Watafute wagane au wenzao masingledady..!Mie nataka nikwambie tu ukiona cha nini wenzio wanasema watavipata lini hivyo we waone ni ugonjwa huku wenzio kwao ni dawa.
Mie naona ni namna mtakavyoelewana tu na huyo single mother sababu kwani mtoto kitu gani mkuu wacha mawazo mgando hivyo wasipate wenza kisa wana watoto. Mmh.
Katafakari upya aiseee. Sababu ndio wapo tayari hivyo hapaswi kuwa na mahusiano mengine sababu wana watoto?
Hahahaa
Watu wako careless sana halaf wanakwambia eti ukipenda ua sjui pebda na boga lake, hata sjui ule msemo.
Ina niumiza sanaa wadada wanapewa mimba hovyo hovyo sku hizi
Hahahaa
Watu wako careless sana halaf wanakwambia eti ukipenda ua sjui pebda na boga lake, hata sjui ule msemo.
Ina niumiza sanaa wadada wanapewa mimba hovyo hovyo sku hizi
Siku akiitwa na baba mtoto wake kwamba anaumwa akamtunze utajua yepi yanaendakujili, akiambiwa wa kumbushie!!Hahahaaa. Vibaya hivyo kwani wana shida gani au umesikia wanakuwaga na shida gani?
Au na wewe unafuata ya mleta uzi.
Hahaaa. Mie siko upande huo Mkuu. Pole.Watafute wagane au wenzao masingledady..!
Unaongea as if hizo mimba wanakua wameokota sperms mtaani wanajitumbukizia kwenye papuchi zao na mtoto anakuja.Hahahaa
Watu wako careless sana halaf wanakwambia eti ukipenda ua sjui penda na boga lake, hata sjui ule msemo.
Ina niumiza sanaa wadada wanapewa mimba hovyo hovyo sku hizi
Mungu atusaidie kwa kweli na kwa akiri ya kawaida lazima utoe matunzo kwa mtotoKweli braza mimi nimetulia sana yaan halaf nakutana na mwanamke tunaenda kila kitu ila ana mtoto. Ina add budern.
Halaf wenyewe wanachukuliaga simple et kama ume mpenda hutajali mtoto ni kazi sana hii.
Sasa wale tulo tulia ndio tunaumia [emoji1]
Hahahaaa. Kumbe hicho tu. Mmh.Siku akiitwa na baba mtoto wake kwamba anaumwa akamtunze utajua yepi yanaendakujili, akiambiwa wa kumbushie!!
Njoo huku, kama hauko kule afu tunafanya kwa tyming ukizubaa unaacha single mama..!Hahaaa. Mie siko upande huo Mkuu. Pole.
Hamna ndio maana nimelaumu pande zote lakini nasisitiza kina dada kwa sababu you let guys slide in and hanibg their nuts open carelesly. Kuna namna mbali mbali za kuzuia mimba. Wafanye hivo.Unaongea as if hizo mimba wanakua wameokota sperms mtaani wanajitumbukizia kwenye papuchi zao na mtoto anakuja.
Daaaah!! Ilo nalo neno ila imani ya kuibiwa ata Mali wakaanza kuwekeza kisili sili ni kubwa sana na akiona umeishiwa atasepa wakaanze maisha na huyo jamaa ni kubwa sana!!, Imani nao mie binafsi haipo kabisa!!Hahahaaa. Kumbe hicho tu. Mmh.
Kama kukumbushia anaweza kuwa asiye na mtoto ila kabla yako alikuwa wake na boyfriend na mwisho wa siku akaamua kukumbushia na wakakumbishia vilevile.
Hivyo kote kuna athari Mkuu.
Ila ni vyema single mama, akaoane na mgane au sigledady mwenzake..!Unaongea as if hizo mimba wanakua wameokota sperms mtaani wanajitumbukizia kwenye papuchi zao na mtoto anakuja.
Mungu atuhelp bro, unajikuta mtu umempenda basi inabid uwe baba wa kambo what would you do. Lakin inaumaMungu atusaidie kwa kweli na kwa akiri ya kawaida lazima utoe matunzo kwa mtoto
ha ha haaaa omba mungu akupe mke mwema yangu ni hayo tu siku njema mkuukutokuwa na uwezo sio sababu ya kuoa mtu aliyezalishwa huko nyumbani kwao aisee
Umeona sasa Mkuu. Tukiwaza kwa undani sana ni kuomba Mungu tu akuonyeshe mwanamke aliye bora iwe ni Single mother ama la.Daaaah!! Ilo nalo neno ila imani ya kuibiwa ata Mali wakaanza kuwekeza kisili sili ni kubwa sana na akiona umeishiwa atasepa wakaanze maisha na huyo jamaa ni kubwa sana!!, Imani nao mie binafsi haipo kabisa!!
[emoji3][emoji3][emoji3]Ndiyo, hivyo ukiguswa natana kabisa, ukijifanya kauzu utagundua mwenzako ni zaidi ya kauzu..!Hahahaa. Lol.
Kuna msemo unasemaga wanapenda Bad boyzHamna ndio maana nimelaumu pande zote lakini nasisitiza kina dada kwa sababu you let guys slide in and hanibg their nuts open carelesly. Kuna namna mbali mbali za kuzuia mimba. Wafanye hivo.
Hii kitu imekuwa kubwa sana sku hizi.
Hiyo itapendeza zaid. Kama dr ShikaIla ni vyema single mama, akaoane na mgane au sigledady mwenzake..!