Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
We nae limbukeni tu, itakuwa kwenye ukoo wako wewe ndio wa kwanza kuhudumia mwanamke...

Sent using Jamii Forums mobile app
truth hurts.limekukaba hilo limeze hivyo hivyo.mwanaume atafute hela akuhudumie then umpangie matumizi ya hela yake umpangie na umbane asiwe na mchepuko.hakuna mwanamme ambaye hapendi kuwa na wanawake wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sass unataka uitwe baba na baba ake mzazi akipiga cm atamwita nani?
Si kumchanganya mtoto tu.
Mie nilikuwa nikimpigia simu akimpa mtoto simu anamwambia msalimie mjomba! Nikaona kama Mimi naitwa uncle kuna anaeitwa baba! Nikajikata ingawa haikuwa rahisi Sana kuvunja mahusiano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duke Tachez,
mzee umeshawahi kuishi U.S.A?

Hapana, sijawahi kuishi nchini Marekani. Sehemu kubwa ya maisha yangu zaidi ya miaka 25 (I'm 29 nw) nimeishi hapa hapa nchini Tanzania mikoa ya Arusha, Mbeya na Dar es Salaam.

Kwa nini umeuliza hilo swali?
 
Duke Tachez,
mzee umeshawahi kuishi U.S.A?

Hapana, sijawahi kuishi nchini Marekani. Sehemu kubwa ya maisha yangu zaidi ya miaka 25 (I'm 29 nw) nimeishi hapa hapa nchini Tanzania mikoa ya Arusha, Mbeya na Dar es Salaam.

Kwa nini umeuliza hilo swali?
nimeona una English moja imenyoka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuta upo nae...pengine dogo akazingua kidogo halafu wewe kama mzazi ukamgombeza dogo kidogo..utasikia kitoto kinali na kwenda kwa kama yake...mamy i want dady...shenzy kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom