the supporter
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 829
- 1,096
Kikatiba hakuna mahala imeandikwa kuhisiana na nguvu ya maaskofu ila uliwahi kujiuliza nguvu ya dini katika amani ya nchi zote duniani iko wapi? Uliwahi juwa kuwa viongozi wanapo kula kiapo huapa kwa kushika vitabu vitakatifu vya dini zao na sio katiba ya nchi? Uwahi jiuliza kwanini katika kila mihadhara ya raisi anapo ongea na wananchi kwenye jukwaa lake huketi pamoja na viongozi wa dini katika eneo husika na sio polisi na viongozi wajuu tu? Ulishawahi juwa kwanini raisi huwa ana fanya vikao na viongozi wa dini mbalimbali ikulu?
Haya ni maswali machache tu yanayo hitaji tafakuri yako mkuu,
Hili swala unatakiwa juwa dini ina sehemu kubwa sana kuwapa unafuu serikali yetu kwaku hubiri amani,utulivu na upendo ndio mana serikali ina weza kutoa matamko makali sana ila watu wakaendelea kuwa watulivu kupitia viongozi wao wa kidini wakiwasihi kupendana, kuwa wepesi wa hasira na kusamehe.
So unapo sema huelewi nguvu ya maaskofu iko wapi nadhani hukuwa umewaza kwa mapana zaidi, pia subiria matamko mengine toka dini mbalimbali na uwakika wanakuja na wao maana nyuma yao wanaongoza mamia na maelfu ya waumini waki wahubiria utulivu na upendo kwa niaba ya serikali leo hii wakipuzwa udhania itakuwaje?
"Mind spiritual and natural powers exist and your leaders know, but choose to ignore at a times."
Haya ni maswali machache tu yanayo hitaji tafakuri yako mkuu,
Hili swala unatakiwa juwa dini ina sehemu kubwa sana kuwapa unafuu serikali yetu kwaku hubiri amani,utulivu na upendo ndio mana serikali ina weza kutoa matamko makali sana ila watu wakaendelea kuwa watulivu kupitia viongozi wao wa kidini wakiwasihi kupendana, kuwa wepesi wa hasira na kusamehe.
So unapo sema huelewi nguvu ya maaskofu iko wapi nadhani hukuwa umewaza kwa mapana zaidi, pia subiria matamko mengine toka dini mbalimbali na uwakika wanakuja na wao maana nyuma yao wanaongoza mamia na maelfu ya waumini waki wahubiria utulivu na upendo kwa niaba ya serikali leo hii wakipuzwa udhania itakuwaje?
"Mind spiritual and natural powers exist and your leaders know, but choose to ignore at a times."