bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Wewe uwe muislamu usiwe muislamu hilo andiko liwe limenyooka ima iwe limepinda hiyo Bandari ndio hivo tena tayari imeenda poleni sanaMimi ni pia nikiri ni mwislam, ukisoma hilo andiko limenyooka na inaonyesha kabisa limechambuliwa na watu waliosom wakaelimika sio wale wakushamgilia kuwa mama ametuletea neema ukiwaambia kwenye mkataba imeandikwa wapi hawawezi kukuambia
Poleni sana Bandari ndio hiyo imeendaBinafsi sikuwa nimesoma huu waraka na nilikuwa mfuasi wa kuupinga huu waraka ila leo nikasema niutafute.
Nilichojifunza na sasa nauunga mkono huo waraka na Hakuna baya wala jambo la kidini lililoandikwa humo kama baadhi ya waislam wenye upeo mdogo wanavyodai. Jamaa wameandika facts tu na sio hiki msemacho nyie. Hawajataja Ukristo wala uislam. Sasa hili la kusema udini sijui limetokea wapi? Mapendekezo yao yametokana na kuupitia mkataba na kuonesha vifungu vyenye mapungufu ndani ya mkataba ambapo pia wadau wengi waliyasema.
Bro, ebu acheni blah blah.
Hapa tu unaonyesha ulivyo hapo upstairs. Pole sana!Acha ujinga wewe dunia iongozwe na watu wanaofira watoto wadogo makanisani . Mbona mnapenda kujidhalilisha namna hii?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hawa viumbe ni km panyabuku.Baraza lenyewe la mchongo. Mbona wakati wa magufuli hawakuwahi kutoka tamko lolote au wapo kwaajili ya kukosoa uongozi wa kiislamu Tu?
Hahaaaaa, hajawahi kuwagusa hao mitume wala maaskofu. Acha uongo wewe.Hawa viumbe ni km panyabuku.
Wakiona hamna mwewe wanatola mashimoni.
Magufuli alikuwa hataki ujinga, we km unajiita mtume au nabii malizana na kondoo wako waliopotea huko huko paroko.
Ukitoka nje kaa kimya au utapotea ghafla km mawingu ya kiangazi.
Mama Samia mpole sana ndo maana Kila kona Panyabuku wanaibuka.
Nani mzee magu?Hahaaaaa, hajawahi kuwagusa hao mitume wala maaskofu. Acha uongo wewe.
Nafikiri wakati wa Waraka wa Pasaka wa TEC na mzee wetu askofu Ngalalekumtwa wa Jimbo Katoliki Iringa ulikuwa hajazaliwa au bado ulikuwa Mtipindi unakamua maziwa ya Nguruwe.Nani mzee magu?
Mzee magu alikuwa hataki ujinga.
Hao mitume bandia walikuwa kimya km paroko ziko likizo. Kaondoka mzee wanaanza kujamba ovyo
Teh teh tehNafikiri wakati wa Waraka wa Pasaka wa TEC na mzee wetu askofu Ngalalekumtwa wa Jimbo Katoliki Iringa ulikuwa hajazaliwa au bado ulikuwa Mtipindi unakamua maziwa ya Nguruwe.
UongoHulijui Kanisa la Roma wewe, hao hata wakiamua leo huyo mama abduli kesho asepe atasepa ila hekima wanayo
Huku mbele ni wapi au mbele kuelekea gizaniTunamuomba Rais wetu pamoja na Serikali yetu kwa ujumla kamwe isibabishwe wala kuyumbiswa na kauli na waraka wa TEC.
Kilichopo kwenye waraka na unafiki na uzandiki ambao umekuwapo kwenye Baraza hilo kwa muda mrefu, nia na lengo la kukwamisha jitihada za Rais katika kufikia malengo.
Tunamuomba Rais afanye kwa masilahi ya wananchi sio maoni ya TEC.
Msabato masalia mwenyewe kutoka Tarime amesemaTunamuomba Rais wetu pamoja na Serikali yetu kwa ujumla kamwe isibabishwe wala kuyumbiswa na kauli na waraka wa TEC.
Kilichopo kwenye waraka na unafiki na uzandiki ambao umekuwapo kwenye Baraza hilo kwa muda mrefu, nia na lengo la kukwamisha jitihada za Rais katika kufikia malengo.
Tunamuomba Rais afanye kwa masilahi ya wananchi sio maoni ya TEC.
Kuna uongo nimeandika hapo?N
Hapa tu unaonyesha ulivyo hapo upstairs. Pole sana!
Udini sio mzuri, na si vizuri pia kupingana na serikaliHao sio masheikh ubwabwa hao, hawaja jaza kiarabu kichwani hao usisahau hilo.
Kwanini awaguse wakati walikua hamwambii kituHahaaaaa, hajawahi kuwagusa hao mitume wala maaskofu. Acha uongo wewe.
Tatizo shekeli za watu sasa!! atafanyaje!?suluhuuuuuu kuachana na Mkataba , hataki , atavunjika shingo