pundadumeafrika
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 1,619
- 2,074
Sio siri tena kuwa bunge hili katika miaka hii mitatu tuu limepoteza heshima yake, kuaminika na limejaa migogoro ndani na nje kuliko mabunge yote yaliyo pita.
Tumeshuhudia kipindi hiki wabunge wengi wakitolewa nje Na kufungiwa kwa sababu za hivyo kabisa hivyo kuwanyima wananchi uwakilishi.
Haitoshi hayo, mbunge anashambuliwa akiwa kazini Spika anasimama upande wa wauaji kutaka mbunge afe kwa kumnyima stahili ya matibabu na kama sio kujitolea kwa wenye mapenzi mema basi lengo lake lingetimia.
Kuna aibu nyingi tuu, ndani ya bunge mbunge anatishiwa hajali huku mtu muhimu kama CAG anayumbishwa tofauti na katiba isemavyo.
Katiba na kanuni za Bunge viko wazi kuwa Spika akifedhhesha kiti na kuvunja maadili basi wabunge wanaweza kupiga kura ya kukosa imani naye.
JEE WAKATI UMEFIKA WACHUKUE HATUA KUMNG'OA KURUDISHA HESHIMA YA BUNGE?
Jee wabunge wa ccm wako radhi kuhimili aibu wakati wao kwa wingi wao wanaweza kumtoa huyo na kumweka mwingine wa chama chao? Au hakuna aliye bora zaidi ya Ndugai
Kwani una HO? Hizo posho anatoa kwenye kibubu cha mkewe au ni kodi zetu? Ushabiki wa kindezi hadi unamzidi ndezi mwenyewe!Kama hamna imani na bunge, nawashauri msichukuwe na posho zake maana kwa mujibu wa lalama yenu sio fedha halali. Au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada umetoa dukuduku lako lakini hujashauri nini kifanyike,Nchi hii ni yetu zote na hatuna pa kukimbilia kwa hiyo lazima tutetee haki yetu kama Rais wetu anavyosema kuwa lazima kuwa mzalendo na nchi yako na kuwa mzalendo ni kutetea maslahi yote ya kuendeleza taifa lako siyo kukaa kimya tu.
Tunaomba wawakilishi wetu mtupe mrejesho wa malalamiko ya wananchi kwa ujumla wake msisubiri mpaka hali ikiwa mbaya ndy tuanze yale ya Venezuela
Nyuma yake kuna jiwe liliwahi kuitwa FATUMA linamsukuma.watanzania vilaza kwel...
ko we unadhani mambo anayofanya ndugai kajiamulia mwenyew..??
yupo mkulu nyuma yake bob, yy anatumika kama kijakazi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbuka tafsiri na maana ya neno mzalendo imebadilika kwa awamu hii ya uongozi wa nchi yetu pendwaMleta mada umetoa dukuduku lako lakini hujashauri nini kifanyike,Nchi hii ni yetu zote na hatuna pa kukimbilia kwa hiyo lazima tutetee haki yetu kama Rais wetu anavyosema kuwa lazima kuwa mzalendo na nchi yako na kuwa mzalendo ni kutetea maslahi yote ya kuendeleza taifa lako siyo kukaa kimya tu.
Tunaomba wawakilishi wetu mtupe mrejesho wa malalamiko ya wananchi kwa ujumla wake msisubiri mpaka hali ikiwa mbaya ndy tuanze yale ya Venezuela
Hakuna Bahati mbaya katika hili maana umuhimu wa bunge tunaujua na Spika Ndugai hatukushushiwa mawinguni tunamjua na akachaguliwa, Kwa nini hili lilitokea?
Bunge sasa linaitwa (hata wenyewe wanajiita) dhaifu, visa vya ajabu ni vingi, wabunge wanaovuruga kama Mlinga ndio tunawaona, kufukuzana ndio fasheni nk , yote chini ya uongozi mbovu wa Ndugai.
Mbunge kapigwa risasi badala ya yeye kuongoza mapambano ya kuwapata wahusika yeye anaongoza ya kumshambulia aliyepigwa risasi!
Huyu ni adui wa bunge iweje anaendelea kuwa spika?'
Na hata hao wapinzani mbona Hakuna jaribio la kumtoa hata kama litashindwa?
Jaribio la kumng'oa kiongozi huwa linampa wasaa wa kujitafakari.
Fanyeni sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Si amesema hapo, wabunge wa upinzani wafanye jaribio la kamtoa yaani kutokuwa na imani na spika, hata kama jaribio litafeli ila kuna kitu atajifunzaMleta mada umetoa dukuduku lako lakini hujashauri nini kifanyike,Nchi hii ni yetu zote na hatuna pa kukimbilia kwa hiyo lazima tutetee haki yetu kama Rais wetu anavyosema kuwa lazima kuwa mzalendo na nchi yako na kuwa mzalendo ni kutetea maslahi yote ya kuendeleza taifa lako siyo kukaa kimya tu.
Tunaomba wawakilishi wetu mtupe mrejesho wa malalamiko ya wananchi kwa ujumla wake msisubiri mpaka hali ikiwa mbaya ndy tuanze yale ya Venezuela
Hayo ni mambo ya kikatiba zaidi kitu ambacho hakitakuwepo kwasababu kazi za watu zitakuwa ngumuMfumo wa Spika kupatikana kutoka kwa wabunge hao hao tutaendelea kupata Spika wenye akili kama za Ndugai miaka nenda miaka rudi...Spika ilitakiwa asitoke chama chochote na waombe kazi kwa kuonyesha CV zao na kiwepo chombo maalumu Spika na Katibu wa Bunge waombe kazi, hapo zitatungwa sheria zinazoendana na wakati uliopo kwa Maendeleo ya Wananchi sio kama sasa zinatungwa sheria kwa maendeleo ya viongozi...Spika anamchukia mkaguzi na mdhibiti wa fedha za Umma bado anajiita mzalendo?
Maajabu yaliyomfanya Ndugai kuwa spika ndiyo hayo hayo yaliyotuwekea rais wa sasa, maendeleo yatobaki kuwa ndoto za mchanaHakuna Bahati mbaya katika hili maana umuhimu wa bunge tunaujua na Spika Ndugai hatukushushiwa mawinguni tunamjua na akachaguliwa, Kwa nini hili lilitokea?
Bunge sasa linaitwa (hata wenyewe wanajiita) dhaifu, visa vya ajabu ni vingi, wabunge wanaovuruga kama Mlinga ndio tunawaona, kufukuzana ndio fasheni nk , yote chini ya uongozi mbovu wa Ndugai.
Mbunge kapigwa risasi badala ya yeye kuongoza mapambano ya kuwapata wahusika yeye anaongoza ya kumshambulia aliyepigwa risasi!
Huyu ni adui wa bunge iweje anaendelea kuwa spika?'
Na hata hao wapinzani mbona Hakuna jaribio la kumtoa hata kama litashindwa?
Jaribio la kumng'oa kiongozi huwa linampa wasaa wa kujitafakari.
Fanyeni sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
HIVI KWANINI SIKU HIZI ANANYOA KIPARA KAMA J MAKAMBA??Hakuna Bahati mbaya katika hili maana umuhimu wa bunge tunaujua na Spika Ndugai hatukushushiwa mawinguni tunamjua na akachaguliwa, Kwa nini hili lilitokea?
Bunge sasa linaitwa (hata wenyewe wanajiita) dhaifu, visa vya ajabu ni vingi, wabunge wanaovuruga kama Mlinga ndio tunawaona, kufukuzana ndio fasheni nk , yote chini ya uongozi mbovu wa Ndugai.
Mbunge kapigwa risasi badala ya yeye kuongoza mapambano ya kuwapata wahusika yeye anaongoza ya kumshambulia aliyepigwa risasi!
Huyu ni adui wa bunge iweje anaendelea kuwa spika?'
Na hata hao wapinzani mbona Hakuna jaribio la kumtoa hata kama litashindwa?
Jaribio la kumng'oa kiongozi huwa linampa wasaa wa kujitafakari.
Fanyeni sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Katiba inabadilishwa baadhi ya vipengele kama vina manufaa ya Nchi sio msaafu au biblia ile kwamba hakibadiliki kitu..Hayo ni mambo ya kikatiba zaidi kitu ambacho hakitakuwepo kwasababu kazi za watu zitakuwa ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app