Mimi naoa Wingle mother ambaye kwanza hajui baba wa mtoto yupo wapi,na hajawahi kuwasiliana naye tangu wametiana mimba mpaka kujifungua,na anatumia jina la ubini wa mwanamke,then na mu addopt mtoto mazima
 
Kuna mmoja kipindi namtaka akiwa kigori kabisa tena nikiwa nahitaji kumuoa akanikatalia tena kwa dharau mnoo..

Nikaweka kichwa chini nikainuka nikatembea na bwana.. Sasa Kuna engineer alikuwa nae kamdhalisha watoto wawili tena faster faster kalala mbele..

Sahv ananitaka mpk analia machozi sijui ananichukuliaje...

Arudi alipozalishwa sioi mke wa mtu mm
 
Aiseee nimecheka sana wakati nasoma huu uzi, nilikkuwa navuta picha jinsi sisi makapuku na tuliozidiwa vigezo tunavyosunya tunaposoma huu uzi. Ili mkuu umeeleza ukweli mtupu.
 
Nao wakiwa wakubwa watachapiwa pia, hivyo ngoma draw.
 
Mimi naoa Wingle mother ambaye kwanza hajui baba wa mtoto yupo wapi,na hajawahi kuwasiliana naye tangu wametiana mimba mpaka kujifungua,na anatumia jina la ubini wa mwanamke,then na mu addopt mtoto mazima

Utajuaje kuwa hajui Baba WA mtoto wake Yuko wapi?
Utajuaje hawajawasiliana tangu wametiana naomba?
Au ndio utamuuliza swali na kutegemea majibu yake
 
Mambo yote hayo ya nini?
Kwanini uoe single mother wakati wasichana wa kawaida wapo tele?
Single mother waachiwe wazee, single fathers, wagane ndio wawaoe.
 
[emoji817][emoji419][emoji419][emoji419][emoji91][emoji91]
 
wanawake hawana level hasa linapokuja suala la aliyezaa naye. hawa watu hawaachanagi hata kama mwanaume alimtelekeza vip. akitaka kula ni kama kumsukuma mlevi.

kikumbwa kuna mwamba kasema hapo "kamwe hutakiwi kuoa mke wa mtu"
 
Sasa kwanini uoe mwanamke anaekufanya uwe na mashindano na mwanaume mwingine?

Mm naona ni heri uoe single mother ikiwa kaburi la aliyemzalisha umeliona otherwise ni mateso na mfadhaiko wa moyo tu unatafuta...

Povu ruksa!
Huyo hatakuwa single mama, baki mjane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…