Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mjinga weeAngekuwa ni hayati rais JPM wasingeinua pua zao kujaribu kuongelea hili suala. Waliheshimiwa sana na wanasheria wa serikali kwa kupewa ufafanuzi mrefu tu wa shughuli nzima za bandari zitakavyokuwa.
Labda wameogopa sura za kina Shivji na jaji Warioba na kuamua kusimama nao lakini nchi hii inahitaji uwekezaji pale bandarini wa kampuni kubwa kama DPW hivi sasa kuliko wakati wowote ule.
Huwezi kujenga reli ya SGR kwa matrilioni ya pesa halafu uwe na ufanisi ule ule wa kizamani.
Kama hawajausoma , vifungu vya mkataba wamepata wapi?Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Huu sio umbea ni kutaka habari kama jet ilizuiliwa huo sio umbea tunataka kujua nani anadhulumu mali zetu. Mshangao Dubai ni tajiri kweli kijindege chetu kimechoka kutaka kukamata sio style ya Makthoom kwa hiyo hao watakuwa matapeli wa bongos waliomdanganya raisiPunguza umbea
Mbona kama hili tamko la maaskofu limekulevyaa.Kwa wale wanaopata shida kuelewa kifupi cha baadhi ya maneno kwa utambulisho wa maaskofu kirefu cha ufupisho huo ni Kama ifuatavyo:
1. O.F.M Cap (Order of Friars Minor Capuchin) - Shirika la Ndugu wadogo Wafransisko Wakapuchini.
2. ALCP/OSS (Apostolic Life Community of Priests in opus Spiritus Sancti) - Shirika la Kitume la kazi ya Roho Mtakatifu.
3. CSSp (Congregatio Sancti Spiritus) - Shirika la Roho Mtakatifu
4. OSA (Order of Saint Augustine) -Shirika la Mtakatifu Augustino.
Sasa wao wakiukataa sisi inatuhusu nini? Wao ndo Wanaongoza nchi? Wao ndo nchi?
Hawa viongozi wa dini kuna mahali walidekezwa sana hadi wao kujiona kuwa ni sehemu ya uongozi wa hii nchi. Ni upuuzi uliotukuka.
Kwa hiyo na wao wakitaka kujenga kanisa Serikali ianze kusema inapinga wao kujenga makanisa?
Vipi wakilambishwa asali wakakaa kimya na baraza lisipofutwa tukufanye nini...???Huu ugali wa Viongozi (BANDARI) Yeyote atakayejaribu kuusogelea lazima akumbane na mkono wa chuma.
Hawa ni ngumu labda MasheheVipi wakilambishwa asali wakakaa kimya na baraza lisipofutwa tukufanye nini...???
Ona ulivyo TAHIRA.SSH ushauri umeusikia lakini sio lazima kuufata.
πUwekezaji wa DP WORLD ni kwa manufaa mema ya nchi yetu watake wasitake ni muhimu uwekezaji ufanyike hakuna kuuacha.
Mjinga wee, Mungu aliwatumia Manabii Toka enzi na enzi akiwatuma kuwaonya Wafalme .Hivi hawa wanajiita maaskofu nani kawadanganya kuwa kwenye katiba ya nchi hii wana uwezo kutoa maamuzi ktk mikataba ya serikali?
Shida kubwa inatokana na akili ndogo. Wao wameshazoea kuona kondoo wote wanawapigia magoti na kuwaomba msamaha ili wawasamehe dhambi sasa wanadhani huo uongo wao wa kujipa cheo cha kusamehe madhambi utaifanya serikali na wananchi waone na wao wa maana.
Mi nasema tafadhali sana .
Maaskofu nyie kaeni huko huko mkidanganya kondoo na kula hela zao. Serikali iacheni ifanye kazi yake.
Haitoshi kula hela za bure kila siku sasa mnataka kujiingiza kwenye kazi zidizo wahusu?
Msituharibie nchi tafadhali sana
Hawa watu wa mnyezi , ni wachache sana Nchi hii.Huu udini huu.
Kuna siku zitapigwa haki ya nani.
Hapa niko nasubiri tamko la Sheikh Kipozeo & Co π
Poor Tanzania!
Kutoka kwenye umoja na mshikamano mpaka kupambana kwa udini waziwazi hivi. This is extremely sad!
Mtanzania gani mwenye elimu yenye mashiko na asie mfia dini au mpenda wazungu ameukataa huu mkataba?Wewe unahisi, Mkataba Huu, watanzania wanautaka??
Kama Wana CCM wenyewe, hawautaki, vipi kuhusu Watanzania??.
Sawa na Prof Shivji π€£π€£π€£Hao jamaa mkuu wasikupe tabu huo mkataba walipitisha azimio la kidini na meseji walisambaza wapinge kwa mlengo wa dini .
Hao maaskofu wanapinga kwa mlengo wa kuwaogopa waarabu .
Pr. Tibaijuka ,kuzunguka kwake kote kule ni maelekezo ya kanisa apinge ndo maana kila siku anakuja na loopholes mpya ili kuonyesha weakness kwenye mktaba ila moyoni kajaa maelekezo ya kanisa.
Hao wakina Mwabukusi na wengine wote hata waliotoka CHADEMA wanaungana na wakristo wengine kupinga kwa mlengo wa dini ,hawana cha maana ni order ya ujumbe walisambaza makanisa yote wapinge wakiwatumia watu wenye nyadhifa za juu waliokuwa wakristo .
πππna ikufikie kwenye kiti chekundu