Pro dikteta.

Nchi bila demokrasia kwa Afrika ni hakuna kitu. Rushwa na ufisadi ndio ngao ya vyama tawala.

Huyo Jpm alitupuga 1.5T huku akijiita Mzalendo
Tofautisha udikteta na nidhamu.

Serikali iliyopo madarakani ina mandate ya kufanya maamuzi ya kisera.

Lenye wengi hakuna maamuzi yenye kuwafurahisha wote popote duniani.

Ni haki ya watu kukosoa au hata kupinga on merit; lakini hawana haki ya kusema lazima wazuie kwa sababu tu hawakubali.

Sasa ikifikia hatua watu wanakutishia nyau, vyombo vya ulinzi vinafanya majukumu yao; halafu wewe kiongozi unatetemeka na pressure za media au sijui taasisi uchwara na kuingilia kazi zao unajitafutia matatizo.

We unadhani huko ulaya wangekuwa wanajali sana eco-warriors, sijui environmentalists na arguments zao tena zina nguvu; North Sea na Gulf of Mexico mafuta na gas yasingechimbwa.

Nimekupa mifano ya hayo maeneo mawili hapo juu maana yapo nchini U.K. na US kwenye jamii ya watu wenye midomo mirefu kama chuchunge na kujifanya wanajua kila kitu na wana majawabu ya kila kitu. Serikali zao ingekuwa inawasikiliza hakuna vitu vya maana wangefanya.

Piga kelele wewe siku kazi ikianza ilimradi ni maamuzi ya serikali wapingaji awataki kuelewa somo sijui wapo wapi wana protest. Jamaa wakiingia watu wanasombwa na polisi kama mifugo vile si kwa sababu wametumwa na wanasiasa ila wanatekeleza majukumu yao.

IGP keshasema jeshi la polisi halina shida na kupinga hoja za bandari hila wabaki kwenye mistari hiyo habari za kujifanya unatishia serikali na kutoa ultimatums huko sasa ni kununua ugomvi na polisi.

Sasa sijui mpuuzi gani huko serikalini kapindua maamuzi. Nchi ya kuchekeana chekeana sana ndio maana watanzania hawana discipline kabisa popote duniani ukikutana nao wao kila kitu poa; matatizo haya msingi wake ni serikali isiyoweka culture ya watu kuweza kuheshimu mipaka ya wengine kwenye jamii, makazini mpaka serikalini.

Hovyo kweli
 
Ujinga mtupu, yaan Hadi mahakama inashangaaa ,mahakama inakubali madhaifu makubwa ya Mkataba

Alafu lijinga limoja ma wahuni wenzio kisa ni wavaa visuruali vifupi, ndio uone Mkataba uko sawa...
Wakati tundu lissu na mbowe wanadai haki zao mlisema mahamaka zetu hazina haki.

Leo mahakama hio hio imekuwa inajali haki za raia!

Hivi nyie viumbe lini mtaamka na kumtambua ADUI WA HAKI ZENU?
 
We umeuona huo mkataba?

au unabeba tu story km zile story za ibada za weekend ambazo hao watoa story hawaruhusu hata wana kondoo kuuliza maswali
Ni mkataba wa maajabu sana kiasi uniulize kama nimeuona?
 
Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Na wewe umelisoma kweli tamko hili mpaka mwisho au umesoma heading tu kama ilivyo kawaida yenu na kutoa hukumu?

Kwa maelezo haya unadhani yametoka kwa watu wasiosoma na ambao hawaujasoma mkataba wenyewe kabla hawajaamua?

I really feel very sorry for you..
 
Nilikuwa nakuona una akili ila nimegundua kuwa wewe ni mjinga sana? Kwa hiyo unataka kusema kuwa Tanzania inaongozwa na Roma?

China nako Roma wakisema wamesema?

..kama Maza anawapenda sana Dp World basi mshaurini awalete kama Ticts ya kina Karamagi.

..lakini mkataba unaotulazimsha mpaka tubadili sheria zetu, tena tulizoandika juzi tu 2017, unatia mashaka makubwa na haukubaliki.
 
Wakati tundu lissu na mbowe wanadai haki zao mlisema mahamaka zetu hazina haki.
Leo mahakama hio hio imekuwa inajali haki za raia!
Hivi nyie viumbe lini mtaamka na kumtambua ADUI WA HAKI ZENU?
Tatizo hujielewiz unaruka ruka na Kila jambo ili mradi tu ulete tafuran za kijihadi..


Jikite kwenye lililopo mbele Kwa Sasa

Oyaa Nchi hii waislam ni wachache mnooooooooooo yaan ni wachache mnoo.
 
..kama Maza anawapenda sana Dp World basi mshaurini awalete kama Ticts ya kina Karamagi.

..lakini mkataba unaotulazimsha mpaka tubadili sheria zetu, tena tulizoandika juzi tu 2017, unatia mashaka makubwa na haukubaliki.
Mwambie
 
Wana JF.

Hili ni jukwaa pekee ambalo tunathubutu kusema ukweli wazi wazi.

Naamini kabisa kuna wanajukwaa humu wanaujua ukweli. Hebu tufunguke, kwanini viongozi wa Kanisa hasa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wanapinga sana suala la serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushirikiana na Dubai kupitia Kampuni ya DP World katika uboreshaji na uendelezaji wa bandari zetu?

Kuna masilahi gani ambayo Kanisa linafaidika kupitia mfumo wa uendelezaji bandari uliopo sasa?

Kweli kabisa Great Thinkers wa Jamiiforums tunaamini viongozi wa Kanisa wamesukumwa na maoni ya wananchi? Kwamba Kanisa limeamua mpaka kutoa waraka kuhusu suala la bandari kwa sababu wananchi walio wengi hawataki?


[mention]FaizaFoxy [/mention] [mention]Pascal Mayalla [/mention] [mention]Lord denning [/mention][mention]JUMA JUMA [/mention]
 
Tatizo hujielewiz unaruka ruka na Kila jambo ili mradi tu ulete tafuran za kijihadi..
Sasa nani anae ruka ruka humu zaidi yako.
Issue ya waislamu kuwa wachache au wengi imetoka wapi?

Na kwa akili yako ilivyo finyu unadhani Wingi wa Pumba ndio uzito mkubwa?
Hizo ni Pumba tu. Chuma kidogo lkn damage yake ni kubwa kuliko pumba fuso nzima.

ONYESHA ubaya wa huo mkataba. Acha kujidai na wingi wa mapumba.
 
Hiyo kampuni ni nzuri zaidi hata kuliko ulivyoieleza,ila kwenye mkataba kuna vipengele kadha wakadha k.m ilivyoelekezaa na TLS vinapaswa kurekebishwa
 
Nimekuja mbio nikishani ni wananchi, kumbe ni baraza la wanaowakilisha dini yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…