kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,668
- 9,809
Hili aje Erythrocyte atolee majibu yake. Kiukweli lina kera sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh...!, kamanda...!.Au tukichangishana zitatafunwa kama tulivyotafuna pesa za mzee Sabodo?
Nakwazika sanaChama kikubwa sana lakini ofisi kama banda la njiwa
Nakwazika sana.Hili aje Erythrocyte atolee majibu yake. Kiukweli lina kera sana
Nacheka kwa sababu unanipakazia. Mimi sio MccMUmeongea jambo la msingi japo upo upande wa pili. Viongozi lifanyieni kazi hili ni aibu kuwa na ofisi kama ya jogoo pale manzese r.i.p mrema
Punguza ujuha wewe! Project Yako hiyo haikuletei mboga jikoni tafutq mbingu nyingine ya kupata pesa kwani hii ya kuisakama cdm huna akili hizo zaidi no utoto au ujinga tu unakusukuma kujaza server!Tunawanachama na wafuasi kama mil mbili.
Sasa kama tukichana elfu kumi kumi tuna uhakika wa kupata bil mbili.
Bil mbii tunasimamisha jengo la maana kabisa.
Au tukichangishana zitatafunwa kama tulivyotafuna pesa za mzee Sabodo?
Lack of IqPunguza ujuha wewe! Project Yako hiyo haikuletei mboga jikoni tafutq mbingu nyingine ya kupata pesa kwani hii ya kuisakama cdm huna akili hizo zaidi no utoto au ujinga tu unakusukuma kujaza server!
Au unaotembea na bit la madc ukiamini utapata shavu la bi mkubwa? Kauze nyanya uwajengee wewe kwani hizo bilioni unazoziwazia CAG ana taarifa zake! Itoshe kujiambia kuwa hangaika na ccm Yako acha ubwege!
Acha kuongopa, wewe ni ccm albino na Tena mpo Kama kumi hivi mnalipwa na mbunge mmoja kuichafua cdm na mwenyekiti wake! Faili lenu ninalo na ukibisha nitakuwekea sound note zenu hapa!Nacheka kwa sababu unanipakazia. Mimi sio MccM
Acha kunichafua.Acha kuongopa, wewe ni ccm albino na Tena mpo Kama kumi hivi mnalipwa na mbunge mmoja kuichafua cdm na mwenyekiti wake! Faili lenu ninalo na ukibisha nitakuwekea sound note zenu hapa!
Kama Yako ndio hiyo basi aliyekupima alikudanganya! Hoja Kwa hoja!Lack of Iq
Tunawanachama na wafuasi kama mil mbili.
Sasa kama tukichana elfu kumi kumi tuna uhakika wa kupata bil mbili.
Bil mbii tunasimamisha jengo la maana kabisa.
Au tukichangishana zitatafunwa kama tulivyotafuna pesa za mzee Sabodo?
Na nitakuchana Sana pamoja na huyo unayemtumikia siyo uikimbie jf Bali hata mtaa. Umedandia mtumbwi wa vibwengo unajiona akili kubwa eeh!Acha kunichafua.
Nipo mahala hapa nashushia lagerNa nitakuchana Sana pamoja na huyo unayemtumikia siyo uikimbie jf Bali hata mtaa. Umedandia mtumbwi wa vibwengo unajiona akili kubwa eeh!
Mimi nataka Chama chetu kiwe na maendeleoYaani wewe na CDM tu sijui walikufanya nini ,u always on their KCID.
Mimi nataka Chama chetu kiwe na maendeleo. Mbwa wewe.
Sisi Chadema unatuhusu?hii mada ya ofisi ni ngumu ngumeza. tuachane na hayo,nasikia bi mdashi katoa mkeka mpya huko?
Nipo jikoni kabisa huo mpango haupoCDM wanajenga Ofisi na wanajenga kimyakimya kuogopa hujuma/sabotage ya watawala hapo Ufipa panabaki ofisi za BAVICHA wing yao ya vijana.