeleta udini hapa nchini?
Sio hurudii.Sirudii tena kuelewesha BOGUS
Tezi dume ikamtafunaMarehemu samwel sitta alidiss hizo nyaraka kiaskofu sijui madudu gani
Nimesema wewe BOGUS sikuelimishi tena baki na ujinga wakoSio hurudii.
Sema ulikuwa hujui na sasa umeelimishwa.
Paka shume wahedi.
Asiee ongeza nyama kwenye hii story presidential jet kuzuiliwa??!!! Hapa umekatisha uhondoWewe pambania Dini iliyotoa kiongozi aliyeratibu rushwa Hadi presidential jet kuzuiliwa na watoa rushwa!! Urais umeghoshiwa
Wameongwa?na hawa wamehongwa?!!
Punguza umbeaAsiee ongeza nyama kwenye hii story presidential jet kuzuiliwa??!!! Hapa umekatisha uhondo
Sasa huoni kwamba watu wakipaza sauti kwenye agreement viongozi wetu watashtuka na kufanya maamuzi, kuingia mkataba wenye tija, nafikiri wanaokosoa pia wana hoja, wasikilizwe kwa manufaa ya Taifa letu.Mnachanganya mambo tupo kwenye agreement bado hatujaingia kwenye contract
🤣🤣Nimesema wewe BOGUS sikuelimishi tena baki na ujinga wako
BOGUS🤣🤣
Mdengereko unajiita The chief. Hii tunaita mwezi mchanga.
Have a nice day son.
Hili liko waziNichoamini ni kuwa hao maaskofu wametumia diplomasia sana kutoa huo msimamo wao lakini ukapuuzwa. Hawa maaskofu hawapendi kabisa kuja hadharani kutoa msimamo kama waliotoa leo lakini inaonekana kuna watu watakuwa walishupaza shingo. Kwa asieijua TEC ina wataalamu wa kutosha na huwa haikurupuki na watakuwa wamefanya utafiti wa kutosha na kutafuta taarifa za kutosha kuhusiana na huo mkataba halafu wakalinganisha faida zake na hasara zake mwisho ndio wakaja na hilo hitimisho la kuukataa huo mkataba.
Hapa naona SGR , na hizo bandari zingine ziwe za DPW na wanahisa wenzao wa Bongo Akina Nepe, febuari, Abdul, Patel,kikwao , kitulo, tuli na mumeweUsikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Hawa watu nchi yao inaitwa Vatican City ni nchi tajiri duniani kote usiwachezee hata huku Roma wanaogopa na hawaingilii siasa za nchi yeyote ila wanapoona waumini wao wanafanyiwa UfirauniLaiti ungejua kati ya wasomi kweny dini ni hao jamaa, iwe sheria, uchumi na mamb mengine!!
Wewe unahisi, Mkataba Huu, watanzania wanautaka??TEC ni chombo kikubwa sana. Kuja na tamko kama hili la kiujumla bila kuwa na takwimu na mwisho kuja na conclusion ya kutotidhia. Kusema kuwa Wananchi wengi hawaungi mkono, kwa takwimu zipi? Asilimia ngapi inapinga na ipi inakubali?
Hebu tuchukulie hoja ya kuwa lazima wengi wasikilizwe..vipi kuhusu hoja ya Kuanzishwa kwa vyama vingi ambapo wengi walipinga lakini serikali ikaridhia.