imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Nenda kagoogle hiyo picha halafu njoo hapaUnabeba Mipicha ya SA kutoka Google unakuja kujitapa hapa jinga kabisa wewe 👉💩
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kagoogle hiyo picha halafu njoo hapaUnabeba Mipicha ya SA kutoka Google unakuja kujitapa hapa jinga kabisa wewe 👉💩
Bila kuitaja CHADEMA kinyeo kinakuwasha eenhe.
Unanionya kama nani au unafikiri mimi pia namuogopa Padre Kitima?Wewe ni jinga nilishakuonya hukutaka kusikia
Nilishakuonya hio Mipicha ya SA imejaa Google usitiletee habari zako 👉🚮Nenda kagoogle hiyo picha halafu njoo hapa
Nilikuonya kiistarabu ukajifanya unakaza fuvu unatuchukulia sisi viazi km weweUnanionya kama nani au unafikiri mimi pia namuogopa Padre Kitima?
Mimi ni Atheist sisikilizi la Shekhe wa la Padre
Wasingetoa huo waraka wangekuwa wametimizaje wajibu wao? Kwa jinsi serikali ilivyokuwa inageuza-geuza hoja, uamuzi wa mihimili ya Mahakama na Bunge kuunga mkono mkataba wa DP/URT, serikali isingewasikiliza wananchi wake, TEC wamewakilisha maoni ya wananchi, Mahakama na Bunge wameunga mkono serikali, na wananchi ndiyo wenye nchi, yapaswa wasikilizwe na waheshimiwe.Ni uongo kwamba TEC walikosa njia zote za kuufikisha ujumbe wao kwa serikali bila kuleta mgawanyiko katika taifa.
Suala la udini na ukanda tuwaachie CHADEMA, wao ndio wameharibu huu mjadala tangu mwanzoni kwa kuleta udini na ukanda,
Ni ajabu mbali na usomi wanaonasibishwa nao, hawa TEC wameshindwa kujua hadhira na hali ya kisiasa hapa nchini.
Hili suala lilishachukua mlengo wa wazanzibar na wabara, na pia mlengo wa kidini. Walipaswa kujua kulileta suala hili madhabahuni ni kuleta udini.
Ieleweke tu kukaa darasani sana sio kuelimika,
Mwisho ileweke kua TEC ni Wakatoliki haiwakilishi Wakristo wote
Nilishakuonya hio Mipicha ya SA imejaa Google usitiletee habari zako 👉🚮
Nilishakuonya hio Mipicha ya SA imejaa Google usitiletee habari zako 👉🚮
Rungwa Game Safaris is able to provide hunters with opportunities for exceptional quality trophies.


Sijawahi kutishwa na yeyote kamtishe padre KitimaNilikuonya kiistarabu ukajifanya unakaza fuvu unatuchukulia sisi viazi km wewe
Wewe bogus kuna mtu aliekutisha wewe mjinga unatuuliza maswali ya kizwazwa ututoe kwenye reli? Ntakuweka kwenye list ya MambumbumbuSijawahi kutishwa na yeyote kamtishe padre Kitima
Nimekuwekea source ya mapichaMipicha ya SA
Unaweka hii unamuuliza nani si uende ukaiulize Serekali yako uliyoiweka Madarakani? Wewe ni 👉💩Trophy Gallery - Elephant
Click on thumbnails for bigger images
https://www.rungwasafaris.com/images/elephant/3.jpg
Huna hojaWewe bogus kuna mtu aliekutisha wewe mjinga unatuuliza maswali ya kizwazwa ututoe kwenye reli? Ntakuweka kwenye list ya Mambumbumbu
Ndio nimeshakujibu unauliza maswali ya kitoto sana grow up acha kua km ZuzuNimekuwekea source ya mapicha
Umetumwa na Padre Kitima utuharubie mjadalaUnaweka hii unamuuliza nani si uende ukaiulize Serekali yako uliyoiweka Madarakani? Wewe ni 👉💩
Najua una ID nyingi umeamua hii ikipigwa Ban uje na nyigine huo ni utoto na kushindwa hojaNdio nimeshakujibu unauliza maswali ya kitoto sana grow up acha kua km Zuzu
Wewe umetumwa na nani Abdul?Umetumwa na Padre Kitima utuharubie mjadala