Unaamka asubuhi bila akili yyteTunamuomba Rais wetu pamoja na Serikali yetu kwa ujumla kamwe isibabishwe wala kuyumbiswa na kauli na waraka wa TEC, kilichopo kwenye waraka na unafiki na uzandiki ambao umekuwapo kwenye Baraza hilo kwa muda mrefu, nia na lengo la kukwamisha jitihada za Rais katika kufikia malengo.
Tunamuomba Rais afanye kwa masilahi ya wananchi sio maoni ya TEC
Aliyaona hayo wakati akiwa nje ya madaraka..!! Yes, alikuwana nguvu, lakini si ya kumshinda aliyeko madrakaniMbona hakuibadilisha mnafiki mshenzi yule
Wa kupimwa akili wewe..!!Kazi ya kanisa ni ibada, maswala ya mikataba haiwahusu, haya makanisa ni lazima yakaelewa, Rais wa nchi sio mkatoliki, almost 70% ya watanzania sio wakatoliki kwaiyo huo waraka wao wala hauna faida yeyote. Mkataba utapitishwa na DPW watakuja kuweka mambo sawa kwenye bandari ya DSM, tumechoka na upuuzi wa hapo bandarini, kila jambo ni rushwa, watu wanaibiwa vitu vyao, mizigo inacheleweshwa, bidhaa zinaharibika.
Hawa mapadri wamekua wapuuzi kabisa siku hizi, walikua wapi kusema kitu juu ya watanzania walio kuwa wanapotezwa wakati wa magufuli walikua wapi kuongelea Tabia ya unyanyasaji ya Makonda na wenzake?
Wewe kauli yako ni nini?Tunamuomba Rais wetu pamoja na Serikali yetu kwa ujumla kamwe isibabishwe wala kuyumbiswa na kauli na waraka wa TEC, kilichopo kwenye waraka na unafiki na uzandiki ambao umekuwapo kwenye Baraza hilo kwa muda mrefu, nia na lengo la kukwamisha jitihada za Rais katika kufikia malengo.
Tunamuomba Rais afanye kwa masilahi ya wananchi sio maoni ya TEC
Maoni ya TEC siyo kwaajili ya maslahi ya wananchi?Tunamuomba Rais wetu pamoja na Serikali yetu kwa ujumla kamwe isibabishwe wala kuyumbiswa na kauli na waraka wa TEC, kilichopo kwenye waraka na unafiki na uzandiki ambao umekuwapo kwenye Baraza hilo kwa muda mrefu, nia na lengo la kukwamisha jitihada za Rais katika kufikia malengo.
Tunamuomba Rais afanye kwa masilahi ya wananchi sio maoni ya TEC
Naomba kwa heshima na taadhima nitofautiane nawewe.Binafsi sikuwa nimesoma huu waraka na nilikuwa mfuasi wa kuupinga huu waraka ila leo nikasema niutafute.
Nilichojifunza na sasa nauunga mkono huo waraka na Hakuna baya wala jambo la kidini lililoandikwa humo kama baadhi ya waislam wenye upeo mdogo wanavyodai. Jamaa wameandika facts tu na sio hiki msemacho nyie. Hawajataja Ukristo wala uislam. Sasa hili la kusema udini sijui limetokea wapi? Mapendekezo yao yametokana na kuupitia mkataba na kuonesha vifungu vyenye mapungufu ndani ya mkataba ambapo pia wadau wengi waliyasema.
Bro, ebu acheni blah blah.
Heri yako wewe mwenye kitu kichwani.Nilipoona 17 trillion nikajua amna kitu kichwani
Wanyarwanda tumejaa tele 😁Nimeanza kuwa na mashaka tena kuhusu uraia wako hapa.
Mwanzo kabisa nilipoanza kukusoma niliweka mashaka,; baadae nikadhani nilikosea, sasa unadhihirisha tena dhana yangu hiyo ya mwanzo ilikuwa sahihi.
Hata kama wewe ni raia wa hapa, ni wale wa kuokota tu, toka nchi jirani.
Ulichelewa kufika, watasomewa wili ijayoBaraza la Maaskofu Katoliki Tanzania wametoa waraka unaohusu Mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na DP World. Waraka huo umesomwa kwa baadhi ya Makanisa katika Parokia za hapa Nchini.
Je, kwa nini Majimbo/Parokia zingine hazijawasomea Waumini waraka huo?
Jana nikiwa safarini nimebahatika kusali Parokia mojawapo katika Jimbo la NJOMBE na sikuona au kusikia waraka huo ukisomwa isipokuwa nimekuja kusikia baadaye sana kutoka Majimbo na Parokia zingine.
Naomba ufafanuzi.
Kwa nini?
Bora Hangaya ana ka-masters!Kwa hyo udokta wao ni k.m wa chief hangaya
Nimefikisha ujumbe na kuutua mzigo wa dhana niliyokuwa nayo.Wanyarwanda tumejaa tele 😁