Tunamuomba Rais wetu pamoja na Serikali yetu kwa ujumla kamwe isibabishwe wala kuyumbiswa na kauli na waraka wa TEC.
Kilichopo kwenye waraka na unafiki na uzandiki ambao umekuwapo kwenye Baraza hilo kwa muda mrefu, nia na lengo la kukwamisha jitihada za Rais katika kufikia malengo.
Tunamuomba Rais afanye kwa masilahi ya wananchi sio maoni ya TEC.
Kilichopo kwenye waraka na unafiki na uzandiki ambao umekuwapo kwenye Baraza hilo kwa muda mrefu, nia na lengo la kukwamisha jitihada za Rais katika kufikia malengo.
Tunamuomba Rais afanye kwa masilahi ya wananchi sio maoni ya TEC.