Kama wanautaratibu huo ama wakaanza itakuwa vema. Mwisho wa siku tutajua chuyu ni zipi, pumba zipi.

Kila kitu kitakuwa hadharani, binafsi natamani na wao watoe matamko haraka sana.
 
Kama wanautaratibu huo ama wakaanza itakuwa vema. Mwisho wa siku tutajua chuyu ni zipi, pumba zipi.

Kila kitu kitakuwa hadharani, binafsi natamani na wao watoe matamko haraka sana.
Sasa kwa mfano BAKWATA wakija na waraka wa kuunga mkono mkataba wa serikali na DP world itakuwaje
 
Ni bora waje na mkataba huo ili watanzania tukubaliane kuwa TANZANIA SI TAIFA LA KIDINI....

Hatutaki udini....

Watuache na amani yetu....

#KataaUbaguzi[emoji120]
JK atuambie 👉🏽 Hapa ilikuwa mambo ya kiroho au siasa? 👇🏾Walienda kufanya nini Vatican? 😄

Eti tusichanganye dini na siasa 🤨 hivi unatuonaje hawa?
Kama mlikaa kimya mpk sasa na kushindwa kusimama upande sahihi - ajue imeenda hiyoo 😂
#OkoaBandariZetu #TutaelewanaTu
 

Attachments

  • IMG-20230820-WA0030.jpg
    43.1 KB · Views: 2
Nyaraka za madhehebu ya wakristo hazitatofautiana. Nyaraka za mashehe ndio zutaunga mkono. Kwa hili wao ni kama Fisiemu tu maadamu mwarabu yupo.
 
Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Mimi ni mwislamu hao watu wapo vizuri wamewekeza kwenye resilimali watu, wa fans zote hapo hawajakurupuku wamechambua kipengele kwa kipengela ndugu
 
Mama katuuza, nilimsikiliza Prof Shivji jana akiuchambua huu mkataba kwakweli inasikitisha, unajiuliza hawa walioingia mkataba na DP World ni Watz wenzetu kweli au mamluki?!.
Ndo ujue ma CCM kuna mazwazwa, hata ule wa bandari ya Bagamoyo Kikwete alikuwa ameshaa Sain, kama sio JPM, sasa Kikwete na huyu MAMa ni kama uji na mgonjwa
 
Mimi ni pia nikiri ni mwislam, ukisoma hilo andiko limenyooka na inaonyesha kabisa limechambuliwa na watu waliosom wakaelimika sio wale wakushamgilia kuwa mama ametuletea neema ukiwaambia kwenye mkataba imeandikwa wapi hawawezi kukuambia
 
Sisi wavaa kobazi tunasubiri waraka wa BAKWATA tufate, maana yule mungu wa katoliki sie hatumtambui kabisa
 
My friend hawa siyo akinaMwaipopo, Hapo kuna PHD za kutosha na kama kawaida Genuine PHD holder yoyote (siyo kama ile Msukuma) huwa ni wapenzi wa maandishi na hawasomi tu bali ni kusoma na ku-analyse.
Wambie bana sio wa kwetu inatoa rais siyewze kuandika kwa usahihi intrumet of ful power kwa waziri wake
 
Mtu mpigaji haukuchukui muda kumgundua, usilete chuki zako binafsi huku.
 
Nilipoona 17 trillion nikajua amna kitu kichwani
 
ILa saa100 anawapa ccm wakati mgumu SANa yaana mtu unawataalam wa kila aina badala uwatumie unapanda ndege hapa kwa kodi zetu unaenda kusain hiyo takataka kama vile mtu amekatwa kichwa
 
Tumeshasikia msimamo wa katoliki juu ya bandari na wameunga mkono waumini wao.
Sasa na sisi tunasubiri BAKWATA itupe maelekezo kupitia tamko rasmi tufaate.
Binafsi sikuwa nimesoma huu waraka na nilikuwa mfuasi wa kuupinga huu waraka ila leo nikasema niutafute.

Nilichojifunza na sasa nauunga mkono huo waraka na Hakuna baya wala jambo la kidini lililoandikwa humo kama baadhi ya waislam wenye upeo mdogo wanavyodai. Jamaa wameandika facts tu na sio hiki msemacho nyie. Hawajataja Ukristo wala uislam. Sasa hili la kusema udini sijui limetokea wapi? Mapendekezo yao yametokana na kuupitia mkataba na kuonesha vifungu vyenye mapungufu ndani ya mkataba ambapo pia wadau wengi waliyasema.

Bro, ebu acheni blah blah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…