Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Mimi ni mkristo mkatoliki! Natoa maoni yangu kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya katiba ya Tanzania.

1.With due respect, sijaona wazo la maana la TEC. There is NO substance in it. Dunia ya leo inajengwa na uwekezaji wa kimataifa(international investments).

Hata China, Russia kuna uwekezaji mkubwa wa makampuni toka nje ya nchi. Tanzania siyo kisiwa. Lazima tuendane na sera za kiuchumi za dunia ya leo. Kuendesha mifumo ya uchumi mkubwa kama bandari, kijamaa tumeshindwa na tutaendelea kushindwa. Hata hii SGR tukisema iendeshwe kwa mifumo ya utumishi wa umma tutashindwa pia. Assets zenye sura ya kibiashara kama hii lazima ziendeshwe na private sector ili zilete faida na tija.

2. Findings za hao TEC ziko based on heresay. Wametumia axiom ya vox populi vox dei, Sauti ya watu ni sauti ya Mungu.Je ni watanzania wangapi wanapinga uwekezaji huu wa DP World? Je kuna wakatoliki wangapi hapa nchini? Je wakatoliki wote wanaupinga mkataba huo? Je wakatoliki waliomo kwenye orodha za wakatoliki bado ni wakatoliki mpaka sasa?(Wengi wameshahamia kwenye ulokole).

Ukijibu maswahi hayo utaona maaskofu wa TEC hawana uhalisia kwenye waraka wao.Ni blah blah tu. No driving facts. It is just FALLACY OF GENERALIZATION. Findings zao hazina supporting data. Wamekurupuka!

3. DINI: Naona ni hofu za masilahi yao ya kidini, wala siyo tatizo la mkataba. Wazungu toka nchi za magharibi walipoingia mikataba ya kuiba madini ya watanzania, maaskofu wa TEC walikaa kimya!!! Leo wakati wa mkataba na waarabu ETI wanajitia kuandika waraka wakijipambanua ETI wazalendo,watetezi wa rasilimali za nchi. UWONGO mtupu!

4. Serikali haina dini na mambo yote ya dini yapo nje ya mifumo ya serikali(Ibara ya 19 ya katiba ya TZ,1977). Huo waraka wao hauna mashiko wala nguvu yoyote mbele ya Jamuhuri. Ni kama makaratasi ya kufungia maandazi tu! Hayo ni maoni yao kama maoni ya mtu yoyote yule.

CONCLUSION: Serikali iendelee na mchakato wa utekelezaji wa mkataba na DP World HARAKA SANA, ili kama taifa tuanze kunufaika na uwekezaji huo HARAKA. Serikali kikatiba ina mizizi mirefu sana na mikubwa sana, isiyumbishwe na kelele za chura ambazo ni nyepesi sana.

Wananchi tuna hitaji pesa ipatikane ili tupate huduma bora za kijamii. Uwekezaji DP world ni LAZIMA ufanyike. Na ufanyike HARAKA iwezekanavyo. Serikali ina legitimacy ya kufanya maamuzi kwa niaba ya wananchi kwa sababu iliingia SOCIAL CONTRACT na wananchi kwa kushinda uchaguzi,2020.
Mimi mkatoliki. Nakubaliana na Waraka.
 
Mimi nafikiri hapa hoja kubwa inayo pigiwa kelele ni ubovu wa mkataba ilio ingia Tanganyika na Dubai.
Nimesikia, mkataba mbovu ambao hauna maslahi mapana kwa taifa ndio hasa chanzo na ndipo tatizo lilipo anzia.
Kwahivyo hapa hoja sio kwamba wapingaji hawataki muwekezaji, Lah.
Wewe upo wapi,angalia conclusion yao,wamependekeza mkataba ufutwe eti bandari ziendeshwe na wazawa
 
........wabongo tulio wengi nadhani tuna shida kidogo, hili ulilosema limerudiwa zaidi ya mara mia lakini sijui kwa nini watu hatuelewi.......
Siyo kwamba hawaelelwi, wanaelewa Sana Ila ni kakikundi kanakofaidika na ufisadi Serikalini kanadhani Watanzania wengine ni wajinga wao Tu ndo Wana akili.
 
Na kesho waraka utasomwa katika makanisa yote ya kikatoliki Tanzania nzima wakatoliki wote watafahamu kinachoendelea nchini. Kuanzia parokia ya St.Joseph posta mpaka Parokia ya Bikira Maria kule Mkurusi Mbinga vijijini

Sent from my HUAWEI NMO-L31 using JamiiForums mobile app
Sio Mbinga tu, hadi kule Nyasa Lituhi ndani huko [emoji23][emoji119]

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Hakuna anaebisha kuwa mkataba wa DP World na Tanzania ni move. Wanaharakati wameweka bayana na sisi tusio wanasheria tumeelewa. Hilo ni jambo jema.

Shida inakuja pale Taasisi moja ya dini inajiona yenyewe ndio inaweza kuamua na kusemea taasisi zingine. That's stupidity !

Tanzania ni ya wote Christians, Muslims, Jews, Buddhists na hata wasio na dini rasmi za kigeni.

Iweje Taasisi moja idai yenyewe ndio ina mizizi kwenye kila kaya. Kwa hiyo mnatutisha sisi protestants na Waislamu eeh?

Mbona mnamwandama sana rais na serikali angekuwa ni muumini wenu mngefanya hivyo?

We are no longer under the yoke of Papacy regime.

Waprotestant tupo wengi tumaweza jisemea.
Naomba mkae kwa kutulia.

Mkataba hatuutaki na utumwa wa kidini hatuutaki pia.
Nimemaliza.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Njoo na hoja kama waliokuja nayo TEC , ukiona jambo hili limeonekana kwa TEC pekee basi tambua wao ndo vinala wa yaliyo mema ktk taifa hili, otherwise mihemko na wivu ndo remote inayokuendesha ndugu mwandishi

Hata hizo taasisi zingine kama wanao uwezo wa kulisemea jambo kwa hoja hakuna alie wazuia lakin kuamua kwao kukaa kimya manaake nao ni miongoni mwa ma stupids kwa taifa letu
 
Kwenye uchaguzi 2020 TEC haikuwepo kusikiliza maoni ya wananchi,serikali Ulipo lazimisha utawala wa Chama kimoja....huu ndio unafiki sasa.
 
Uchaguzi 2020 TEC walikuwa wapi kutoa waraka baada ya serikali kulazimisha CCM itawale majimbo karibu yote?
 
Madhehebu yote ya dini wanapewa misamaha ya kodi kiwango fulani, kama wakiomba.
Kama ambavyo watumishi wote wa umma wanapata tax exemption kwenye bidhaa fulani, lakini pia ni mpaka uombe.

Ni juha wa kutupwa tu anayeweza fikiri kuwa kodi hazishughulikiwi na TRA, ila na hao watoa mizigo (TPA & assoc).

Ukisema taasisi za dini zinaogopa kwamba DPW wakija,misamaha ya kodi itakwisha,maana yake ni kuwa hao DPW pia watahusika na ukusanyaji wa mapato na mifumo yote ya utoaji mizigo.

Maana yake kwa mujibu wako wewe Crocodiletooth na wenzako, DPW inawaondoa TRA pale bandarini na kubadilisha sera na sheria zetu za kodi.
Ni kweli madhehebu almost Yote yana exemptions, lakini wenzetu kuna na mengine nyuma ya pazia elewa hili,watu siyo wajinga kivile!
 
IBARA 4 (2) ya mkataba huu wa Kimangungo inasema, iwapo Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari, inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi. Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai Tena kwa Mali zake? Ujinga huu ubaki CCM.
To be truly kifungu kama hiki ni cha kukitoa kabisa aidha,nchi ina kuwa imeolewa sasa¡ 😁😁😁!
YAPO YA KU EDIT KABLA YA KUSONGA MBELE ZAIDI,UNTO DEEP!
 
Na kesho waraka utasomwa katika makanisa yote ya kikatoliki Tanzania nzima wakatoliki wote watafahamu kinachoendelea nchini. Kuanzia parokia ya St.Joseph posta mpaka Parokia ya Bikira Maria kule Mkurusi Mbinga vijijini

Sent from my HUAWEI NMO-L31 using JamiiForums mobile app
Umetudharau watu wa mbinga, ungeanza na kwetu ukamaliza na Nansio, ukerewe
 
Hakuna anaebisha kuwa mkataba wa DP World na Tanzania ni move. Wanaharakati wameweka bayana na sisi tusio wanasheria tumeelewa. Hilo ni jambo jema.

Shida inakuja pale Taasisi moja ya dini inajiona yenyewe ndio inaweza kuamua na kusemea taasisi zingine. That's stupidity !

Tanzania ni ya wote Christians, Muslims, Jews, Buddhists na hata wasio na dini rasmi za kigeni.

Iweje Taasisi moja idai yenyewe ndio ina mizizi kwenye kila kaya. Kwa hiyo mnatutisha sisi protestants na Waislamu eeh?

Mbona mnamwandama sana rais na serikali angekuwa ni muumini wenu mngefanya hivyo?

We are no longer under the yoke of Papacy regime.

Waprotestant tupo wengi tumaweza jisemea.
Naomba mkae kwa kutulia.

Mkataba hatuutaki na utumwa wa kidini hatuutaki pia.
Nimemaliza.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Inaonekana hujiamini, kudhani kwamba umesemewa jambo flani na mtu bila ushahidi it's just stupid nonsense!.
 
Nenda kajifunze Unyama wa Nyerere akishirikiana na KANISA kwa lengo la kudhulumu Haki za waislamu Nchini.
Ukikosa njoo inbox nikupe Data. Kama wewe ni mpenda haki na mpenda kujua ukweli
Iko siku utanishikuru .
Huu ni uchizi tu unaokusumbua siku zote.
hata huyo unayemjibu na kumueleza haya atakuwa anakuona kuwa kichwani unao upungufu mkubwa sana; halafu eti unahoji elimu aliyo nayo?
Hii ndiyo elimu unayotaka aijue?
 
Ndio maana bado inaitwa Negotiations.
Bado watu wanajadili na hakuna kilicho sainiwa mara ghafla MAPADRI wanakusanyana pamoja na kutoa hitimisho kuwa MKATABA HAUFAI.


Mkataba upi ULIO SAINIWA ambao umesha pitishwa na serikali USIOFAA?
Huo wa IGA ni kitu gani; ambao umelazimu hadi kwenda Bungeni?
Haya yote yamejadiliwa humu muda kitambo; wewe ulikuwa wapi kama hukuyaona?

IGA mbovu itazaa vipi hivyo vimikataba ambavyo vitakuwa bora?

Kama hamuitambui IGA iondoeni; hivyo vimikataba vijisimamie vyeyewe.
 
Huo ndio ukweli mchungu je usisemwe? Waoga hukimbia bila kukimbizwa?
Kwamba Kuna mizizi kuanzia ngazi ya familia wewe umetushika na kuogopa Nini? Kwamba watu wataujua ukweli kuanzia ngazi ya familia?
Wapi Rais ametajwa kwenye Waraka uliotolewa akidunishwa?
Kesho akizingatia ushauri mtakenua meno kwamba ni msikivu!
Mkataba ni mbovu ila haifanyi taasisi ya Urais ivunjiwe heshima.

Sasa wanapodai wana mizizi kila kaya wanamtishia nani sasa?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
M
 
Papa huko Vatican ameridhia LGTB, amelaani sheria zinazowa kandamiza na kuwapa adhabu. Ametaka Mapadri kuwapokea. Tunasubiri tamko la TEC pia.

Hili Lina uhusiano na mada iliyoko mezani!
Hata Yesu aliwajibu! Wenye afya hawahitaji tabibu Bali wagonjwa! Kuna maana Gani ya kuhubiri habari njema kama hutawaisaidia waliopotea na kuwarudisha katika njia iwapasayo Kwa Mungu waiache dhambi yao ya LGTB! Mnabadilisha maana Kwa cheap mileage! Tukutane Dominika ya Leo tupate ujumbe wa mama kanisa.
Misaada mliyopewa kama kushika uchumba na dipii weld itawatokea puani soon!
 
Kanisa katoliki na taasisi zingine za dini zina exemption ya kodi ya serikali kwa vifaa vya ibada na vya hospitali zao. Wabunge pia wana exemption kama hiyo wanapoingiza vifaa vyao vya kibunge hususani mashangingi. Kodi hizi hukusanywa na mamlaka yetu ya mapato, TRA. Kwa hiyo unamaanisha DP World itakapotinga hapo bandarini, yenyewe ndiyo itakusanya hizo kodi na hakutakuwa na msamaha kwa hivyo vifaa vya makanisa wala mashangingi ya wabunge? Kama ndivyo hivyo kwa nini sasa unakataa kwamba DP World wametunyang'anya sovereign ya bandari zetu?

Huyo Karamagi hakuwa mmiliki wa TICTS. Hiyo ni kampuni ya wachina kutoka Hong Kong. Ilipewa masharti ya kuuza kiasai cha shares kwa watanzania, Karamagi ni mmoja wa hao watanzania wengi tu walionunua shares kwenye kampuni. Kama unavyojua bombastics za Wahaya, Karimagi alijifanya ndiye owner wa TICTS na watu kama nyie mkaamini ni kweli.
Mkumbushe kwamba Karamagi ni CCM Kindaki ndaki na Hajapinga ubinafsishaji wa Bandari na hivyo lao ni Moja na hakuna namna atawexa kuihusisha TiCts na kanisa!
Na kanisa imebainisha wazi wazi maeneo yenye shida na kuyatolea ushauri kama ilivyokua ilifanya huko nyuma. Ila kwakua wana akili kisoda watapuuza na wataendelea kulitia taifa hasara
 
Back
Top Bottom