We umeuona huo mkataba?Hizo sifa zote ulizowamwagia hao DP World hakuna mwenye tatizo nazo, tatizo ni huu mkataba wa kihuni hapa kwetu fullstop.
Mi nadhani we utakuwa km sio mtoto wa askofu basi mmoja wa maaskofu ni partner wako.Ona hii takataka inachoandika NONSENSE
Naan wa kuwafutia? Thubutu!Huu ugali wa Viongozi (BANDARI) Yeyote atakayejaribu kuusogelea lazima akumbane na mkono wa chuma ikiwemo kesi ya Uhaini na Mapinduzi ya Mdomo. Mods mpo hapa embu rekebisheni apo ni Baraza.View attachment 2720868
Upuuzi mtupu.Unajisikiaje CHAWA na malaya wa kisiasa. Kanisa katoliki lenye wasomi limesema imeisha hiyo. Kwanamna yoyote kanisa takatifu likisema limesema na Tanzania lazima ifuate .
Ha ha ha ha ....CHAWAAAAAAUpuuzi mtupu.
Nilikuwa nakuona una akili ila nimegundua kuwa wewe ni mjinga sana? Kwa hiyo unataka kusema kuwa Tanzania inaongozwa na Roma?Waroma wana msemo kwamba "πΉπππ ππππππ, πͺππππ ππππππ" (π²πππππ π³πππππππ π³πππππππππ)
Najiuliza ni MWISHO wa DP world au Kuna excuses Tena ?
Naona na Kardinal wetu Rugambwa ameungana na wenzake kupinga mkataba
Britanicca
Upuuzi mtupu.Ha ha ha ha ....CHAWAAAAAA
Meza hiyo ni dawa
Hivi unaijua TEC wewe kweli??Huu ugali wa Viongozi (BANDARI) Yeyote atakayejaribu kuusogelea lazima akumbane na mkono wa chuma ikiwemo kesi ya Uhaini na Mapinduzi ya Mdomo. Mods mpo hapa embu rekebisheni apo ni Baraza.View attachment 2720868
Na huu ndio UOGA WA WAKRISTO.swala sio kuwekeza bandarini bali hoja hapa ni kuenea kwa dini nyingine na dini hiyo itawale humu tanzania
Wewe huna cha kuniambia mnalazimisha kataba BOVU nani analitaka hilo kataba BOVU nyie wezi wakubwa mliojificha kwenye kivuli cha udini PUMBAVU kabisa, unaambiwa mkataba MBOVU unaleta habari za udini nimeshakwambia sikuelimishi tena wewe MbumbumbuMi nadhani we utakuwa km sio mtoto wa askofu basi mmoja wa maaskofu ni partner wako.
Hapa sio jukwaa la wapenda nao. Hapa km huna hoja kaa pembeni soma hoja.
Sitak akili yangu uione wewe ndo imeisha hivo sasaNilikuwa nakuona una akili ila nimegundua kuwa wewe ni mjinga sana? Kwa hiyo unataka kusema kuwa Tanzania inaongozwa na Roma?
China nako Roma wakisema wamesema?
Nenda Saudi Arabi au Irani uwambie hivyo hivyo.Siasa na dini zitenganishwe.
Hawa maaskofu WAKAMATWE kama MWABUKUSI na WENZAKE.
Haiwezekani wapinge maendeleo ya NCHI.
Hizi ni kauli za kichochezi.