Correct me if I'm wrong
As far I know this was the first stages of the actual contract which was signed but not the full contract of what we have been discussing here.
Kumbe unakiri kuna saini wameweka si ndio?
 
Kwani wao waliposema inchi haitatawalika walikua na maana gani? Uliwahoji?
Unajua wakristo hawAapendi muislam aongoze so wanaanzisha chokocho then wanakimbia sasa kwa hili ndio na sie tumepata sababu
Kwani SSH ni muislam wa kwanza kuongoza Tanzania? Mbona hayo hayakutokea wakati wa Mwinyi na Kikwete? Msitafute sababu za kijinga
 
Kwa hiyo mnataka tufike huko?

Kama mnataka tufike huko, basi chanzo itakuwa sio hawa watakaofanya haya. Chanzo kitakuwa ni maamuzi mabaya ya serikali ya CCM na Rais Samia kuwapa Tanganyika yetu waarabu wa Dubai kwa njia ya walichokiita "mkataba wa kiuchumi kuboresha bandari..!!"

Kwa hiyo wewe Pohamba ni kwanini sasa usizuie maafa hayo (kama unayaona yanakuja) kwa kumwambia Rais Samia Suluhu Hassan na CCM yake kuachana na hii kitu na badala yake umshauri aje na namna bora, na shirikishi na ya wazi kwa mujibu wa sheria na katiba kwa manufaa ya wananchi wote ili kuboresha hicho wanachosema uendeshaji na usimamizi wa bandari zetu?

Ndugu yangu Pohamba hebu tuwe wakweli tu. Hivi ni sahihi kweli kudhani tunahitaji Mzungu wa Ulaya au mwaarabu wa Asia kuja kuwekeza kwenye usimamizi na uendeshaji wa taasisi zetu za umma kama bandari au TANESCO au TANROAD??

Kama ni hivyo, basi tunakosea target. Uwekezaji wa mitaji, utaalamu na kiteknolojia wa wazungu au waarabu hawa unatakiwa kuelekezwa kwenye taasisi hizi: Ikulu, Bunge, mahakama, polisi na TISS..!

Hizi zimesha prove failure ktk utendaji wake na ndiyo maana wanaibuka na mauchafu haya ya mkataba wa DP World. Zinahitaji kubinafsishwa Kwa wazungu au waarabu..!
 
Huyu ameshalewa mbege na kitimoto ni mlevi sawa na walevi wengine tu.

Huyu hafikii hata level za Malisa GJ sembuse baraza la maaskofu?

Hii ni takataka ya Lumumba tu, hakuna hata mmoja mwenye akili huko kazi yao ni uchawa tu.

 
Waraka umesomwa leo hapa kwenye Jumia ya Mt. Marcelino. Kila muumini moyo umesuuzika. Napita bar nipate kabisa
Ni jambo zuri kuwa umesomwa na pia ni jambo zuri sana kuwa kama muumini umesikiliza na pia ni sawa kabisa kuwa na umedhihirisha kuwa ni wazi kuwa haukoreligious kwa kuwa yaliyosemwa umeyasikia lakini unarudi mtaani unaenda bar na pia unaendelea na shughuli zako kule umeenda tu kama routine ila yanayosemwa huyazingatii laiti ungekuwa ni wa kuzingatia wala usingetoka kule na kwenda zako bar na hii ndio uhalisia wa hali ilivyo jamii yetu ya kitanzania iko less religious kwa sasa ktk kufanya mambo yake ya kila siku tuna ile identity tu kwa ajili ya masuala ya kijamii kama mazishi basi na masuala ya ndoa ila sio haya mengine.
 
Hajui kama hata Majesuits (The most Intelligence secrety Agency society) ni la Roma catholic anasahau ndo wanaongoza uchumi wa dunia for almost 90% anasahau hata nchi zq arabuni zilipogoma kuingia mikataba nao wengi walikipta cha moto na viongozi wao waliishia kuuliwa Hadharani ......

Ngoja nimkumbushe kama aa umri mkubwa lakini anakumbuka alivyokuja Papa John Paul 2 anajua ulizi wake ulivyikuwa ulinzi wke na intellijense yake ni zaid ya RAIS yyte duniani....
MIMI ni Muslim ila kwa ROMA huwa navua kofia
 
Kwa kifupi Vatican ndio walioanzisha dini ya kiislamu ili kuwa na influence middle east.
 
Jiulize Kwanini Maaskofu Katoliki huteuliwa na Baba Mtakatifu wa Dunia

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
Huu ndo utumwa wa fikra Waafrika tuliorithishwa tena ni sumu mbaya Sana huyo Papa ana utakatifu gani? Daah Binadamu tunashida unajua Asili na Historia ya Roman Catholic? Hizi ni biashara za Watu huyo kitima kakosea Sana kujifanya anatetea rasilimali zetu uku ana joho la wezi wanaotuibia kwa mgongo wa Dini dini gani chini ya jua? Mbona zil3 ruzuku 600B wanazopokea kila mwaka huku shule na hospitali zao zikitoza gharama Kubwa kwa Raia hawalizungumzii kama unyonyaji hatari zaidi kwa Taifa letu huu upumbavu Sana yaani kikundi Cha watu wenye maslahi yao wanataka kuleta machafuko nchini kwa kisingizio cha Dini flani nyonyaji Bora wangesimama Kama Watanzania na siyo kujivika joho la ukoloni wa tangu na tangu hao RC ndiyo hatari zaidi ya DpW.
 
Wakatoliki ndo hawataki mkataba na Dpworld kisa ni waarabu waislam...
Hakuna cha kasoro za mkataba zirekebishwe wala Mahakama imesema mkataba hauna shida...

Wako very very clear....
Only watu wajinga ndo watajifanya hawajaelewa
Vipi kuhusu vipengele kama hivi kwenye mkataba, wewe unavikubali?

14.7. Ibaraya 10: Usiri wa Mkataba ambapo Mkataba unazuia mamlaka nyingine kama TAKUKURU /BUNGE kufuatilia mikataba.
 

Hizo hoja ni za kuungaunga hazina mashiko yote yote

MAJIBU

Ibara ya 2(1).
Kutoendeleza bandari zozote sehem ya eneo la uwekezaji hii naunga mkono ni mwendawazimu pekee atakaekubali kuipa faida serikal huku serikal ikimpa upinzani mwekezaji. Mwekezaji awekeze mwanza north port kisha aipelekee serikali faida wakat huo huo serikal inawekeza Mwanza south port kile kilichowekezwa na mwekezaji north port. HUKU NI KUMFUKUZA MWEKEZAJI NA HAKUNA MWEKEZAJI ATAKAEKUJA KUWEKEZA SEHEM YENYE SHERIA ZA KIJINGA KAMA HIZO.

HAO TEC SI NDO WALISAINI MoU na serikal. SERIKAL IMESHINDWA KUJENGA HOSPITAL KUBWA KAMA BUGANDO HUKU MWANZA SABAB NI KULINDA MTAJI WA MUWEKEZAJI HUYO TEC KWENYE KICHAKA CHA PPP

Ibara ya 4.

Hii ni nchi ACHENI hisia za kidini.Kama hii ni kweli basi hao maaskofu ni watu wa kupuuzwa. Kuwataarifu Dubai juu ya fursa zilizopo Kuna ubaya gani. Dunia itajuaje fursa zilizoko Tanzania pasina kutaarifiwa. DUBAI ATAPEWA TAARIFA KAMA AMBAVYO MABALOZI WETU NA OFISI ZETU ZITAKAVYOTOA TAARIFA KWA NCHI NYINGINE

DUBAI WAKIVUTIWA NA FURSA ILIYOPO WATAFATA SHERIA ILI KUWEKEZA.

Ibara ya 5.

Wew na hao maaskofu acheni upotoshaji na muwe wazalendo kwa taifa lenu. Serikal imesema namna itakavyoshiriki kweny huo uwekezaji. Usalama utakua ni jukumu la serikal, TPA na TRA watakua pale,kama serikal itamonitor usalama ,TPA watakuepo ,TRA watakuepo nyiny mlitak ushiriki upi wa serikali?

Ibara ya 6.
Hapa mmeamua kutumia kiswahili kuwachanganya watu.

NANUKUU" Tanzania kuwajibika kuipatia DP World vibali na vivutio vya kutekeleza miradi yake kama Serikali. Hii inapingana na baadhi ya sheria za kiutaratibu."

Kutekeleza miradi yake kama serikal kiaje yani?

Inapingana na SHERIA za kiutaratibu kama zipi?

Ibara ya 7.
Mshazoea ukilitimba sas wew na hao maaskofu mlitaka mwekezaji acheleweshewe anachohitaji.

Ibara ya 8.
Haki ya kutumia ardhi kumbe ,kwaio mlitak asiwe na haki ya kutumia ardhi. TOFAITISHENI KATI YA HAKI YA KUTUMIA ARDHI NA KUMILIKISHWA ARDHI.

UNAPOPANGA SEHEM UNAHAKI YA KUTUMIA HIO SEHEM NA SIO KUMILIKI HIO SEHEM PERIOD !!

Ibara ya 10.

Siri gani tena jamani kwan bunge si limeujadiri huu tunaouita mkataba sas usiri gani tena bunge halitakiwi kujua [emoji23][emoji23]

Ibara ya 23$24.
Incase ingekua zinasema hauwez kujitoa hapo mngekua na hoja ila kusema kuna ugumu wa kujitoa ni swala la ajabu.Mkataba lazima uwe na vipengele vigumu kujitoa ili asije mtu mmoja kaamka asubui tu akavunja mkataba.

Mkataba umesema zitatumika SHERIA za kimataifa kama kutatokea shida.HAPO VIPI
 
Utakuta hata wanaoukubali mkataba hadharani wamewafata kisiri kuwaambia watoe tamka...Kwa jinsi hali ilivyo kun akitu nakiona huenda wale wanaosuport mktaba hadharani wanaupinga Kimya kimya na wanatumia sauti za watu wengine
 
TEC inayo nguvu kikatiba.... Nayo ni kutoa maoni.
Una lingine?
Tec ni kukundi cha watanzania wana haki yyte katika katiba kama watanzania wengine. Akuna mkenya wala mganda pale wote ni watanzania. Wana haki zote kwa sababu ni watanzania. Wana haki kikatiba maana ni watanzania
 
Hebu tuwekee hapa CV ya Profesa Lipumba.
We dokta wa mchongo hao wenzio wamesoma theology yaani kwa akili timamu kwamba hawajui hata kwamba TICTS wameoperate pale miaka zaidi ya 20.

Wanakuja kusema eti tangu uhuru hakuna muwekezaji alikuja kuendesha bandari๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…huoni kama ni "vilaza pro" means wanaongelea kitu hawana elimu nacho.


Huoni kwamba weny akili za miujiza hawaweza kujenga hoja na elimu yao ni takataka .!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ