Sirudii tena kuelewesha BOGUS
 
Hapo ndipo kwenye hoja kuu. Mgawanyo
 
Wewe pambania Dini iliyotoa kiongozi aliyeratibu rushwa Hadi presidential jet kuzuiliwa na watoa rushwa!! Urais umeghoshiwa
Asiee ongeza nyama kwenye hii story presidential jet kuzuiliwa??!!! Hapa umekatisha uhondo
 
Kwa wale wanaopata shida kuelewa kifupi cha baadhi ya maneno kwa utambulisho wa maaskofu kirefu cha ufupisho huo ni Kama ifuatavyo:

1. O.F.M Cap (Order of Friars Minor Capuchin) - Shirika la Ndugu wadogo Wafransisko Wakapuchini.

2. ALCP/OSS (Apostolic Life Community of Priests in opus Spiritus Sancti) - Shirika la Kitume la kazi ya Roho Mtakatifu.

3. CSSp (Congregatio Sancti Spiritus) - Shirika la Roho Mtakatifu

4. OSA (Order of Saint Augustine) -Shirika la Mtakatifu Augustino.
 
Hili liko wazi

TEC Huwa sio ya maonyesho na kamera

Maana yake wamepuuzwa, wameamua Sasa na wao kuita waandishi.

Tunaelekea patamu

Kwa Sasa mafundisho yote Kila JPL yatakua ni Mkataba .


Kwa ufupi, Waislam ni wachache , kama wataitaka vita hii, basi wakiristo tupo tayari.
 
Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Hapa naona SGR , na hizo bandari zingine ziwe za DPW na wanahisa wenzao wa Bongo Akina Nepe, febuari, Abdul, Patel,kikwao , kitulo, tuli na mumewe
 
Laiti ungejua kati ya wasomi kweny dini ni hao jamaa, iwe sheria, uchumi na mamb mengine!!
Hawa watu nchi yao inaitwa Vatican City ni nchi tajiri duniani kote usiwachezee hata huku Roma wanaogopa na hawaingilii siasa za nchi yeyote ila wanapoona waumini wao wanafanyiwa Ufirauni
 
Asante Wababa kwa Tamko lenu. Wananchi wengi wameukataa huu Mkataba. Tusubiri 2025.
 
Wewe unahisi, Mkataba Huu, watanzania wanautaka??


Kama Wana CCM wenyewe, hawautaki, vipi kuhusu Watanzania??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…