Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika
Mbunge wa CCM katukana wazima kabisa, hukutaka kuchukua hatua, na ukiangalia chanzo ni huyo Mbunge wa CCM, sasa leo unaposema Wabunge wa Upinzani hawana nidhamu nashindwa kukuelewa, au mmepanga CCM watukane na Upinzani wakijibu muwafukuze Bungeni? Eleweni kila kitu tunaona sisi sio wapumbavu, mwanzo wa Mgogoro ni wewe hukutaka kutenda haki.

Muwaha heshima chinhu cha bwete,
Haki ikuzenga Muwaha, angwe honoonele Upinzani mwisho kubi, wokatara,

Yangu ni hayo, CCM Mungu anawaona,
Oneeni Sana Eleweni Hawa mnaowaonea wana mioyo Kama ninyi,

Wakichoka msiwaite magaidi.
 
Mkuu umenena lugha gani hapo aisee au nikilugha ulichosomeshewa namba?
 
Ndugai akitukanwa anasikia,lkn mnyika akitukanwa mwizi hasikii,hayo masikio yake ni masikio ya maajabu, swali ni je aliyeumba masikio ndugai ni mungu wa elia?ni mungu wa yakobo?
Mungu aliyeumba masiko ya ndugai ni mungu wa mbiguni kweli? au masikio ya ndugai yameumbwa na mungu wa India?maana India wana mungu ngombe!!!
Masiko ya ndugai ni masikio ya aina yake,na yanapatikana tanzania peke yake duniani nzima' kwa mujibu wa ndugai,ukawa walifanya kikao cha ndani wakamtukana akasikia,lkn lkn masikio ya ndugai mnyika alivyotukanwa mwizi ndani ya bunge kupitia kipaza sauti masikio ya ndugai hayakusikia
ukitaka kujua maajabu ya musa kule misri sio maajabu, na maajabu yako dodoma,mnyika alitukanwa mwizi ndani ya bunge ndugai hakusia kanisa
Sasa unakataa hayo sio maajabu makubwa kuliko kule misri?
 
Msamehe Bure Ameathirika Tangia Atoke India,inabidi Arudishwe Tna India
 
Anajua makosa yake
Mgogo ana akili mbaya yule.ila haya wanayiyafanya watayajutia.
 
Huu ni wakati wa ngumi kupigwa bungeni, jinsi Ndugai anavyotumia mabavu, kwenye mambo ya hekima, ndio jins ambavyo atasababisha vurugu bungeni, anachokifanya Mh Ndugai ni sawa na kumtishia mtu mzima nyau, mabunge mengine ngumi zinapigwa kama kawa, bunge sio kikao cha mapadri na maskofu.

Natamani ningekuwa bungeni nionyeshe mfano, udikteta wa Ndugai ni mbaya zaidi kuliko ule ukoloni mjerumani
Kiliko wa mungu wa tanzania
 
Hiyo mtaiona kwenye tv tu
wajaribu Hapa wakione
 
Mbona wakati anatoka India alikuwa na busara sana?au alijua yuko mbinu k____akaamua kumrudia mungu?na sasa amepata afya njema ameamua kumrudia shetani?
 
K
Mbona wakati anatoka India alikuwa na busara sana?au alijua yuko mbinu k____akaamua kumrudia mungu?na sasa amepata afya njema ameamua kumrudia shetani?
Kinaitwa kiburi cha uzima
 
Mbona wakati anatoka India alikuwa na busara sana?au alijua yuko mbinu k____akaamua kumrudia mungu?na sasa amepata afya njema ameamua kumrudia shetani?
Mi nadhani arudishwe India wakambadilishie dawa anazotumia sasa zimemkataa.
 
Kuna haja ya kutazamwa upya kwa afya ya akili ya Ndugai
Mtu aliye timamu hawezi kuongea yale aliyosema leo.Watu wengi ambao huugua sana,mara kadhaa huondokewa na sehemu ya akili zao,hii mara kadhaa yaweza kuwa imemkuta Ndugai.

Ndio maana mwili umevimba badala ya kunenepa
 
Back
Top Bottom