Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika
Ndugai hivi anasoma jamii forum kweli,maana kama anasoma jamii forum atakufa
 
Huyu jamaa huwa anavuta sio bure
Si aliwahi kupiga MTU na gongo kipindi kile akaja akaumwa nusura wamtoe roho
 
Unashangaa nin! Kashangae feli meli inaelea sindano inazama
 
hatuna taasisi iliyo huru kufanya kazi kwa weledi,wote ni puppets on the strings
 
Unajua mimi nakushangaa wewe mkuu kumshangaa huyu jamaa, unashangaa mtu kutumiwa na watu wake mkuu? Ni sawa useme unashangaa mkaa kuwa mweusi!
 
Back
Top Bottom