Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uhusiano wowote kati ya uongozi wa juu wa Tanzania na Vatican-Rumi?Kwa kifupi serikali ya CCM hipo kwa sababu roma hawajai hikataa .
😃😀😆🤣😂😅😄😁🤣🤣😆😆TEC kufunguliwa kesi ya uhaini?
Haya ni matope sio akili. Akili haziwezi kukuongoza kuendelea kutenda makosaSerikali kugawa migodi kwa Wazungu kumbe raia walikubali na mkataba wa miaka 100 Buzwagi.
Soma kichwa cha habari hapo juu.Wewe ni lijinga.
Watu hatupingi Uwezo au ubora wa kampuni.
Watu Tunapinga kilichopo kwenye Mkataba.
Kila Mtanzania ana Dini, kwahiyo anapopinga swala hili, anapinga huku akiwa na Dini yake.
Wewe ulitaka mtu kabla ya kupinga, Ajikanae Hana Dini ndio apinge???.
Kwamba Mzee Butiku, Shivj, wasomi woooote Hawa wenye Akili na watu huru, Kwa pamoja, NI WAFIA DINI?.
hivi Unaakili, nyie waislam Huwa ni wapuuzi sana ,Kila kitu mnahusisha na dini
That one will never happen...! Wamekohoa kidogo tu Slaa kaachiwaHuu ugali wa Viongozi (BANDARI) Yeyote atakayejaribu kuusogelea lazima akumbane na mkono wa chuma ikiwemo kesi ya Uhaini na Mapinduzi ya Mdomo. Mods mpo hapa embu rekebisheni apo ni Baraza.View attachment 2720868
Thubutu. Wana ubavu huo?Huu ugali wa Viongozi (BANDARI) Yeyote atakayejaribu kuusogelea lazima akumbane na mkono wa chuma ikiwemo kesi ya Uhaini na Mapinduzi ya Mdomo. Mods mpo hapa embu rekebisheni apo ni Baraza.View attachment 2720868
Wewe ni MbumbumbuSoma kichwa cha habari hapo juu.
La pili onyesha wapi ktk huo mkataba kuna kibaya kwa taifa hili.
Usinambie Habari za shiva hapa. Huyo ni mmoja ktk vibaraka tu.
hapa tunajadili hoja ya MAASKOFU kuingilia kazi ya serikali.
Uzi ungesema Pengo kasema "blah blah blah au Gwajima kasema "blah blah blah.." basi tungewajadili PENGO NA GWAJIMA na sio UKRISTO. lkn kwa sababu Waliotamka kwa pamoja kuingilia kazi ya serikali ni MAASKOFU. basi lazima UKRISTO uwemo manake MAASKOFU sio wawakilishi wa waimba mchiriku hapa TZ . unless muwabadilishe kesho wawe chama cha siasa.
Ujinga mtupu, yaan Hadi mahakama inashangaaa ,mahakama inakubali madhaifu makubwa ya MkatabaSoma kichwa cha habari hapo juu.
La pili onyesha wapi ktk huo mkataba kuna kibaya kwa taifa hili.
Usinambie Habari za shiva hapa. Huyo ni mmoja ktk vibaraka tu.
hapa tunajadili hoja ya MAASKOFU kuingilia kazi ya serikali.
Uzi ungesema Pengo kasema "blah blah blah au Gwajima kasema "blah blah blah.." basi tungewajadili PENGO NA GWAJIMA na sio UKRISTO. lkn kwa sababu Waliotamka kwa pamoja kuingilia kazi ya serikali ni MAASKOFU. basi lazima UKRISTO uwemo manake MAASKOFU sio wawakilishi wa waimba mchiriku hapa TZ . unless muwabadilishe kesho wawe chama cha siasa.
Nani qnayelivuruga taifa kati ya CCM iliyouza bandari na Maaskofu wanaopinga huo ufisadi?Tanzania ni Secular Democracy hawa viongozi wa Dini wasilivuruge Taifa
Ndio Maana Wazungu wanazidi kuwa ma Atheist
Is that the best you can do? 🤣🤣Wewe ni Mbumbumbu
Waislam Huwa wamejaza udiniiiii sana vichwan ila akili hamna !!!.BAKWATA watakuna vichwa kwa hisia za udini, wanaweza kuibuka na tamko lao kuwa wanaunga mkono mkataba. Tayari kulikuwa na dalili kuunga mkono hata kama mkataba hauko sawa. Itakuaje nao wakaibuka kinyume na maaskofu? Hapa ndipo ilipo busara na hekima
Hatimaye leo nimeona comment yako [emoji7],upo goodBetter late than never
Mwanaume ROMA akizungumza; kesi imekwisha.Roma locuta; causa finita est.
Mbumbumbu usiniquoteIs that the best you can do? 🤣🤣
Upo za sikuBetter late than never
Kataba limekaa kama kesi ya Shamba...Sisi HATUTAKI limkatabaa la kishenzi, hatulitakiiiiii