4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Aisee, Yani Marais pamoja na kupakiwa humo bado hapakua na dereva wa kuwaendesha, ama namna GANI pale
Hizo ni comments zako!Tumetukanwa, tumedhihakiwa, tumechoreka na tumedharauliwa maradufu ya walivyotudharau walipokuwa Wakoloni wetu.
Hakuna comment iliyoniuma GENTAMYCINE kama hii isenayo "....Nyani njiani Kutalii Jiji la London ili Wakastaarabike wakirejea Makwao Maporini..... "
Na kuna Mwingine 'Kazumu' Bichwa la 'Hustler' na 'Chogo' chemba lake kisha akasema Nyani akitafakari jinsi atakavyoidaka Ndizi yake.
Na kuna Rais mwingine sijamwona na kumtambua vyema ila amekaa kama dirishani mkono kauweka Usoni huyu kuna Mzungu Mmoja 'Kakomenti' kuwa Nyani akiona Aibu kupigwa Picha.
Kifupi huko Mitandaoni kwa Wazungu leo Neno la Nyani limetumika na kupata Mashiko mno na natamani sana nami niwajibu kwa Hasira, ila tatizo sijui Kiingereza hivyo nawaombeni mnaokijua nanyi muwafuate huko mkawajibu Wasomi wenzenu.
Mkiambiwa siyo kila Tukio muwe na Kiherehere nalo Kwenda Kulihudhuria muwe mnatuelewa matokeo yake mmezikimbia Nchi zenu kwa Malalamiko ya Wananchi wenu juu ya Hali Ngumu ya Maisha na kwenda Kupumzisha Akili London matokeo yake Mmesanifiwa kwa kupakiwa pamoja kama Ndizi za Mgeta Morogoro na Kutudhalilisha hadi Wenye Akili Kubwa mliotuacha huku Barani Afrika.
Utakipata unachokitafuta.Na kuna Rais mwingine sijamwona na kumtambua vyema ila amekaa kama dirishani mkono kauweka Usoni huyu kuna Mzungu Mmoja 'Kakomenti' kuwa Nyani akiona Aibu kupigwa Picha.
Kuna nyani weusi na weupe hivyo wewe Waite wao ni nyani weupeTumetukanwa, tumedhihakiwa, tumechoreka na tumedharauliwa maradufu ya walivyotudharau walipokuwa Wakoloni wetu.
Hakuna comment iliyoniuma GENTAMYCINE kama hii isenayo "....Nyani njiani Kutalii Jiji la London ili Wakastaarabike wakirejea Makwao Maporini..... "
Na kuna Mwingine 'Kazumu' Bichwa la 'Hustler' na 'Chogo' chemba lake kisha akasema Nyani akitafakari jinsi atakavyoidaka Ndizi yake.
Na kuna Rais mwingine sijamwona na kumtambua vyema ila amekaa kama dirishani mkono kauweka Usoni huyu kuna Mzungu Mmoja 'Kakomenti' kuwa Nyani akiona Aibu kupigwa Picha.
Kifupi huko Mitandaoni kwa Wazungu leo Neno la Nyani limetumika na kupata Mashiko mno na natamani sana nami niwajibu kwa Hasira, ila tatizo sijui Kiingereza hivyo nawaombeni mnaokijua nanyi muwafuate huko mkawajibu Wasomi wenzenu.
Mkiambiwa siyo kila Tukio muwe na Kiherehere nalo Kwenda Kulihudhuria muwe mnatuelewa matokeo yake mmezikimbia Nchi zenu kwa Malalamiko ya Wananchi wenu juu ya Hali Ngumu ya Maisha na kwenda Kupumzisha Akili London matokeo yake Mmesanifiwa kwa kupakiwa pamoja kama Ndizi za Mgeta Morogoro na Kutudhalilisha hadi Wenye Akili Kubwa mliotuacha huku Barani Afrika.
Kama wewe ni mwanaume nakusikitikia sanaFanya makubwa kwako. Usidai hadhi usiyostahili ugenini. Kuaga msiba kaaga vizuri, cha mno nini?
Wamekomeshwa
Mwenye kaweka mkono mdomoni 😂😂😂 anahusika na tozo😂Tumetukanwa, tumedhihakiwa, tumechoreka na tumedharauliwa maradufu ya walivyotudharau walipokuwa Wakoloni wetu.
Hakuna comment iliyoniuma GENTAMYCINE kama hii isenayo "....Nyani njiani Kutalii Jiji la London ili Wakastaarabike wakirejea Makwao Maporini..... "
Na kuna Mwingine 'Kazumu' Bichwa la 'Hustler' na 'Chogo' chemba lake kisha akasema Nyani akitafakari jinsi atakavyoidaka Ndizi yake.
Na kuna Rais mwingine sijamwona na kumtambua vyema ila amekaa kama dirishani mkono kauweka Usoni huyu kuna Mzungu Mmoja 'Kakomenti' kuwa Nyani akiona Aibu kupigwa Picha.
Kifupi huko Mitandaoni kwa Wazungu leo Neno la Nyani limetumika na kupata Mashiko mno na natamani sana nami niwajibu kwa Hasira, ila tatizo sijui Kiingereza hivyo nawaombeni mnaokijua nanyi muwafuate huko mkawajibu Wasomi wenzenu.
Mkiambiwa siyo kila Tukio muwe na Kiherehere nalo Kwenda Kulihudhuria muwe mnatuelewa matokeo yake mmezikimbia Nchi zenu kwa Malalamiko ya Wananchi wenu juu ya Hali Ngumu ya Maisha na kwenda Kupumzisha Akili London matokeo yake Mmesanifiwa kwa kupakiwa pamoja kama Ndizi za Mgeta Morogoro na Kutudhalilisha hadi Wenye Akili Kubwa mliotuacha huku Barani Afrika.
Tumetukanwa, tumedhihakiwa, tumechoreka na tumedharauliwa maradufu ya walivyotudharau walipokuwa Wakoloni wetu.
Hakuna comment iliyoniuma GENTAMYCINE kama hii isenayo "....Nyani njiani Kutalii Jiji la London ili Wakastaarabike wakirejea Makwao Maporini..... "
Na kuna Mwingine 'Kazumu' Bichwa la 'Hustler' na 'Chogo' chemba lake kisha akasema Nyani akitafakari jinsi atakavyoidaka Ndizi yake.
Na kuna Rais mwingine sijamwona na kumtambua vyema ila amekaa kama dirishani mkono kauweka Usoni huyu kuna Mzungu Mmoja 'Kakomenti' kuwa Nyani akiona Aibu kupigwa Picha.
Kifupi huko Mitandaoni kwa Wazungu leo Neno la Nyani limetumika na kupata Mashiko mno na natamani sana nami niwajibu kwa Hasira, ila tatizo sijui Kiingereza hivyo nawaombeni mnaokijua nanyi muwafuate huko mkawajibu Wasomi wenzenu.
Mkiambiwa siyo kila Tukio muwe na Kiherehere nalo Kwenda Kulihudhuria muwe mnatuelewa matokeo yake mmezikimbia Nchi zenu kwa Malalamiko ya Wananchi wenu juu ya Hali Ngumu ya Maisha na kwenda Kupumzisha Akili London matokeo yake Mmesanifiwa kwa kupakiwa pamoja kama Ndizi za Mgeta Morogoro na Kutudhalilisha hadi Wenye Akili Kubwa mliotuacha huku Barani Afrika.
Kama kitu hukijui ni bora ukakaa kimyaViongozi wote wa G7 hawajapanda basi
Hata hao uwasemao nafikiri wana sense of humour.GENTAMYCINE , game changer, super talented, interteiner hili jambo naomba uende nalo taratibu Kiongozi wangu. Limeleta taharuki na wenye ajira zao hawatakubali likapita kimya kimya. Naomba uendelee kutupa burudani zingine ila hili achana nalo.
Huo ni ushauri wangu kwako Bado tunahitaji sana kupata burudani na elimu kutoka kwako.
Ikawaje Biden akaingia na Beast yake kama ni hivyo?Msichokijua ni kwamba kiongozi anayeheshimika sana Uingereza na kumiminiwa kila aina ya baraka na sifa kwenye wimbo wao wa taifa "God save the King" ni mfalme wao, ambaye kwa sasa anaitwa King Charles III. Hao viongozi wengine duniani wakiwemo ma PM wao wanachukuliwa kikawaida sana, hawapewi special treatment kama ilivyo kwa mfalme. Unaweza kuta hata Lizz Truss Waziri Mkuu wao kaingia hapo na guta maana hakuna anayejali ni usafiri gani ataingia nao, zaidi ya kujali kutaka kujua Mfalme kaingia na gari gani special kwa ajili yake, baasi....
Sio kila jambo upost tuuu umejaa chuki zisizo na mpango
Biden anasaidiwa na nguvu kubwa ya nchi yake, vinginevyo naye wanamchukulia kama waziri mkuu wao Lizz Truss tu maana hata Marekani ilikuwa na waziri mkuu ilipokuwa chini ya Malkia......Ikawaje Biden akaingia na Beast yake kama ni hivyo?
Kwa wazungu Kuto kumdharau na kumbagua mtu mweusi ni tabia ya ziada na ya asili kwao na ni ya kujifunza na ni tendo la kujilazimisha na ku pretend, lakini ubaguzi dhidi ya mtu mweusi na dharau ndio default behaviour ya mzungu nao ndio uhalisia wakemti wa mbuyu ni mbuyu tu, hata kama siku utatoa majani ya mpapai usisahau kuwa ni mbuyu.
FATA MZIZI.
Kweli kabisa !Sio kwa maneno