SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,073
Na jamaa anauliza swali huku anajichekesha,Mwanaume kuzungumza jinsi mwanaume mwenzako alivyovaa ni ushoga...
Mama Combani huko aliko....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na jamaa anauliza swali huku anajichekesha,Mwanaume kuzungumza jinsi mwanaume mwenzako alivyovaa ni ushoga...
Mkuu wacha tuu wayatengeneze makundi maovu wenyewe kisha waanze kulia kama Kibiti. Kibiti ni chuki zilizozalisha mauajiAwamu ya chuki na vitisho vilivyokithiri.
Na jamaa anauliza swali huku anajichekesha,
Mama Combani huko aliko....
hamna! mamangu hakuwa na tabia hizo mimi naona anatabia za kijuhajuhaMlinga ana tabia za kike sana yule boya...
Sasa uwaziri wa nin wakat yeye ni Mbunge na ni Spika?Ndugai anatafuta post ya uwaziri huyo
Mwanzoni alianza vizuri lakini sasa hivi bunge limemshinda bora hata akikaa zungu pale huwa linakua bunge......huyu mgogo nadhani alivyoenda kutibiwa kuna screw walisahau kuzirudishia.
Au walizifunga vibayaMwanzoni alianza vizuri lakini sasa hivi bunge limemshinda bora hata akikaa zungu pale huwa linakua bunge......huyu mgogo nadhani alivyoenda kutibiwa kuna screw walisahau kuzirudishia.
Mwanzoni alianza vizuri lakini sasa hivi bunge limemshinda bora hata akikaa zungu pale huwa linakua bunge......huyu mgogo nadhani alivyoenda kutibiwa kuna screw walisahau kuzirudishia.
Ndio atueleza ni kwa nini anaacha kuisimamia serikali na amebaki kujipendekeza serikalini.Sasa uwaziri wa nin wakat yeye ni Mbunge na ni Spika?
Spika ni mtu mkubwa ujue ana mamlaka ya kuongoza nchi
Ndo kwa maana nikadokeza huyo si wakwanza kuwazingua wapinzani mmemsahau 6?Ndio atueleza ni kwa nini anaacha kuisimamia serikali na amebaki kujipendekeza serikalini.
Alitakiwa kuwa jela lakini kwa kuwa ccm ni wavunjaji wakuu wa sheria akaachwa agombee ubunge na kupewa kiti cha uspika. Hata angemuua yule mgombea mwenzake asingefanywa kitu kwa kuwa yupo ccm.Mnaweza kuwa mnasumbuka,ila ukweli hili jambo linamtesa sana yule mzee,naamini anakumbuka hilo,so in other way akiwa kwenye kiti hali ya hiki kitu inamjia,hata vijana wenzetu wenye chama chao hili hawawez kulipangua na kulikemea
Lakini si wamemalizana!Jamaa amekuwa DCAlitakiwa kuwa jela lakini kwa kuwa ccm ni wavunjaji wakuu wa sheria akaachwa agombee ubunge na kupewa kiti cha uspika. Hata angemuua yule mgombea mwenzake asingefanywa kitu kwa kuwa yupo ccm.
Alipelekwa mahakamani kujibu tuhuma za kumshambulia mwenzake hadi kupoteza fahamu?Lakini si wamemalizana!Jamaa amekuwa DC
Apelekwe na nani?Alipelekwa mahakamani kujibu tuhuma za kumshambulia mwenzake hadi kupoteza fahamu?