imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Ninaitetea Nchi yanguWewe umetumwa na nani Abdul?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninaitetea Nchi yanguWewe umetumwa na nani Abdul?
Tulia wewe nilishakuonya ukajifanya unakaza fuvu sasa acha nikupe spana zako wewe unatuletea maswali ya kindergarten humu jinga kabisaNajua una ID nyingi umeamua hii ikipigwa Ban uje na nyigine huo ni utoto na kushindwa hoja
Kawaulize uliowaweka Madarakani wakupe jibu nani amewapa kibari cha kufanya hivyo watakupa jibu sio unabwatuka tu km punguaniNinaitetea Nchi yangu
Jf ni jukwaa huruTulia wewe nilishakuonya ukajifanya unakaza fuvu sasa acha nikupe spana zako wewe unatuletea maswali ya kindergarten humu jinga kabisa
Huna hoja una maswali ya kitoto grow up unashusha credibility uliyonayo acha kuuliza maswali ya kizuzu utaonekana FalaJf ni jukwaa huru
Umeshindwa kuzijibu hoja zanguHuna hoja una maswali ya kitoto grow up unashusha credibility uliyonayo acha kuuliza maswali ya kizuzu utaonekana Fala
Kamuulize AbdulUmeshindwa kuzijibu hoja zangu
Haisaidii chochote niko na kwenye X njoo hukoKamuulize Abdul
Huo waraka ulikaa mezani kwa rais zaidi ya siku 10 bila majibu kuamua kuuleta hadharani ni hatua ya pili.. Hawakurupuki.. Subiri ya tatuNi uongo kwamba TEC walikosa njia zote za kuufikisha ujumbe wao kwa serikali bila kuleta mgawanyiko katika taifa.
Suala la udini na ukanda tuwaachie CHADEMA, wao ndio wameharibu huu mjadala tangu mwanzoni kwa kuleta udini na ukanda,
Ni ajabu mbali na usomi wanaonasibishwa nao, hawa TEC wameshindwa kujua hadhira na hali ya kisiasa hapa nchini.
Hili suala lilishachukua mlengo wa wazanzibar na wabara, na pia mlengo wa kidini. Walipaswa kujua kulileta suala hili madhabahuni ni kuleta udini.
Ieleweke tu kukaa darasani sana sio kuelimika,
Mwisho ileweke kua TEC ni Wakatoliki haiwakilishi Wakristo wote
👉🚮Haisaidii chochote niko na kwenye X njoo huko
Umeishiwa na hoja Mtumwa wa Wazungu
😂😂😂 Unahamisha magoli sasaUmeishiwa na hoja Mtumwa wa Wazungu
Wewe ndio umejaribu kuhamisha magoli😂😂😂 Unahamisha magoli sasa
Sawa tuweke nukta hapaWewe ndio umejaribu kuhamisha magoli
Lakini acha Bullying na matusi unaliharibu hili JukwaaSawa tuweke nukta hapa
Bullying zipi tena mkuu wewe si ndio umeanzisha hizo bullying au Mimi au sikukuonya kabla ukajifanya mwamba?Lakini acha Bullying na matusi unaliharibu hili Jukwaa
Sijakutukana hata kama you own this platform acha kiburiBullying zipi tena mkuu wewe si ndio umeanzisha hizo bullying au Mimi au sikukuonya kabla ukajifanya mwamba?