Asikwambie mtu, halafu ubahatike sasa kukutana na single mother mwenye tako lake na kicmi kirefu mbona utajua kua hujui.[emoji16][emoji16]kumbe mashuhuda tupo wengi.
Nipo dear, mic u sana [emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590]
Happy valentine too.Happy valentine
Kibubu cheru cha Maldives kimefikia wapi
ndio njoo uniue
Tukapumzike mahali na hii valentineHappiest Valentine's day mkuu
So tuendelee kiwagegeda tuu bila kuwaoa...basi sawa wacha tufanye hivyoHizo.ndoa mnavyojoshaua nazo utafikiri ni oksigen bila ndoa watakufa....
Yaani wewe kwa ulimwengu wa sasa unategemea kuoa mwanamke ambaye hatombwiii na wanaume wengine😲😲😲😲Mtoa mada ni popoma tu...
Mwanaume bora kuwahi kutembea na kuishi katika ulimwengu huu nae si mwingine bali ni Mtume Muhammad (sala na amani ziwe juu yake) alioa mwanamke ambae alikuwa ni single mother tena aliyemzidi umri kwa zaidi ya miaka 15.
Na hakuna mwanamke katika wake zake aliyempenda na kumuenzi kama Bi . Khadijah. Na si hivyo tu bado alioa single mother wengine kama Mama Salama na Mama habiba...na wengineo ambao walikuwa ni wajane. Na pia alioa mwanamke bikra ambae ni Bi Aisha.
So hapa inatuonesha kuwa mwanaume una uhuru wa kuoa mwanamke yeyote yule ambae amevutiwa nawe iwe kwasababu ya Uzuri , mali, nasaba au dini yake. Hakuna limitation katika hilo. Mwanamke kama msaliti ni msaliti tu..unaweza ukaoa mwanamke ambae hana mtoto na bado ukakuta hana bikra na akawa anaendelea kufumuliwa na ma ex wake .
Mwanaume bora kulingana na vigezo vipi?Mtoa mada ni popoma tu...
Mwanaume bora kuwahi kutembea na kuishi katika ulimwengu huu nae si mwingine bali ni Mtume Muhammad (sala na amani ziwe juu yake) alioa mwanamke ambae alikuwa ni single mother tena aliyemzidi umri kwa zaidi ya miaka 15.
Na hakuna mwanamke katika wake zake aliyempenda na kumuenzi kama Bi . Khadijah. Na si hivyo tu bado alioa single mother wengine kama Mama Salama na Mama habiba...na wengineo ambao walikuwa ni wajane. Na pia alioa mwanamke bikra ambae ni Bi Aisha.
So hapa inatuonesha kuwa mwanaume una uhuru wa kuoa mwanamke yeyote yule ambae amevutiwa nawe iwe kwasababu ya Uzuri , mali, nasaba au dini yake. Hakuna limitation katika hilo. Mwanamke kama msaliti ni msaliti tu..unaweza ukaoa mwanamke ambae hana mtoto na bado ukakuta hana bikra na akawa anaendelea kufumuliwa na ma ex wake .
Hilo ndo tatizo yaani ukioa single maza hata kama yupo vizuri kitabia, ndugu na marafiki wanakuona umefeli kabisa au kama huyo single maza ana kiajira basi wanajua wewe umefuata ka mserereko kwa huyo mwanamke. Mimi mwenyewe nilimkimbia single maza niliyempenda kwa sababu ya kuogopa kudharaurika mbele ya jamii.Hello Wakuu
Nilikuwa na mahusiano na single maza mmoja tangu mwaka jana mwanzoni, huyu mwanamke nilikutana ane fb ye yupo Tabora.
Katika kuwasiliana na kuzoeana sana nikagundua ni single mama na mumewe alishafariki kwa ajali akamwachia mtoto wa kiume yup darasa la nne,
Ni mwanamke mpambanaji,anajielewa ana malengo mazuri tu na Maisha
Niliendelea nae nikawa mfariji wake kipindi cha msiba wa aliekuwa mzazi mwenzie, yeye yupo Tb mi nipo mkoa mwingine ,
Siku zikasogea hatimae tukakutana mkoani kwangu tukafanikiwa kufahamiana zaidi na kila mmoja kuweka hisia zake wazi kwa mwenzie
Kiukweli alikwepa sana kunipa utamu na kweli akafanikiwa,sikuwa na nia ya kumla na kukimbia ila ye ndo alikuwa anawaza ivyo
Nikaona okey sio mbaya akaniomba nimuoe! Sikumkatalia
Ila kadri nikilichakata lile suala naona litakwama tu sehemu, sio kwasababu kaninyima penzi lahasha wanawake ninao wengi tu ninawachakata,
ila yule single maza nilitokea kumwelewa tu na kumpenda kwa hali yake,
nilivyochakata ilo suala nikaona kikwazo kitakuwa kwa ndugu zangu tu, kila nikivuta picha dingi hatonielewa wala Mama acha hao Dada zangu wazaramo wale naona watanichana live
nikampa wazo tuzae then ndo mtoto atupe kiingilio cha kwenda kumtambulisha home, wazo halikumuingia hata,
Nikaona tofauti na hapo nitampoteteza muda,
nilikuwa nawasiliana nae kama dozi tunafurahi na kucheka kila siku, nikakata mawasiliano gafla bila sababu
kwa muda wa wiki tatu mfululizo ni kimya tu akipiga ntamwambia badae na iyo badae ndo kseho kutwa
Ikabidi anitafute analia nimwambie ukweli mi nikamchana live u uhusiano nimefeli mimi,
kama sikumuoa single maza huyu basi sioi tena singo maza
Atalia atakuwa sawa kuliko kumpotezea muda
Hiyo ndio akili bwana....unawapelekeaje wazazi wako mwanamke ambaye tayari wajubu walishamzalisha bwana. Nikuto thamini wazaziHilo ndo tatizo yaani ukioa single maza hata kama yupo vizuri kitabia, ndugu na marafiki wanakuona umefeli kabisa au kama huyo single maza ana kiajira basi wanajua wewe umefuata ka mserereko kwa huyo mwanamke. Mimi mwenyewe nilimkimbia single maza niliyempenda kwa sababu ya kuogopa kudharaurika mbele ya jamii.
Maneno ya kujifariji hayoNi heri uoe Single mother ijulikane na atakua na Adabu nawewe sababu unamtunzia mwanae nayeye umemheshimisha.
Kuliko kuoa ki binti hicho unachoona pisi kali ila tangu chuo kilikua kikitoa mgegedo ili ku clear supp, kilitoa mgegedo ili kufanyiwa homework na field report kutoka kwa wana, afu kametoa mimba 3, moja ya lecturer, moja ya mwana classmate na nyingine ya ex boyfriend wake.
So wewe unaona umeopoa kumbe umeoa mama wa maiti, kifupi wewe ni Baba wa kambo wa Maiti, k unaona inabana kumbe mwenzako anajua ameupiga mwingi hivyo huwa anaiunga kwa viungo vyote wanavyotangaza kina Joan na Kasuube cosmetic ashanunua uvumba, limao mpaka sabauni anaweka kunako ili ibane nawewe unaona ni bikra au alikua na ex 2 tu toka umpate.
Kifupi pole mdogo wangu bado hujaelewa vitu vingi.
Heshimu kila mwanamke, kuna mdada alishiriki tendo mara 1 au mara3 tu tena na mtu mmoja huyo huyo akapata na mimba na sasa ni single mother uki valuate mashine yake bado ipo sokoni mara 10 zaidi ya hako ka binti ukajuako wewe.
Mi wazazi wananichana live aisee ,yni hao ni sogea tukae eti nikamlipie na mahari seHiyo ndio akili bwana....unawapelekeaje wazazi wako mwanamke ambaye tayari wajubu walishamzalisha bwana. Nikuto thamini wazazi
Kabisa mi binafsi ntawaheshim nitawajali singo mm ila sitawaow periorManeno ya kujifariji hayo
Kwan huyo singo maza una uhakika gani kwamba hajawahi kutoa mimba?
sasa ikinyweka kidogo haishukiii!! ndo maana mnadanganywa ok! huyu kazaa watoto watatu! lkn mwngine hana mtoto kweli ila alitoa mimba saba! na kizazi kango'a utapiga mashine weeee olaaa!Bora iliyotumika kuliko uikute ipo nusu mwenzako kashainywa ubaya si chupa kutumiaka sna ubaya ni kuikuta soda umenyweka kidog
Kula bonge la like, haya ya mwisho umemaliza kabisa. Utakuta mtu kajaza jaza mabinti mimba alafu yuko hapa busy kuponda single mother.Mimi nimeogelea kwa ujumla wake, na nikiwa nina uzoefu wa kutosha tu katika maisha. Na hizo hoja alizotoa hapo juu, siyo lazima zitokee kwa kila mwanamke mwenye mtoto! Unaweza ukaoa mwanamke ambaye hana mtoto, lakini akawa na jamaa yake aliyempenda sana! Vipi hawezi kukudanganya?
Mwanamke wa maisha huwa anapatikana kwa mapenzi tu ya Mungu. Unaweza ukao single mother, na ukaishi maisha mazuri sana kuliko hata ya yule aliyeoa bikra! Na huu ndiyo ukweli mchungu.
Kinacho tusumbua wanaume ni wivu tu na kuto kujiamini! Hakuna kingine. Sisi tukifanya, huwa tunaona ni sawa tu. Akifanya mwanamke, tunajisikia maumivu mpaka kwenye mifupa.
usijidanganye tabia ni tabia tu!! unaweza kuoa ''new one'' tena Bikra lkn watoto wasiwe wako! tena wote!! hasa km unaishi bongo! mnapigiwa sana na wapemba nyie watu!! sometimes house boy wako!Singo Mother aiseeeeeeh hapana.
Wanajua ku pretend balaaa.
Kwa vijana wenzangu ukitaka maisha yako yarudi nyuma we ishi na single maza.
Yamenikuta najutaaa hata kuwasikia kwa kweli.