Tatizo ni Yale majitu ya vyiti maalumu na ya kuteuliwa, mengi hayajui kitaa kulivyoMi nilishapoteza iman kitambo mkuu,na sina muda kabisa bora Bunge la Makinda
Inawekana na wewe masikio yako ni ya maajabu kama ndugai?Acha ujinga ww
Kati ya wenye haki,na wanaozulumiwa hakiKATI YA NANI NA NANI?
Kiliko wa mungu wa tanzaniaHuu ni wakati wa ngumi kupigwa bungeni, jinsi Ndugai anavyotumia mabavu, kwenye mambo ya hekima, ndio jins ambavyo atasababisha vurugu bungeni, anachokifanya Mh Ndugai ni sawa na kumtishia mtu mzima nyau, mabunge mengine ngumi zinapigwa kama kawa, bunge sio kikao cha mapadri na maskofu.
Natamani ningekuwa bungeni nionyeshe mfano, udikteta wa Ndugai ni mbaya zaidi kuliko ule ukoloni mjerumani
Wewe ni ndugai?Acha ujinga ww
Una masikio kama ya Job.Acha ujinga ww
Kinaitwa kiburi cha uzimaMbona wakati anatoka India alikuwa na busara sana?au alijua yuko mbinu k____akaamua kumrudia mungu?na sasa amepata afya njema ameamua kumrudia shetani?
Mi nadhani arudishwe India wakambadilishie dawa anazotumia sasa zimemkataa.Mbona wakati anatoka India alikuwa na busara sana?au alijua yuko mbinu k____akaamua kumrudia mungu?na sasa amepata afya njema ameamua kumrudia shetani?