[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Sawa MkuuAkikujibu unitag
Daah mkuu. So jamaa kayeya mazima?OK tumekusikia mkuu swala lako tutalifanyia kazi....nakumbuka kipindi ninamimba nilifungua Uzi fulani humu unawa sema single mother niliumia sana nililia karibu siku mzima nilikua naogopa kuondoka kwa X wangu kutokana na manyanyaso aliyokua akinipa nikiwaza naenda kua single mother ambapo kila siku nitakua nanyoshewa kidole niliamua acha nifie kwa huyuhuyu alienipa mimba ilipofikia siku analeta mwanamke chumba kingine maumivu yalizidi wakati huo ninamimba ya miez saba nakumbuka nilinunua variam 20 ninywe nife bahati mbaya mwanaume sijui alitoka wapi aakawa ameziona any way story ndefu mpaka sasa nikiona uzi wa hivi naumia sana namwambia Mungu kwann mimi kwann uliruhusu hali hii kwangu haya matusi mpaka lini kweli sikupanga maisha ya single mother... Mungu tu anitie nguvu niweze kuzoea haya masimango....Asante mtoa mada Mungu akuepushe na hiki kikombe katika uzao wako wote maana hata wazazi hakuna anaependa mtoto wake azalie nyumbani
Achana nae huyu.OK tumekusikia mkuu swala lako tutalifanyia kazi....nakumbuka kipindi ninamimba nilifungua Uzi fulani humu unawa sema single mother niliumia sana nililia karibu siku mzima nilikua naogopa kuondoka kwa X wangu kutokana na manyanyaso aliyokua akinipa nikiwaza naenda kua single mother ambapo kila siku nitakua nanyoshewa kidole niliamua acha nifie kwa huyuhuyu alienipa mimba ilipofikia siku analeta mwanamke chumba kingine maumivu yalizidi wakati huo ninamimba ya miez saba nakumbuka nilinunua variam 20 ninywe nife bahati mbaya mwanaume sijui alitoka wapi aakawa ameziona any way story ndefu mpaka sasa nikiona uzi wa hivi naumia sana namwambia Mungu kwann mimi kwann uliruhusu hali hii kwangu haya matusi mpaka lini kweli sikupanga maisha ya single mother... Mungu tu anitie nguvu niweze kuzoea haya masimango....Asante mtoa mada Mungu akuepushe na hiki kikombe katika uzao wako wote maana hata wazazi hakuna anaependa mtoto wake azalie nyumbani
Hii huwa inaitwa buy one get two [emoji3][emoji3][emoji3]Msipende kutulaumu, wewe umepewa mimba huko then mimi nije nikuoe,kuoa mwanamke aliyezaa ni sawa tu na kuoa mke wa mtu mwisho wa siku niitwe baba wa kambo au nina roho mbaya, hamjitunzi mnafanya umalaya huko, unakuta mwanamke ametumika, amechakaaa weee amezaa na kuzaa afu duke nimuoe,bora tu nisioe kuliko kuoa single mother, hivi nyie mnaooa single mothers hamjisikii kinyaa,
Kuna ki single mother kinansumbua kweli eti nikioe labda sio mimi duke
Mapovu ruksa
Kuoa single mother lazima kwanza na wewe muoaji uwe na watoto kama wawili nyumbani wa mama tofauti.
Alikuja kurudi badae yule mwanamke aliekua nae kazaa nae na wameachana....magu kamnyoosha anataka tuunganishe nguvu maisha kama hayaelewi vile akakuta tayar ninamchumba mwingineDaah mkuu. So jamaa kayeya mazima?
Hapo sawa...hapo Ngoma inakuwa droo
Hahaa huo mzigo wa kumlea single mother na wanaye inabid uwe na moyo wa chuma kiukweli kwa usalama wako hutakiwi kuoa single motherHii huwa inaitwa buy one get two [emoji3][emoji3][emoji3]
Huna adabu kabisa na ungekuwa karibi ningekutia kibao cha kichwa kwanza. Bwege wewe
Ukweli unauma eeeee!!!! Pambana na hali yakoHuna adabu kabisa na ungekuwa karibi ningekutia kibao cha kichwa kwanza. Bwege wewe
Hunijui mimi ni nani wewe, tatizo lenu hamjitunzi mnazaa kabla ya ndoa tukikataa kuwaoa mnatumwagia mapovu kammwagie mapovu yule aliyekuzalisha na kukuacha kwani mnavyopeana mimba mimi nilikuwepo??? By the way sijawah kumzalisha mwanamke then nikamuacha, mimi huwa nafanya mapenzi na mwanamke anayejielewa huwa sijihusishi kabisa na haya mashankurupepe ya mjiniWakizaaa na kulea watoto wao wakiwa peke yao single mother malaya na maneno kibao,wakitoa mimba ili waendlee kula maisha hajawahi zaa huyu ndio anafaa kumbe n muuwaji mzuri.
Uwe unatafakari yaweza ikawa una ndugu wa kike,either dada na wengije na mambo kma hayo hutokea tu katika maisha na hakuna anaeomba kuwa single mother ila kuna situation ambazo zinawaforce wao kuwa katika hali waliyo nayo kwa sasa,kulikoni mtu akae katika ndoa yenye kumepeleka katika kifo n bora abakie yeye na maisha ya na watoto wake.
Natamani sana kuujua mwisho wako nione utaoa mke wa design gani,na si ajabu mungu akakupiga kibao huyo unaemtaka ambae sio single mother akaja kukuletea kizingumkuti hadi ukahis kaburi hili hapo na ukatamani hata ungemuoa yule single mother ulie mkataa.
Think twice kabla hujatenda.
Mke wangu mlokoleWakizaaa na kulea watoto wao wakiwa peke yao single mother malaya na maneno kibao,wakitoa mimba ili waendlee kula maisha hajawahi zaa huyu ndio anafaa kumbe n muuwaji mzuri.
Uwe unatafakari yaweza ikawa una ndugu wa kike,either dada na wengije na mambo kma hayo hutokea tu katika maisha na hakuna anaeomba kuwa single mother ila kuna situation ambazo zinawaforce wao kuwa katika hali waliyo nayo kwa sasa,kulikoni mtu akae katika ndoa yenye kumepeleka katika kifo n bora abakie yeye na maisha ya na watoto wake.
Natamani sana kuujua mwisho wako nione utaoa mke wa design gani,na si ajabu mungu akakupiga kibao huyo unaemtaka ambae sio single mother akaja kukuletea kizingumkuti hadi ukahis kaburi hili hapo na ukatamani hata ungemuoa yule single mother ulie mkataa.
Think twice kabla hujatenda.
Kwa nini mwanamke azae na mwanaume mlevi ambaye hana future???Nahisi inategemea na mtu ulie nae,wengine wanawaacha wanaume baada ya kuona hana future ya kimaisha pamoja na mtoto , mwanume mlevi,mgomvi, hueleweki kimaisha au hata hujali kitu bora huyo mwanamke akatafute maisha na mtu mwingine mwenye future ya kimaisha kuwa na mtoto si ulemavu au ugonjwa mwanamke anaweza kuwa na mtoto na akafanya majukumu yake kikamilifu kuliko hata huyo ambaye hana mtoto. ila na sisi wanaume, wanawake wawachukulieje waliozaa nje au na wanawake wengine?
Hahaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana aiseeMtoa mada ni mtoto wa single maza
Huyo ni single mother ametelekezwa huko kwa sababu ya umalaya wake anakuja kunimwagia mapovu hapa apambane na hali yakeDaah pole sanaa mkuu umeandika kwa hisia sanaa polee na msamehe huyu kijana.
Lini hiyo nilifungua huo uzi uliokuliza by the way pole Sana na samahan pia, uwe makini sio unazaa kabla ya ndoa tena unazaa na watu wasioeleweka na kutambua umuhimu wa familia Kuwa makini usirudie kosaOK tumekusikia mkuu swala lako tutalifanyia kazi....nakumbuka kipindi ninamimba nilifungua Uzi fulani humu unawa sema single mother niliumia sana nililia karibu siku mzima nilikua naogopa kuondoka kwa X wangu kutokana na manyanyaso aliyokua akinipa nikiwaza naenda kua single mother ambapo kila siku nitakua nanyoshewa kidole niliamua acha nifie kwa huyuhuyu alienipa mimba ilipofikia siku analeta mwanamke chumba kingine maumivu yalizidi wakati huo ninamimba ya miez saba nakumbuka nilinunua variam 20 ninywe nife bahati mbaya mwanaume sijui alitoka wapi aakawa ameziona any way story ndefu mpaka sasa nikiona uzi wa hivi naumia sana namwambia Mungu kwann mimi kwann uliruhusu hali hii kwangu haya matusi mpaka lini kweli sikupanga maisha ya single mother... Mungu tu anitie nguvu niweze kuzoea haya masimango....Asante mtoa mada Mungu akuepushe na hiki kikombe katika uzao wako wote maana hata wazazi hakuna anaependa mtoto wake azalie nyumbani