Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Laiti ungejua kati ya wasomi kweny dini ni hao jamaa, iwe sheria, uchumi na mamb mengine!!Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Sasa ndio umeandika nini?Unafikili ao elimu dunia tu awo wasomi hooo
Imeishaaaaaaaa, Mkataba kuleee.Wanajiona wao tu ndio watakaokwenda mbinguni🤣🤣🤣
Ila JF ya siku hizi ya ajabu sana. Sasa unalazimisha imani yangu kisa nimeeleza kuhusu waromani? Ha ha ha! Ok nambie nikuelezee imani gani nyingine ili uamini vinginevyo.Kwa maelezo haya unaonyesha wewe ni mkatoliki kindakindaki uliyenyweshwa maji ya bendera ya Vatican kwahiyo Acha kujificha kwenye Imani za watu wengine kuwa muwazi tu
My friend hawa siyo akinaMwaipopo, Hapo kuna PHD za kutosha na kama kawaida Genuine PHD holder yoyote (siyo kama ile Msukuma) huwa ni wapenzi wa maandishi na hawasomi tu bali ni kusoma na ku-analyse.Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Kwamba ni wajinga kiasi hicho?Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Yaani mapadre wasisome , Mauliid Kitenge na genge lake wasome!Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Endelea kujipa faraja.Imeishaaaaaaaa, Mkataba kuleee.
Slaa, Mwabukusi, Mdude...haooooo mtaani 🤣🤣🤣🤣
Hao sio masheikh ubwabwa hao, hawaja jaza kiarabu kichwani hao usisahau hilo.Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Mjinga yeyote lazima awaze kama wewe maana hujui chochote maamuma wewe.Vitamko uchwara kama hivyo haviwezi kuzuia serikali kuendelea na majukumu yake!!
Utamfanya nini? Na wewe si umwambie tu ukweli kama alivyosema yeye!Usinitishe narudia tena usinitishe na wala msijione ya kwamba ninyi ndio wakamilifu Tu kuliko dini zingine. Full stop
Acha kudanganya wenzako weweHulijui Kanisa la Roma wewe, hao hata wakiamua leo huyo mama abduli kesho asepe atasepa ila hekima wanayo
Halafu Baraza la Maaskofu HALITAMBULIWI na Vatican. Na sijui kwanini huwa lipo.Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Upo wrong sana. Jaribu kuwa updated na maswala ya nchi yako. Nani kakuongopea hawa tec hawakutoa tamko kipindi cha magu.?Baraza lenyewe la mchongo. Mbona wakati wa magufuli hawakuwahi kutoka tamko lolote au wapo kwaajili ya kukosoa uongozi wa kiislamu Tu?
Ungefatilia kwanza mapadri wa Roma wanapatikanaje ndo uongee mzee, hao ni vichwaa kwelikweli na shule imekaa mzeeUsikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu