Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Hapa sasa ndio tutajua, .
Serikali na baraza la maaskofu wa Roman Catholic nani mkubwa, maana kwa mujibu wa wadau hapa inavyoonekana baraza la maaskofu ndio linaloendesha nchi ya wadanganyika.
Vipi BAKWATA nao watatoa waraka wao?
Pia madhehebu mengine ya dini wakitoa nyaraka zao itakuwaje?
Ipi nafasi ya wasio na dini nao katika nyaraka?
Vipi kama nyaraka zitatofautiana serikali itafanya nini?
Kama vipi tuchapane tu, ili kila mtu arejee kijijini kwao, nadhani baada ya mnyukano tutaheshimiana.
Kama wanautaratibu huo ama wakaanza itakuwa vema. Mwisho wa siku tutajua chuyu ni zipi, pumba zipi.
Kila kitu kitakuwa hadharani, binafsi natamani na wao watoe matamko haraka sana.