Binafsi sikuwa nimesoma huu waraka na nilikuwa mfuasi wa kuupinga huu waraka ila leo nikasema niutafute.
Nilichojifunza na sasa nauunga mkono huo waraka na Hakuna baya wala jambo la kidini lililoandikwa humo kama baadhi ya waislam wenye upeo mdogo wanavyodai. Jamaa wameandika facts tu na sio hiki msemacho nyie. Hawajataja Ukristo wala uislam. Sasa hili la kusema udini sijui limetokea wapi? Mapendekezo yao yametokana na kuupitia mkataba na kuonesha vifungu vyenye mapungufu ndani ya mkataba ambapo pia wadau wengi waliyasema.
Bro, ebu acheni blah blah.