Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka anayo ile ya Upande wa Pili!Huyu jamaa hata mm ninamshangaa sana yaani vijembe hivi na mipasho angevitoa MAMA makinda lkn anavitoa huyu?!?!! Ukweli huyu ana korodani hyu???
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye kujifananisha nao, ni kati yaoHuyu jamaa hata mm ninamshangaa sana yaani vijembe hivi na mipasho angevitoa MAMA makinda lkn anavitoa huyu?!?!! Ukweli huyu ana korodani hyu???
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamshangaaje wakati unamjua alivyo?Nilitehemea awe mpatanishi na kiungo mchezeshaji wa bunge zima ili bunge lifanye kazi yake vizuri.Spika amekuwa mtu wa vijembe,majungu na mipasho kama waimba taarabu.Hakika spika huyu siyo bure kuna namna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasiraukiona mtu ananyanyua rungu na kumpiga mwenzake unadhani kichwani kuna nini ?