#SPIKANDUGAIAKAPIMWE
 
Jenga booonge la mpicha katika ubongo wako viongoz wa juu wako somewhere alafu nchi iko mikononi mwake.

Bakora mkononi

Wakati wa Tulia wapinzani walimmis sana.
 
Tuwe makini katika kuchagua viongozi.Mwalimu Nyerere alikuwa anazingatia maadili ya mtu ndipo anamuteua.Sasa hatuna tena Mwalimu ambaye angeweza kukemea viongozi wanaolewa madaraka.Kwanza wananchi kuwanyima access ya kuona bunge live hili wananchi waone wabunge wao wanavyowatetea bungeni sio sahihi.Pili kuwadhalilisha wabunge wa upizani bungeni sio kitendo cha uungwana
 
Bwana job ndugai
spaka wsbunge.hata wachawi wanahistoria.unaharibu historia ya nchi yetu kwa mambo ya kipuuzi kabisa ati uonekane mkali kama magufuli au umfurahishe yye. unapotoka na unachekwa na wabunge wenzio wa mabunge ya nje.
Unauvaa ukali ukidhani unamkomoa Lema na mdee huwakomoi unajikomoa wewe na unaonekana speaker wa hovyo na mshamba kuwahi kutokea.
unapata wapi ujasiri wa kumtoa mwakilishi wa wananchi kwa kusema tu siyo fair? hivi fair manake hujui? unamtoa mbunge bungeni kwa kusema bunge ni dhaifu? kwani naye si ni dhaifu? ndiyo ni dhIfu kwakuwa ni sehemu ya bunge.
kuwatoa wabung kwakuwa ni wa upinzani imeshazoeleka na kumkataa CAG je? hao kina kabudi hawajakushauri?
Unachekwa.
 
Atakuwa amefanya kafara nzito
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina elekea stress ni kubwa na yawezekana safari kwenda anga za juu(apolo) zinakaribia !
Sent using Jamii Forums mobile app
 
mnamatatizo nyie haya ndugai hafai mnafaa nyie. kama ndio basi kagombeeni 2020 nyie mnaofaa. mxiieeewww
 
tatizo mnapenda kulelewa. ndugai ni mtu wa msimamo ukifanya ushenzi anakunyoosha. pigeni kelele lkn habari ndio hiyo
 
Spika.
Ikitokea ni Spika hawezi kumudu kazi zake kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili, then Ibara ya 84(7)(d) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 itatumika, baada ya utaratibu wa kidakitari kuthibitisha afya ya akili ya Spika, then Kanuni ya 134, Fasili ya 1, 2, 3, 4, 5 na 6 za Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la 2007 zinaelezea namna ya kumwondoa madarakani Spika wa Bunge. Mwana jf mwenzetu, Wakili Msomi, anatufafanulia zaidi
https://www.jamiiforums.com/threads...-tanzania-anaondolewa-hivi-madarakani.399756/


mtaumia sana

mmeichoknoaweeeeee ili wasikomenti kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…