Nonsense kabisa

Unayeoa hana mtoto jua:

1. Alishatoa mimba;

2. Na hivyo ashaua watoto kibao kupitia abortion. Hivyo unaoa criminal(mhalifu)

3. Haimaanishi kuwa ambaye hana mtoto yupo sealed. No! Ashakwanyuliwa.

Afadhari aliyezaa utajua anawatoto wangapi.

Ambaye hana lakini unakuta matiti yashakuwa madaso, mahala penyewe napo mpaka pashakuwa na masikio fulani ( nyama zinazoning'inia), yaani afadhari nioe mwenye mtoto.
 
Mwambie kitamu hakionjwi
 
Making the world a better place is the hardest thing to do since the beginning
Japo mawazo chanya mara nyingi nafikiriaga hivyo sisi wapole tutaonewa tu bure
 
Safi sana Mkuu wape somo wakuelewe sababu sio kuwa na mawazo ya karibu kiasi hicho.
 
uko sahihi mkuu kwa WAJANE hamna shida kwa sababu naamini hawakupenda
ila hawa waliopata kwa kupenda kwao hapana aisee.
kuna wengine hawataki kutumia kinga mwisho wanapata mimba
Hahahaa
Watu wako careless sana halaf wanakwambia eti ukipenda ua sjui penda na boga lake, hata sjui ule msemo.

Ina niumiza sanaa wadada wanapewa mimba hovyo hovyo sku hizi
 
Yaani ata mie mwanamke aliezaa sitegemei kabisa kuishi nae kama mme mke!!, Yaani mara paaah!!, Bwana fulani unakubali kumuoa Bi fulani ( msimbe)!!! Haipo kabisa
 
Making the world a better place is the hardest thing to do since the beginning
Japo mawazo chanya mara nyingi nafikiriaga hivyo sisi wapole tutaonewa tu bure
Kweli braza mimi nimetulia sana yaan halaf nakutana na mwanamke tunaenda kila kitu ila ana mtoto. Ina add budern.
Halaf wenyewe wanachukuliaga simple et kama ume mpenda hutajali mtoto,ni kazi sana hii.
Sasa wale tulo tulia ndio tunaumia [emoji1]
 
Yaani ata mie mwanamke aliezaa sitegemei kabisa kuishi nae kama mme mke!!, Yaani mara paaah!!, Bwana fulani unakubali kumuoa Bi fulani ( msimbe)!!! Haipo kabisa
Hahahaaa. Vibaya hivyo kwani wana shida gani au umesikia wanakuwaga na shida gani?

Au na wewe unafuata ya mleta uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…