T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Wanawake hawana utu, mwanzo wanajifanya atapenda watoto wako, ukimuoa anabadilikakaribu.... kwa nini unafanya vitu nyuma ya mgongo wake? Yes, I only trust mama yangu, baba nampenda sana...we meet wakati kila mmoja ana wanae....najua iko siku Mungu atatupa wetu...but hili kwetu sio tatizo kabisa...we really happy 98%...the remaining 2% ni chokochoko za hapa na pale...we understand......(Nimetamani kujua na kujifunza hicho ambacho ulijifunza kwa watu wengine)----- binamu yangu (we grow pamoja kwetu) my anko kid, alizaa na msichana ambae hawakubahatika kuoana, but walikuwa wameishi for long,,, waliachana, watoto akabaki nao.......yes life goes on....he meet a cute one falling mahabani....vikaovikachukua mkondo ndoano hiyooo......tulikuwa friend sana..we had a lots of things hidden....kuna mahali tulinunua shamba pamoja na tulijenga but kila mmoja kivyake........na tuliwekeana mipaka ndani kwa ndani.... wakati ameoa nikamwambia....kaanze upya hii nyumba iwe ya vijana hao wanakua......hakusema kitu,,,mtoto wa 1, wa 2, wa 3.......five kids in total....at the age of 40's....bibie akaanza kuwatenga watoto wa jamaa.....blabla mingi....mie nikauza nyumba yangu, nikabakisha eneo nikajenga vinyumba 4 vinavyojitegemea na kupangisha......sasa jamaa alimwambia mkewe pale pote pake......huwezi amini...nilishtakiwa mpaka mahakamani,,, bahati nlikuwa nna hati kitambo...niliwaacha waliwe pesa na mahakama kwanza....binamu akaiba ofcn,,, kibarua nje.....mkewe ana kazi nzuri tuu....cha kwanza sitaki kabisa hawa watoto wa mwalaya wako (nimenukuu)...kwa kifupi iliniumiza sana...watoto hawana kosa....jamaa ni ndugu yangu kabisa..... ila mateso anayopitia to day...wanawake ni hatari...this time simshauri chochote... tukikutana ntampa mma wa kutosha....off we go.....nilijifunza hapa......wa pili........
Siamini hawa viumbe
Sent using Jamii Forums mobile app