Huyu bwenge anamaindi nikituma chochote kwa mwanangu wakati mwanae anakula vyangu hapa

Nashindwa kumuacha sababu Nina sababu ya kushindwa kufanya hivyo hali inayonifanya niishi kwa mawazo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umeshamwita bwege umeshamuacha siku nyiiingii.
Lakini kuhusiana na mtoto onyesha msimamo usiteterereke atazoea tu, mtunze mtoto kadri ya uwezo wako.
 
Reactions: T11
Wewe ni kama Mimi lakini mimi naona napata mawazo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
usiyakaribishe mawzo bro...kuwa na misimamo dhabiti...haswa ikizingatiwa wewe ni baba...na ukiona kuna hitilafu mketishe muongee......muhimu ajue 50% ya hao watoto wake kama baba yao yupo inamhusu.... but kama hayupo.....apambane na yeye....kwa kumshirikisha shughuli yeyote ambayo itaingiza kipato halali......usimruhusu akaleta kidomodom...simamia thibiti na boresha mahaba yetu.......hakikisha unatafuta PESA kwa bidii...
 
Mwingine akanambia, nataka nimpeleke mtoto likizo hii akamsalimie babake. Nikajua hapo tayari na kupashana viporo. Single mazaz jamani mtatuua.
 
Wewe ndio wale Mama Lwakatare alio waongelea
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mungu wangu!!!!
 
Kuna singo maza namtongoza ananibania kishenzi, labda anajua nataka kumgonga na kusepa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ulimsugua wapi aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejifunza kuwa kuna sehemu demu wangu nikimshika huwa anafika kileleni kama mara 3 kwa mpigo.

Lakini kwa Single mama hata nimshike vipi hafiki, so ni juhudi za kujua iyo sehemu.

Ukiweza kunyonya chuchu huku unamsugua na kuchezea kisimi at per basi show umemaliza.

NB: Hakikisha mikono yako yoote ina kazi ya kufanya kwenye mwili wake.
 
Singo maza wagumu washapitia kila aina ya show

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: dtj
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…