Ukisoma maelezo ya Baraza Kuu la Maaskofu Tanzania hadi raha, Kiswahili kizuri na chenye mpangilio unasoma mstari kwa mstari aya kwa aya kila kitu kimepangiliwa na kunyooka …
Hafi raha nacho ni kiswahili cha wapi?
 
Mkuu kabla ya kutaka kupora Bandari ulishasikia mtu anawataja DPW?

Msijifiche kwenyw hoja dhaifu haitawasaidia nyie vibaraka.

Ukoloni ni mbaya sana

Mwarabu aliwafanya kuwa watumwa lakini hadi leo mnamwabudu
 
Wewe nini wewe jiandae kuificha sura yako utachekea kwenye shimo la choo mnataka mtuongize kwenye mikataba MIBOVU ikibuma mnataka tulipe sisi alafu mlivyo mazuzu mnaleta habari za udini wakati kinachongelewa sio issue ya dini
Upuuzi mtupu.
 
Tangu mwanzo mliambiwa kujibu hoja za Mkataba mkapandikiza Udini na Bigshow na Akina Faiza Fox.

Haya sasa ngome hiyo ichezeni sasa tuone.😆😆
We mtoto unadhani waislamu wanaweza kupandikishiwa vitu ovyo km wagalatia?
We nambie hapa. Hao MAASKOFU kipi wanachopinga km sio kuogopa WAARABU?
Weka kipande cha mkataba huo hapa ambacho hao wagalatia wanadai ni kibovu.

Hakuna hata mmoja ktk hao wanaopinga kaweza kuonyesha hapa.
Sasa kaa kimya tuwatie bakora za madras hawa waefeso wasio na busara
 
Wewe jamaa ni mpuuz kweli yani. Zero brains 🧠
 
Wafungulieni kesi za uhaini hawa
 
Hakika kwa tamko lile Mama anayo machaguo Matatu tu:

1. Aachane na DP World

2. Afanye marekebisho ya mkataba kwa kuurudisha Bungeni

3. Ashupaze shingo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…