Volodimiri Zelensiki
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 1,154
- 3,417
Nilitamani sana polisi walidundwa na Hamza wachangie uhai na Ndugai ili wote wawe mizoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasalaam.
Hakika spika ni dhaifu kwa maana amekua akitumia mamlaka yake vibaya kwa kubambikia kesi wabunge wote wenye mawazo tofauti na fikra za mwenyekiti wa ccm. Ameagiza kina gwajima wahojiwe na kwa mashtaka ya kubambika ambayo hayana tija kwa taifa na kupelekea bunge lote kuonekana dhaifu. Mwisho anatudanganya yesu alioa na alisafiri na mkewe inasikitisha.
Spika si dhaifu.....Wasalaam.
Hakika spika ni dhaifu kwa maana amekua akitumia mamlaka yake vibaya kwa kubambikia kesi wabunge wote wenye mawazo tofauti na fikra za mwenyekiti wa ccm. Ameagiza kina gwajima wahojiwe na kwa mashtaka ya kubambika ambayo hayana tija kwa taifa na kupelekea bunge lote kuonekana dhaifu. Mwisho anatudanganya yesu alioa na alisafiri na mkewe inasikitisha.
Inahusiana nini na hii mada kuingilia uhuru wake wa faragha!Mkuu Ndugai anawehuka au ameacha kumeza NJUGU za msaada wa marekani?
Inahusiana nini na hii mada kuingilia uhuru wake wa faragha!
Mfano yule alikatwa na mabudukiiiNi kiongozi wa Umma hatakiwi KUDEMKA....Ulimwengu amehoji tu Bungeni sio wetu wanastahili HESHIMA wengi ni Vilaza tu.
Kwa umri wake!Ni kiongozi wa Umma hatakiwi KUDEMKA....Ulimwengu amehoji tu Bungeni sio wetu wanastahili HESHIMA wengi ni Vilaza tu.
Kwa umri wake!
Ndugai ni chawa mkuu wa mwendazake na waliamini hii nchi ni mali ya bibi yao,ndugai bado anahisi nchi inaongozwa na mwendazake,anawakati mgumu sana bunge lake halina msaada wowote kwa wananchi zaidi ya kutafuna kodi zetu na kunenepeana hovyo tu kama viboko naamini yana mwisho vinyago vichongwe na magufuri alafu vitutishe wakati mchongaji anatafunwa na funza chato huko.Imekua desturi ya huyu mheshimiwa sana kutisha kila mtu anayekosoa mwenendo wa bunge, spika mwenyewe au hata mambo ya serikali kuu. Hata pale jambo linalokua halihusiani na bunge mzee wangu huyu amekua akitumia vikao vya bunge kutisha wakosoaji hao.
Ninachokushauri mheshimiwa kama unaona hayo yanayokosolewa si sahihi basi njoo na majibu kwa hoja sahihi. Hii ya kutisha watu inaonyesha ama hujipangi pindi unapotoka kujibu au yanayosemwa ni kweli ila hupendi yapingwe.
Ni vyema pia kukaa kimya ili labda tusijue unaegemea upande upi japo wengine tunaujua
Shutup and squat, probably could the best word.Imekua desturi ya huyu mheshimiwa sana kutisha kila mtu anayekosoa mwenendo wa bunge, spika mwenyewe au hata mambo ya serikali kuu. Hata pale jambo linalokua halihusiani na bunge mzee wangu huyu amekua akitumia vikao vya bunge kutisha wakosoaji hao.
Ninachokushauri mheshimiwa kama unaona hayo yanayokosolewa si sahihi basi njoo na majibu kwa hoja sahihi. Hii ya kutisha watu inaonyesha ama hujipangi pindi unapotoka kujibu au yanayosemwa ni kweli ila hupendi yapingwe.
Ni vyema pia kukaa kimya ili labda tusijue unaegemea upande upi japo wengine tunaujua