Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Kuna hawa madogo wa bodaboda wanazalisha sanaMatokeo ya nyege za wanaume wasio na akili.
Binafsi naunga mkono hoja haitokaa itokeee kamwe kuwa na single mother ever😃Bonjour
Aisee sio poa ndugu zangu , yani siku hizi single mother zimejaa sana mtaa,. daaa Yani kila Dem nikitongoza Kwa ajili kuwa nae kwenye mahusiano, katika kumi , tisa ni single mother [emoji2]
Mpaka Kuna mda na stop Kwa kutongoza tongoza, na mm Dem akishaniambia ana mtoto, aise Moto unakata kabisa, kwani nyie madem mnaferi wapi ? Au ndio utam wa pipi bila maganda.
Na katika wanaume Kumi, wanaume tisa hawataki kabisa kuoa single mother, hii ratio sio poa kabisa
Mimi sitaki kabisa, kuja kulea bao la mwanaume mwenzangu wakati huyo mwanaume mzima na hema
At least Kwa single mother aliye fiwa na mume wake, na cheti Cha kifo tukione
15 miaka mingi sanaa kufika 2025-2030 sjui tutakuwa na vijana wa aina gani Mungu atusaidie sanamiaka kama kumi natano tu ijayo tutakuwa na vijana wengi wasiyo na maadili kutokana na maisha watakayokulia
Mungu atusaidie kweli mana huku mitahani sijui ni kizazi gani tunakitengeneza15 miaka mingi sanaa kufika 2025-2030 sjui tutakuwa na vijana wa aina gani Mungu atusaidie sana
Maboya sanaKuna hawa madogo wa bodaboda wanazalisha sana
Wana uhakika wa kupata mia mbili , mia tatu per day, kwahyo kuhonga madem uhakika, na mahitaji mengineKuna hawa madogo wa bodaboda wanazalisha sana
Katika Uzi huo wote, hapo tu ndio umeona nime wrong, jikite kwenye mada husikaKusema siyo poa ndiyo kumaanisha nini?mbona mnaharibu sana kiswahili lakini!!!
Wana K za kubana kinomaSema single mothers ni watamu sana
Unajaribu kubadili madaWanaume wamekuwa wachache sana na Bado wengine wameingia ushoga...
Kifupi wanaume wamepungua
Wanaume tumesusa kuoa,wanawake wanafika umri WA kuolewa hawaoni mtu wanaona umri unawapita muda ,wanaona Bora wawe tu single maza,na kina junior wao😀😀Bonjour.
Aisee sio poa ndugu zangu, yani siku hizi single mother zimejaa sana mtaa, daaa. Yani kila Dem nikitongoza kwa ajili kuwa nae kwenye mahusiano, katika kumi, tisa ni single mother. [emoji2]
Mpaka kuna mda na stop kwa kutongoza tongoza, na mm Dem akishaniambia ana mtoto, aise moto unakata kabisa, kwani nyie madem mnaferi wapi? Au ndio utam wa pipi bila maganda.
Na katika wanaume kumi, wanaume tisa hawataki kabisa kuoa single mother, hii ratio sio poa kabisa.
Mimi sitaki kabisa, kuja kulea bao la mwanaume mwenzangu wakati huyo mwanaume mzima na hema.
At least kwa single mother aliye fiwa na mume wake, na cheti cha kifo tukione.
Upo sahihi pwani visichana vidogo vinazazaa tu,Kisha vinajifanya vijitu vizima,vinataka vipewe shikamoo na watu wazimaKabila gani?
Kuna makabila mengi Sana msichana akifikisha miaka 20 hajaolewa anaambiwa japo azae...
Miaka 20 Akiwa hajaolewa wala Hana mtoto anaonekana kachelewa sana
Ni suala la culture hasa pwani na baadhi ya mikoa
Sasa hivo vitoto wanavioa?au navyo wanatumia,wakivipa mimba wanavikimbia🤔cycle ya singo mazaz inatengenezwa na nyie wanaume,very irrisponsible creaturesWatu wamehamia kwa vitoto baada ya kukutana na hiyo kadhia.
Umejibu vizuri mkuuWanaume wamekuwa wachache sana na Bado wengine wameingia ushoga...
Kifupi wanaume wamepungua