Mjinga wee, Mungu aliwatumia Manabii Toka enzi na enzi akiwatuma kuwaonya Wafalme .
Kwahio mchungaji SLAA na Tundu lissu wametumwa na Mungu sio. 🤣🤣
Hizi bange za kigoma mbaya sana.
Acha mdogo wangu.
Utaanza kuimba taarabu kwenye baa bure wakupige walevi.
 
Nikishaandika kuhusu BBT, tunamsubiria, kufikia 2024 ,tunamrudia.
 
Bunge limesharidhia haturudi nyuma .endeleeni kutoa matamko ndio uhuru wa habari huo
Bunge la majizi ya kura hakuna kitu mtafanya. Wote tunajua bunge hili lilipatikana kwa uchaguzi wa kihayawani wa 2020. Watu kukaa kimya sio kuridhika na ule upuuzi uliofanyika. Ukitaka kujua bunge hilo halina uhalali, angalia sauti za wananchi zilivyo na nguvu.

Na kwa kukusaidia tu, msiposoma alama za nyakati kwa kujua hakuna anayewataka madarakani, subirini kutolewa kwa machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi. Hatuwezi kuwa na chama kinachozeekea madarakani kwa kupora chaguzi za nchi, na kuuendelea kuuza rasilimali za umma kwa ubabe. Hivyo vyombo vya dola navyo vimeshawachoka, wanasubiri wananchi tu walianzisha na wao wapate uhalali wa kuwapiga chini.
 
Tatizo ni kwamba miaka ya mchonga meno nchi nyingi za kiarabu nazo zilikuwa utumwani kwa hiyo hawakuwa na elimu au mali na hali ya kujipambanua nao kutoka kwenye ukoloni wasingeweza tawala Tanganyika.Nchi za kiarabu zilishiriki tu kama madalali wa kuuza waafrika utumwani
 
Kwahio mchungaji SLAA na Tundu lissu wametumwa na Mungu sio. 🤣🤣
Hizi bange za kigoma mbaya sana.
Acha mdogo wangu.
Utaanza kuimba taarabu kwenye baa bure wakupige walevi.
Unaona ulivyo bwege...

Kwa habari ya Lissu, Mbowe, hao wameongea kama watanzania walio Ndani ya vyama ,waloamua nawao kukutumia hili kama sehem ya Siasa .


Punguza ujingaaaa
 
Wewe nimeshakushauri uhame tuu hii nchi maana utakufa kwa presha.
 
Nikikumbuka ule utapeli wa siasa ni kilimo, kilimo cha kufa na kupona, kilimo kwanza na bado wakulima wanazidi kuwa masikini, nacheka sana nikisikia utapeli ule ule kwa jina tofauti.
 
Siasa na dini zitenganishwe.
Hawa maaskofu WAKAMATWE kama MWABUKUSI na WENZAKE.
Haiwezekani wapinge maendeleo ya NCHI.

Hizi ni kauli za kichochezi.
Wewe nikuma nini?? Au unajitoa ufaham.


ROSATAM wameanza uchimbaji wa Uranium Tanzania, kwann hawapingwi??.


Kuna kampuni ngapi zimeweke, nchin??.


LIMKTABAAAAA LIBOVU NDO HATULITAKI.
 
Ona hii takataka inachoandika NONSENSE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…