Jembeeee!
Asante ushimen..Mungu awatunze na awape maisha marefu yenye furaha na amani tele...[emoji257]
Mbona unazungumzia vitu viwili tofaut (kulegea maziwa ni tofauti na single mother)Na wanaotoa mimba je mnawaitaje?unakuta binti hana mtoto maziwa yashalegea,huko chini ndio usiseme
itakua kanalizibuaga vizuri lile tundu la chini.. kingine ni kua wengi wao hao wenye "mbavu" wanakua easily manipulated kiakili na hisia. ..Umenikumbusha kajamaa flani ukikaona kanapigaga mazoezi kana kakifua kama mlinzi wa yule msanii wanayemuitaga "dawimondu"
Sasa kajamaa kameoa single mother mdada ana watoto watatu kila mtoto na babake na hao watoto anaishi nao halafu baba zao wapo hapo karibu sijui kajamaa kanajiamini nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mimi bado sijaamini kuwa kweli ameambiwa haya manenoAhaaaaaaaaa wacha kutudanganya huyo sio mkeo.na kama ni mkeo wanaume acheni kuoa wanawake wanaowazidi vipato
Niliwahi kuwa na singo mama kila mara anamtolea mfano baba wa mtoto wake. Na hapo anataka ni muoe. Nika mpotezea mazimaUnatoka nyumbani kwako unaenda dukani kwa Mangi unaachagua soda iliyofunguliwa na kunywewa kisha ikasazwa? Hivi huoni kinyaa? Soda zilizo na vizibo mbona zimejaa dukani kwa Mangi? Una tatizo gani hadi unaamua kula makombo?
Single mama hana moyo wa kupenda tena. Hapo amekufanya wewe mwanaume kuwa mti wa kivuli cha shida zake za hisia, kiuchumi, kijamii, n.k. Wahenga wanasema "moyo wa mapenzi ni kama glasi, ukipasuka ufa wake hauzibiki". Maana yake kupenda hakujirudii mara mbili, hasa hasa mwanamke akisha zalishwa...ni kana kwamba moyo wa kupenda unatoka pamoja na mtoto kule leba.
Wewe mwanaume uliyekamilika na unajiamini unaanzaje kumuoa single mama?? Ona kinyaa ndugu yangu. Single mama alishapenda tayari na ndiyo maana akaamua kumpa yule mzazi mwenzie mpk akapata ujauzito. Si ajabu alimkuta bikra jamaa akaitoa, kisha akarudia na kurudia na kaurudia hadi mimba. Leo wewe mkolomije unaenda kuoa. Acha uzembe kwenye mapenzi.
Tafiti zinaonyesha kwamba mwanaume wanao oa masingle mama wako katika mojawapo ya makundi yafuatayo;-
--hawajiamini
--wanafuata maslahi
--ni washamba washamba Fulani HV
--waliruka stage ktk makuzi yao
WITO: raha ya soda ukute haijaonjwa
********** Mwenye mtazamo sawa na mwanzisha mada*********
Ushauri kwa waliooa Single Mothers
********** Mama yake amemkata asioe single Mother**********
********** Madhara ya mtoto wa kiume kulelewa na Single Mother**********
********** Kauli zilizowauzi waliokuwa kwenye mahusiano na Single Mothers**********
Jiwe lime kupata.Mfano wa Soda na Single mother wala haviendani na havina uhusiano wowote kwa kuwa soda ni kimiminika hakina hisia lakini huyo Single mother ni binadamu na ana hisia. NINGEKUWA MIMI NINGETENGUA KAULI NA KUOMBA RADHI.
Hujui amepitia wapi na mangapi huyo mama, wengine walitelekezwa, wengine wamefiwa na wapendwa wao ingawa kuna wengine walijitakia wenyewe n.k. Lakini hii haiondoi ukweli kuwa wanahitaji faraja na maisha lazima yaendelee mbele.
Wajibika Mama aishi.
Hicho kitu kinacho kupa mawazo ndio kitanzi chako kesho.Dah kama mi nmetokea kupendana na single maza m1,ni chuma hatar, bado hatujaanza mahusiano rasmi,nipo kwenye probation,.kwa uzur wa huyu dada sjui itakuaje,..na amenielewa kwelkwel,namii nimemuelewa,nshamtoa diner moja,mediteraneo pale,yaan mdada mzur had ananipa mawazo,nawaza kanielewaje hiv mtoto kama huyu,.sijapata jib,af inaonekana huko alikokua kulikua njema saana,yan ile saana,ila kuna kitu alikiongea,maana tulivotoka pale nkampeleka sehem nkamnunulia mwanae pizza ampelekee home,sasa kuna kitu akadokeza,ndo kinanipa mawazo kweli,niingie mazima au la..
duh!!!pole kwa jamaaSwaiba yangu wa karibu sana anaishi Mombasa but familia yake ipo Dar huwa anakuja once in a month!
Mke wake aliwahi kuzaa before marriage na bahati mbaya sasahivi mkewe na baba mtoto wake wa kwanza/ex wamerudiana kimya kimya na wanapasha viporo.
Swaiba yangu alikuwa haishi kuniambia kama kuna mtaalamu wa natural herbs nimconnect apate dawa za kupunguza kitambi sikumwelewa!
Kumbe mkewe hapendi kitambi na huyo baba watoto wake ana six packs mbavu nene.
Nilivyobahatika kumwona kwenye birthday ya huyo mwanaye ndipo nilipopata picture baada ya kumwona yule ex amejaza kifua na six packs za hawa vijana ambao mostly are jobless nikaconnect dots.
Ikanibidi nianze kufanya uchunguzu yakinifu nikaanza kujenga ukaribu na house girls wake nikapata some info though sikutosheka ikabidi niwe ninafatilia nyendo za huyu shemeji yangu ebhana sikuamini kuwa yule six packs analala mule mule ndani ya nyumba ya swaiba yangu na gari anatumia ya shemeji yangu.
Sio siri nimeumia sana but I can't manage to tell the truth to my friend.
Ninahofia nikimwambia ukweli;
1,Nitaharibu ndoa yao
2, Nitaharibu maisha yao
3, Nitaharibu maisha ya watoto wao
4, Nitasababisha vita kali sana.
Mnanishauri nini wadau juu ya huyu swaiba yangu?
Mimi ninawashauri msioe single mothers ambao baba zao wapo hai jamani hawa watu hawaachanagi jumla na baba watoto wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thank youUNAWEZA KUTAKA KUOA MWANAMKE ASIKUKATAE KWA SABABU YA SHIDA ALIZONAZO (HAPA INAWEZA KUWA UGUMU WA MAISHA, UPWEKE, KISASI CHA USALITI) AKAKUBALI LAKINI KATIKA UHALISIA HAJAKUPENDA TOKA MOYONI MWAKE ILE KUKUPENDA MPAKA KUFA. AKIONA KULE KWA ZAMANI PAME POA UNADHANI NINI KINATOKEA IKIWA WEWE HAJAKUPENDA KWA DHATI YA MOYO WAKE? ANAWEZA KUSHINDWA KUONDOKA MAZIMA ILA ATAONDOKA KWAKO KIHISIA, WE UTAMEGA NA MWINGINE ATAMEGA ZAIDI YAKO (ATAPATA MIMBA AU ATAKULA NA MALI ZAKO ZA JASHO KABISA). AT THE END LAZIMA UFE AU AFE AU ASEPE KWA MTU WAKE WA ZAMANI..........SHUKRANI SANA MWALIMU WANGU WA THEOLOGY ULIYESOMA HENRY MARTIN INSTITUTE KULE UHOLANZI
Asilimia kubwa ya wanawake walio like hapa ni single mamaMkuu, kuna tofauti kubwa kati ya "umalaya" na being a "single parent"
Kwaleo naomba niishie hapa...