Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balibabamubonahai? Ali omukihandaNilitehemea awe mpatanishi na kiungo mchezeshaji wa bunge zima ili bunge lifanye kazi yake vizuri.Spika amekuwa mtu wa vijembe,majungu na mipasho kama waimba taarabu.Hakika spika huyu siyo bure kuna namna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja,in any action there is an equal and opposite reaction!!! Leo kutavurugika tu,atapigwa kijembe ambacho atafukuza mtu bungeni!!Nilitehemea awe mpatanishi na kiungo mchezeshaji wa bunge zima ili bunge lifanye kazi yake vizuri.Spika amekuwa mtu wa vijembe,majungu na mipasho kama waimba taarabu.Hakika spika huyu siyo bure kuna namna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakola ebyomufu akola anyanga ati balibababambonahi! Jamaa hana faida kabisa bora marehemu mzee Matonya.Balibabamubonahai? Ali omukihanda
Nakumbuka, alimzimisha mtu na wala hakuchukuliwa hatua zozoteHuyu jamaa huwa anavuta sio bure
Si aliwahi kupiga MTU na gongo kipindi kile akaja akaumwa nusura wamtoe roho
Mkuu hebu weka hizo kauli zake tuzione basi.
Halafu mbona umeleta hoja nyepesi sana ???
Mwenendo wa wabunge wote akiwa ndani au nje ya bunge pamoja na hali zao zinamhusu Spika moja kwa moja.
Leo hii mbunge akikamatwa kwa kuvunja Sheria Kanuni za Kudumu za Bunge zinamruhusu Spika kuingilia.
NB: Usisahau kwamba mbunge moja hubeba sifa ya bunge zima, hivyo akifanya kitu kibaya na bila kukanywa bunge zima linaweza kudharaulika. Mfano mzuri ni ambavyo Wabunge wa hovyo kama Msukuma na Kibajaji wanavyodharaulisha bunge zima.
Mambo ya Zitto Kabwe ni ya Ndoa au kupeana mimba ???HAKUNA KITU KIBAYA DUNIANI KAMA UTUMWA WA KIFIKRA AFADHALI UTUMWA WA MINYORORO......So mbunge akitaka kuoa au kumpa mwanamke mimba lazima aampe taarifa spika?mbunge akitaka kujiunga na twitter,viber,facebook,fuckbook,pornhub,instagram,periscope,Snapchat lazima aombe ruhusa kwa spika???Mbunge ingawa ni public figure anamaisha yake binafsi kama mimi na wewe pia anauhuru wake binafsi ..Spika ameonyesha mapungufu ya uongozi kwa kiasi kikubwa anashindwa kubalance bunge linataka nini na raisi anataka nini lakini mwisho wa siku yeye ni spika anapaswa kusimamia misingi ya bunge si kuyumbishwa na kina Zitto au Magufuli.
Mkuu hebu weka hizo kauli zake tuzione basi.
Halafu mbona umeleta hoja nyepesi sana ???
Mwenendo wa wabunge wote akiwa ndani au nje ya bunge pamoja na hali zao zinamhusu Spika moja kwa moja.
Leo hii mbunge akikamatwa kwa kuvunja Sheria Kanuni za Kudumu za Bunge zinamruhusu Spika kuingilia.
NB: Usisahau kwamba mbunge moja hubeba sifa ya bunge zima, hivyo akifanya kitu kibaya na bila kukanywa bunge zima linaweza kudharaulika. Mfano mzuri ni ambavyo Wabunge wa hovyo kama Msukuma na Kibajaji wanavyodharaulisha bunge zima.
Siyo Chenge peke yake, sema wabunge wa CCM!Hivi kuna mbunge anaelidharaulisha bunge kama Chenge?