Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika
Namuomba Mh. Spika wa Bunge letu aache Jazba katika uongozi wake na aachie wabunge watoe mawazo tofauti zidi yake bila kuonyesha chuki zidi ya watakao mkosoa.

Kitendo cha Spika wetu kusimama na kuanza kuwatisha wabunge wenye mawazo tofauti inaonyesha wazi jinsi huyu Spika hajakomaa kiuongozi na zaidi ametawaliwa na umimi na utemi wa kishamba ambao haustaahiki kuonyeshwa na Kiongozi wa aina yake. Hivyo basi nikiwa kama Mtanzania wa kawaida "just a ordinary citizen" Nakushauri Mh.Spika Achana na ubabe huo na watumikie Watanzania wote kwa UNYENYEKEVU !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli katika maspika ambao ni kiazi nadhani huyu ataongoza, kwanza anataka aogopwe kama mungu vile, ndugu yangu punguza jazba zinakupunguzia hekima sana, tunakumbuka uliwahi kumpiga mgombea mwenzio kwenye ubunge, hapo bungeni we ni kiongozi mkuu hivyo onyesha hekima sio kila wakati we ni kuwafokea wabunge hasa wa upinzani utadhani ni watoto wa shule, pia naomba upunguze na maneno ya utani, huna silika ya utani wala hupendezi kwa hilo.
 
Ni Muumini wa Dhehebu gani huyo mtu... Hivi Tanzania kuna Makatiri wangapi? Sema Wapinzani acheni kuchokoza wenzenu... Binadamu tuna hasira
 
Kwa kweli katika maspika ambao ni kiazi nadhani huyu ataongoza, kwanza anataka aogopwe kama mungu vile, ndugu yangu punguza jazba zinakupunguzia hekima sana, tunakumbuka uliwahi kumpiga mgombea mwenzio kwenye ubunge, hapo bungeni we ni kiongozi mkuu hivyo onyesha hekima sio kila wakati we ni kuwafokea wabunge hasa wa upinzani utadhani ni watoto wa shule, pia naomba upunguze na maneno ya utani, huna silika ya utani wala hupendezi kwa hilo.

Ni Muumini wa Dhehebu gani huyo mtu... Hivi Tanzania kuna Makatiri wangapi? Sema Wapinzani acheni kuchokoza wenzenu... Binadamu tuna hasira


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzazi mwenzako niko nimeachishwa kazi kwenye pae ulipokuwa mjumbe wa bodi namshukuru mtoto wetu amekuwa na anaendelea vizuri. Lakini yule mwingine anayeitwa democracy amedumaa kwa ajili ya utapia mulo.
Kutokana na Mgogoro ambao umemhusu Mbunge wa kibamba Mhe John Mnyika nimebaini Pasipo na shaka kuwa Job Ndugai ambae ni Spika, hana uwezo kabisa wa kuongoza chambo kikuu cha maamuzi kama Bunge,

Japo kuwa ni Spika Tayari lakini tunatakiwa kujua kuna watu ni Marais lakini hawana sifa za kuvaa uhusika hivyo hivyo Ndugai hafai kuwa Spika na Wala tusitegemee jipya lolote kutoka kwenye Bunge analoliongoza yeye na msaidizi wake Tulia Ackison.

Nimesema hivyo hana sifa yoyote ambayo imetokana na Nadhalia za uongozi ususani skill model of Leadership.

Na hizi ndio sifa za Job Ndugai ambazo zinamfanya kukosa sifa za kuwa Spika japo ni Spika na kwa maana hiyo Bunge la sasa ni Dhaifu sana.

1)-Anajaziba, kutokana na hii sifa siku zote hawezi kutoka maamuzi sahihi sifa hii inaonekana pale alipompiga Mgombea mwezake wa ndani ya chama chake.

2)-Ni Mtu wa kujipendeza, na hii inafanyika ili atete kiti chake cha uspika ndio maana anatumia nguvu nyingi kuwaonea wapinzani ili amfurahishe Rais ambae ndio Mwenyekiti wa chama.

3)-Nimkurupukaji, kutokana na sifa hii inamfanya afanye maamuzi na atoe kauli za kitoto ambazo zinalifanya Bunge kuwa dhaifu sababu linaogozwa na watu dhaifu.

Mfano aliposema Lusinde wewe ni kiboko yao mpaka wote wameondoka hii nikauli ya kitoto haikupaswa kusemwa na mtu kama Spika.

4)- ni kigeu geu, sio mtu wa kuamini au kupanga nae mambo makubwa na hii inasababishwa na yeye kuwa mtu wa kujipendekeza.

5)-Anaongozwa na Mhemko, Hana Busara wala Hekima kwa Suala la Mnyika hajatumia Busara wala Hekima Mropokaji.

Kutokana na madhaifu yake yote hayo mzee Chenge ameonyesha uwezo mkubwa kuliko yeye pamoja na msaidizi wake Tulia Ackison.

Kutokana na wabunge kuonewa katika kipindi chake na Serikali au na yeye Mwenyewe pamoja na Msaidizi wake wamefanya ubunge kutokueshimaka kabisa na watu.

Nilikuwa sijawahi kusikia Kwamba Mbunge anaweza kuwekwa ndani mwezi 4 na hajaua ni kipindi cha Ndugai kwa maana hiyo pale amekaa kuziba nafasi isiwe wazi na sio kuliongoza Bunge kupitisha maamuzi sahihi kwa maslahi ya nchi yetu kama lilivyokuwa Bunge la 2005- 2010 kila mtu alitamani kuwa Mbunge.

Ni Mhere Mwita.
 
neno moja tu " unavofanya sasa umelewa ushabiki Wa CCM katika kazi uliyopaswa kuwa neutral pa1 unatoka CCM.

bunge limeshuka mno thamani kipindi chako?

unaongea km Lyman.
 
Back
Top Bottom