Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Vp mashekhe zetu nao wanasemaje uko tunasubilia no tamko lao na Roma tumeskia
 
Kwani Dp world alishindanishwa na nani yeye ndio akaonekana anafaa kupewa Bandari zetu zote za Tanganyika ?

Kwani huyu Dp world atawekeza pesa ngapi ?, JMT itapata nini mgao kiasi gani ?

Kwanini mkataba hauoneshi ukomoo wa muda ?,,

Kwanini JMT iingie makubaliano na sehemu ya inchi na si inchi, Dubai si inchi ni kama jimbo tu ndani ya inchi ya United Arabs Emirates , . Je Leo hii ufaransa ikiingia makubaliano na mkoa wa Geita pasipo serekali kuu Chamwino kushirikishwa ,itakuwa sawa ?.

Kwanini Mwanasheria mkuu wa serekali hasemi chochote kuhusu huu mkataba , ni bubu kwani ,hajui kuongea au analinda ugali wa watoto

Kwanini chief mkuu anatoa tu mipasho , hanyooki moja kwa moja ,

Je kwanini huu mkataba unatetewa tu na chama pendwa na chawa wake tu ,kwanini wasomi na vyama pinzani haviutaki , ?

Kwanini bandari za Zanzibar hazipo kwenye huu mkata , huenda kuna umuhimu mkubwa wa kuwa
1. Serekali ya JMT
2.Serekali ya Tanganyika
3. Serekali ya Zanzibar au (ikiwezekana Unguja na Pemba iwe na hadhi ya mkoa tu kama ilivo kigoma au Mbeya )
 
Hao sio size yako mkuu, wamesikilizwa, Pole sana
Wamesikilizwa na nani?
Serikali ya Tanzania ifanye maamuzi kwa kusikiliza KANISA? Kesho mkipitisha sheria za wanamme kuoana km huko Vatican watanzania tuwasilize tu au !
We si unafahamu kuwa PAPA wa VATICAN karuhusu Ndoa za Jinsia moja?
Sasa leo serikali yetu ikianza kusikiliza Kanisa kweli tutakuwa salama hapa Nchini?
 
Waarabu wana historia chafu ndani ya nchi hii. Hata leo ukienda Sudan huko Darfur vikundi vya magaidi vya waarabu vinaendelea kuua waafrika ili kuwawezesha kutengeneza taifa la waislamu/waarabu pekee.

Huu mkataba ufutwe haraka. Hata kwa kulipa gharama sisi watanganyika tumeridhia.

acha kuandika utumbo na story za kwenye vikao vya Chibuku.
Sudan wanapigana waafrika
Hao waarabu wametokea nchi gani ya kiarabu kwenda kuua waafrika?
Kuna mwarabu gani Ana njaa ya kwenda kuua waafrika Sudani.
Tunajua domo mali yako na JF hakuna kiingilio lkn nina imani una mzazi. Sasa kuwa na adabu kusema uongo mbele ya watu wazima.
Tutakupiga laana sasa hivi we mtoto.
 
Roma mythology ndiyo inayovunja democracy hapa Tanzania,ndiyo inayotupa marais wa kiroma kila wakati na ambaye siyo mroma anaonekana hafai,
We need to change this attitudes! Quickly as soon as possible!
Ndio wanauza bandari na kumbambika watu uhaini?
 
Wamesikilizwa na nani?
Serikali ya Tanzania ifanye maamuzi kwa kusikiliza KANISA? Kesho mkipitisha sheria za wanamme kuoana km huko Vatican watanzania tuwasilize tu au !
We si unafahamu kuwa PAPA wa VATICAN karuhusu Ndoa za Jinsia moja?
Sasa leo serikali yetu ikianza kusikiliza Kanisa kweli tutakuwa salama hapa Nchini?
wewe mwenyewe na ufia dini wako wote umekimbilia kwenda kuishi ughaibuni kwenye taifa linaloruhusu haki za mashog. unadhani hatukujui ndg kahtaan?.
 
Duh ndio mmfika huku mkuu. Kisa tu waarabu. Mmwage Damu kwa ajili ya Dini😳😳😳😳
Kwani wao waliposema inchi haitatawalika walikua na maana gani? Uliwahoji?
Unajua wakristo hawAapendi muislam aongoze so wanaanzisha chokocho then wanakimbia sasa kwa hili ndio na sie tumepata sababu
 
Kwan nyie akina salama leku mnateseka sana niwambie kitu hii nchi ni ya kikristo na maasikofu ndo wenye sauti ya mwisho kama hamtaki fanyeni mnavojua halafu kama mama hataondoka akiendesha gari bila hata msaidizi
Ukristo upi sasa.
Wa kusali jumamosi kwa style ya kulia na kuimba?
Au kusali jumapili kwa kelele na nyimbo za bongo flavours?
Au kukataza wanamme kuoa manake ni watakatifu km Maaskofu na mapadri wa Kikatoliki?

Au kuruhusu wanamme kuoa kama wasabato na kina Gwajima.?
Au Ule Ukristo wa Vatican wa kuruhusu Ndoa za jinsia moja. ?
Au ule wa kuafungia kina Sister ndani kisha kuwakatalia kuolewa kisha wakipata mimba kwa jina la bwana warudishwe makwao manake pepo la ngono limewaangukia?

UKRISTO upi Unaosema hapa Tanzania iufuate manake Menu ya UKRISTO INA VITU VINGI MNO.

Tuchagulie UKRISTO MMOJA tuufuate Mkuu.
 
wewe mwenyewe na ufia dini wako wote umekimbilia kwenda kuishi ughaibuni kwenye taifa linaloruhusu haki za mashog. unadhani hatukujui ndg kahtaan?.
Kwani tatizo kuishi nchi zinazo ruhusu ushoga?
Tatizo ni mimi kukubaliana na sera hizo.
Na niko hapa kwa kazi ya kuelemisha ummah kuwa Ushoga ni dhambi.
Na Wengi wanaelewa na kuingia ktk Dini ya Kweli ya Kiislamu. Au we huoni kwenye mitandao namna wazungu wanavyo silimu?

Tanzania Imani pekee inayo ruhusu ndoa hizo ni UKRISTO.
Papa mwenyewe kwa kauli yake amekubali USHOGA.
Huyo Pengo atapingana na PAPA?

Sasa usipate tabu kijana.
Tuko huku kujaribu kusafisha huu uchafu wa sodomi.
 
Baada ya Tawi la kanisa (CHADEMA) kushindwa sasa wameamua kujitokeza wenyewe bila aibu kuonesha pingamizi zao ni huonekana sehemu ya mkataba kuwa ina maslai kwa Waislam(Japo wanazunguka waita Waarabu)
Ila ni kawaida yao licha ya MoU walizoingiaga na serikali sambamba na kupokea ruzuku
Shame!! Afu wanapendaga kujifanya watakatifu na kuamasisah upendo
Jinyonge mkuu. Wamekosoa mkataba hawajokosoa uislamu.
 
Mwanzoni watu walikua wanapinga uwekezaji kwa kivuli cha mkataba ila sasa dhamira kuu inaonekana wazi ukweli usemwe tu kinachopingwa kiuhalisia ni uwekezaji na si mkataba na TEC wamethibitisha hilo leo.
Unajilisha fikra zako hasi halafu unajifariji. Taabu kwelikweli.
 
Ujinga mtupu, yaan Hadi mahakama inashangaaa ,mahakama inakubali madhaifu makubwa ya Mkataba

Alafu lijinga limoja ma wahuni wenzio kisa ni wavaa visuruali vifupi, ndio uone Mkataba uko sawa ?.




Hata hukum ya Mahakama, sote tunajua ni Kwa sababu ya maelezo na kwakufanya Ivo ndo kabisaaaaa imezidisha motoo.
Tamka la TEK limeiokoa mahakama kutoka kwenye kifungo cha ccm
 
Vp mashekhe zetu nao wanasemaje uko tunasubilia no tamko lao na Roma tumeskia
Masheikh hawana kiherehere cha kuingilia kazi za serikali.
Hawana faida yyt na Bandari km walivyo nayo Maaskofu

Wanaingiza mamia ya containers kila mwezi kwa jina la kanisa.
Sasa wanaona akiwepo Mwarabu mwenye msimamo pale Bandarini Hawawezi kuiba tena au kupitisha container za Gongo kutoka ulaya wakidai Ni Damu ya Yesu. Au Silaha kutoka Vatican wakidai ni Nyama ya Yesu.
Hilo mwarabu hawezi kukubali. Wataumbuka.

Sasa wanapambana kufa kupona Mwarabu mwenye pesa nyingi asiehongeka au kununuliwa na kanisa asishike hio Bandari.

Issue sio Mkataba kabisa.

Issue ni wapi itapitia Damu ya bwana (Gongo) bila ushuru?
Wapi mashangingi ya mapadri yatapita bila Ushuru?
Wapi zitapita Container za silaha na mali za Haramu Bila kuonekana ?
 
Baraza la Maaskofu Tanzania kupitia kwa Katibu wa Baraza hilo Padri Charles Kitima wametoa tamko waliloliita Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu, ambapo kwa mujibu wa maelezo ya Padri Kitima Baraza hilo yaani Maaskofu kwa sauti moja wamekubaliana kutounga mkono uwekezaji wa Bandari akieleza kuwa "wanannchi wengi" hawaungi mkono hivyo wanamuomba Rais Samia kuingilia kati kwani Bunge limeshindwa kusimama na wananchi"

Binafsi nina mambo kadhaa yanayonipa mgagasiko na maswali mengi bila majibu.

1. TEC Wanasema kuwa wanasimama na wananchi walio wengi kupinga mkataba huu, HAWA WANANCHI WENGI WAMEWAPATA KWA NJIA GANI, WAMEFANYA WAPI UTAFITI, NA NI LINI WAMEFANYA UTAFITI HUO?

2.
Awamu iliyopita ilishuhudia uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu, chembechembe za Udikteta hata kufikia watu kuokotwa kwenye viroba LAKINI HAKUONEKANA YEYOTE Katika TEC KUSIMAMA NA "WANANCHI WALIO WENGI" KUKEMEA YALIYOKUWA YAKIENDELEA, JE TEC WALIKUWA VIPOFU, AU NI KWA SABABU ALIYEKUWA AKIONGOZA NCHI WANASALI PAMOJA "SALA YA BABA YETU"

3. Nini kimewafanya TEC Waamini kwamba Waumini wao wote au wengi wanapinga Mkataba wa Bandari? Vipi wale wanaounga mkono watawaweka kundi gani?

4. Dkt Slaa amewahi kunukuliwa akisema kuwa wakati akiwa TEC baadhi ya wasio waaminifu walitumia jina la Kanisa/TEC kuingiza magendo nchini, je kupinga Teknolojia ya kisasa na uwekezaji unaotaka kufanywa bandarini hauotoshi kutufanya tuhoji TEC wananufaika vipi na Bandari?

5. TEC wanaosimamia maadili walitoa Tamko gani pale ambapo Hospitali ya Kanisa ilipopeperusha bendera ya ya upinde inayotumiwa na wanaounga mkono vitendo vya usagaji na ushoga. Au ndio yaleyale ya wakala wa mabeberu


Mwisho: Kumekuwa na maneno yasiyo rasmi kuwa pale nchi inapoongozwa na asiyeswali sala ya "Baba Yetu" hawa Ti i Sii wamekuwa mstari wa mbele sana kutoa matamko tofauti na pale ambapo namba moja anapokuwa ni "mwenzao"

Wito wangu ni kuwa: Taasisi za Kidini zibaki katika kazi zake kwani ni rahisi sana kufarakanisha na kuigawa nchi kuliko wanavyodhani, nimewaza vipi kesho BAKWATA wakitoka hadharani na kusema wanaunga mkono mkataba, si tayari tunakuwa tumeigawa nchi kwa uzembeuzembe tu.

Kama TEC walikuwa kimya wakati nchi inapitishwa kwenye tanuru la moto na Chuma basi sidhani kama wana moral authority ya kusimama na kupinga miradi itakayoleta mageuzi makubwa kwa maendeleo ya nchi hii,

Au na wao TEC kuna mahali maslahi yao YAMEGUSWA?
Mataifa yote yalioangamia yalianza kupuuza kauli km hizi.
Hawa MAASKOFU wameshiba mali za haramu walizochuma miaka mingi sana sasa wananza kujamba hadharani wakidhani Sababu RAIS ni Muislamu watanyamaziwa manake wakiguswa watasema wanaonewa na Muislamu.

Hawa wanatakiwa kupigwa marufuku kabisa kuingilia kazi za serikali.

VATICAN imeruhusu NDOA ZA JINSIA MOJA. hakuna Askofu hata mmoja aliyejitokeza akapinga kauli za VATICAN.

Leo wanataka kutuchafulia nchi.
Wacha wawashe huo moto wao ndio watakuwa wa kwanza kupandisha magauni juu na kutoka mbio.
waislamu tumepigwa vita sana na mataifa mengi mno ya kikafiri but we still going strong daily.
 
Hawa jamaa wametudhulumu miaka mingi sana, sasa wakati wao umefika, asante sana Mungu kwa kuwafichua wanafiki na kutupa nafasi hii tukufu, tuitumie, harakati ziendelee sasa kimya kimya huku tukiwachunga mapandikizi, tunajua kabisa tunao huku wanaojifanya wenzetu kumbe maadui, yani wakae wakijua safari hii tumjipanga
 
Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Punguza hasira
Kuna PHD Masters za Ukweli sio kama hizi za kununua mtandaoni
Wanajielewa wametoa Tamko kama Kanisa na WaTanzania shida ipo wapi?
 
"Viongozi wa dini wakati wote tumekuwa na nia njema, inajitokeza tunaposifu (serikali) hapo tunakuwa wazuri lakini tunapokosoa tunaonekana watu wenye shida".- Padre Raymond Saba, 4/06/2018
 
Back
Top Bottom