Ndugai hasira ake mara nyingi huwa ina mwingiza choo cha kike kwakwelii..
 
'Nyakati za mababu,waliopewa madaraka walipakwa mafuta kama ishara ya kutakatifuzwa na kuondolewa katika maisha ya kawaida ili wavalishwe hulka za kiungozi' - hii sikufahamu hii elezea hapa kidogo walipakwa mafuta gani?
Yalikusaidia kuwabadilisha ili waongoze kwa haki?
 
Ndungai naona ni mtu poa kwa wastani, ila sema ana hasira za karibu sanaaa
Ndungai anauma na kupuliza. Ndumilakuwili. Hana nia njema na upinzani hata kidogo. Kamati ya maadili ya nini aache kupoteza muda wa kupokezana vikombe vya chai kisa kamati ya maadili. Futa kauli yako Mnyika arudi bungeni Lusinde aombe radhi kwa Bunge la Tz nukta. Amesahau kuugua kwake. Kupona kwake ilikuwa ni huruma na Neema ya Mungu. Wabunge wa vyama vyote walimuombea, Leo amepatwa na ujasiri wa kusahau yote. Mungu halali usingizi Ndungai
 
Mwache alinde ugali jina lisije kukatwa na Grim Ripper ndani ya chama chake.
 
Nikikumbuka alivyokuwa anaombewa dua na makundi yote bila ubaguzi akiwa hoi India nashindwa kuelewa ni vipi Leo anaweza kuwa mbaguzi wa namna hii na kuonyesha chuki za kiasi kile kwa baadhi ya watu.
Ni kweli kabisa Ndugai kapona kwa Neema ili arudi aionyeshe jamii (hasa Bunge) juu ya ukuu wa Mungu, lakini yeye kaamua kutuonyesha mamlaka ya shetani. Matendo afanyayo hakika ni ya kishetani
 
Anachofanya Ndugai ni kujaribu kujipendekeza kwa Magufuli ukuachilia mbali hulka na ukosefu wa busara wake.
Ndugai sio na wala hajakuwa chaguo la Magufuli,na hataweza kuzui kwa njia yoyote Tulia kuchukua nafasi ya. Uspika msimu ujao
Mahaba ya Magufuli kwa Tulia pamoja na "usomi" anaouhusudu sana vinafanya Ndugai kutwanga maji kwenye kinu
 
kweli kiongozi mkubwa kama yeye,haitakiwi kuwa hivyo...
 
Bandiko lako kuna kitu umenifundisha...Nimekuelewa mkuu
 
Ndugai ana upendeleo mkubwa sana bungeni lakini Mungu anaona mwisho utafika hutakuwa spika milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…