Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa Dodoma kina le mutuz, kina lusinde kibajaj? Hhaha no wonder Dom kuna Mirembe aisee..Ndugai naaibisha sana watu wa dodoma.
Nilijua utakuja tu,kama ilivyo kawaida yenusi mlisema tulia anawaonea mnataka ndugai ngoja awanyooshee kidogo
Angeondoka tuNdungai anauma na kupuliza. Ndumilakuwili. Hana nia njema na upinzani hata kidogo. Kamati ya maadili ya nini aache kupoteza muda wa kupokezana vikombe vya chai kisa kamati ya maadili. Futa kauli yako Mnyika arudi bungeni Lusinde aombe radhi kwa Bunge la Tz nukta. Amesahau kuugua kwake. Kupona kwake ilikuwa ni huruma na Neema ya Mungu. Wabunge wa vyama vyote walimuombea, Leo amepatwa na ujasiri wa kusahau yote. Mungu halali usingizi Ndungai
Apunguze jazba tu...Atende kwa kufuata kununi za kibungeTunaamini Watu waliochungulia kabur huwa hawapo sawa kiakil na huwa na jazba hatar
Hawez kupunguza jazba ilhal huo ndiyo udhaifu wake;kifup hana sifa ya kuwa Spika sema mfumo mbovu wa Ccm na kutoweka maslah ya Nchi mbele ndyo kumempitishaApunguze jazba tu...Atende kwa kufuata kununi za kibunge
Hapana...Tusimuombee mabayaMungu aturudishie Ndugai wetu kitandani na amuongezee mateso yake. maana SWAPO katika hali hiyo ya mateso huwa ni mwingi wa busara.
Ndugai ana Roho mbaya sana na ndio kisa Mungu alimpitisha kwenye mapigo ya Ugonjwa ili atubu. Lakini amesahau kwa hasira zake iko siku atahukumiwaMungu anamwona na malipo ni hapahapa,kwa kweli alimwonea sana mnyika ila Mungu ataona atakavyomlipa kwa uonevu huo.