Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa
God forbid. (Mungu na awape watoto wenu wa ndoa).I like this....Thank you.. my dearest sister....sio vyote we can share in publicity.......najitambua na ninaelewa ninachokifanya............all in all.....najua wataka kujua na kijifunza kitu........one day I found the secure docs za watoto wake..online.....she is very smart as am...labda ndio maana Mungu alitukutanisha nae......ambazo baba ya wale watoto aliwawekea........so soo....she remind me kufanya kwa watoto wangu....it click me in diff engo......japo mpaka leo hajui if I dig that...na siwezi ingilia her past...nadhani sir God alinistua.....while she told me hiyo issue, nilikuwa nimefanya long ago......I take it upside down.....lets open for all our kids,,,we got 4, ....1 cute daughter n 3 young boys.... we opening for all.........she didnt metion the backward secure.....so what dd think my friend.........she is my lover......one of my house.... I changed everything n put her name....yes we care each....we built our new dream home together.... each docs under our family name......nilifanya haya ili nione kama kuna siku atazitoa......sizihitaji just transparent only......by the way nikajua each and every woman, anayo ya kwakwe pekee, may be na wanawe..... maisha yanasonga tuko na furaha zaidi ya furaha....watoto wamekua......mmoja keshaanza kazi....mmoja chuo....mmoja seconday the last one primary.... yes wanangu wa assets nyingi in background.......... sijawahi wala kufikiri au kukariri.....huyu ni stepmother wa my kids......for sure...watoto wote wanajitambua ...... tumewaunga kwa Damu ya Yesu.......
Nimekuelewa sana kaka mkubwa; transparency ni kitu cha msingi sana kwa wanandoa. Lakini nikupe hongera pia; how you handled that with maturity and wisdom; the good thing is you still maintained the peace of your family.

Nilichojifunza kwenye blended families nyingi; mzazi anakuwaga na hofu sana na future ya watoto wake wa nje; na usiri mwingi unaanziaga hapa. Usiri ambao unaharibu baadhi ya ndoa completely au ndo ile mnabaki kuishi kimachale. Nimejaribu kuvaa viatu vya mkeo; vimenipwaya lakini still naamini mkeo alipaswa akwambie kuhusu hizo assets za watoto wake; just kukwambia tu was enough. Ila ana bahati; she bagged herself a good man; angekuwa mwanaume mwingine hapo kingewakaaaa. Trust ni kitu cha msingi sana. It shall be well with your family
 
Hahahaa huwa tunasema kila siku usifanye upuuzi wa kuoa single mother siku ikifika utajua hujui. You'll keep ignoring our teachings but the painful lessons will never be forgotten.

If your kid is not your girlfriend's first-born, chances are you are signing up for a long con and the relationship is not genuine. The thing I know about women, after they have their first child, any relationship and marriage after that is usually out of convenience/business.

In fact, most single mothers would never choose the weak guy they entrap if they did not have a child in the first place. After a series of pumps and dumps from the guys she admired, they realize that no reasonable guy would ever marry them with a bastard. So they do the next best thing, find a weak guy with the most resources and marry for the money/social status, not love. Smart on their part, dumb on the guy's part.

In this era, where women use the law to enslave men, marrying a single mother is the dumbest thing a man can do.
Single mothers (almost all of them) marry primarily for resources/business.

That's why I advice guys to only marry childless women. It is not perfect and there are no guarantees, but the odds of being in a long con are acceptably low. Make sure you get a good deal. A childless and young woman (18-25). Anything less and the risks outweigh the rewards bigly.
Mkuu umetema nondo kama zotee, duu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukishamzarisha na wew watoto wako haina shida tena mtaish vizuri!!!!!
labda ushindwe kumzarisha labda hapo ndo kunaweza kukawa na tatzo.

Mfano umemkuta ana mtoto mmoja haraf wew ukamzarisha watano,,yaan wew lazma utaonekana una nguvu kubwa sana kwake na atakuheshm kuliko hata mzaz mwenzie,,,maana hata watoto wako ndo watakuwa na nguvu kwenye familia!! sasa tatzo liko wap??
 
Mi nimeoa singo maza maisha mazuri na ya amani....


Sent using Jamii Forums mobile app


Amani itakuwepo endapo Aliyemzalisha hana time naye.

Amani itakuwepo endapo hampendi aliyemzalisha.

Amani itakuwepo endapo aliyemzalisha ni choka mbaya.

Amani itakuwepo endapo aliyemzalisha anaakili na hapendi kuvuruga mahusiano yenu.

Vingine unajidanganya.

Mimi nimemzisha binti mmoja kutoka kanda ya ziwa. Nikamtelekeza kwa sababu za kiitifaki. Yule mwanamke ameshapata mwanaume mwengine wanaishi wote.

Cha ajabu Mwanamke ndio ananipigia simu akitaka nimcharaze tena. Anasema Mimi ni mzazi mwenzake hivyo anahaki ya kuniomba huduma ya penzi.

Mimi nilishangaa. Nikamwambia sitathubutu kumharibia jamaa aliyekutunzia heshima kwa kufuata hisia zako. Tuligombana sana ati namkatalia kumtooomba.

Yeye ananiita mume wake. Huwezi amini ndoa ile ipo mikononi mwangu. Nikiamua kupasha napasha muda wowote.

Lakini nimekataa huu mwaka wa pili kwa sababu ya heshima yangu kwa mshkaji ambaye hata hivyo simjui.

Hivyo Mkuu, usidhani upo salama sana. Kuna ndoa zinaishi kwa hisani ya Wababa waliozalisha wanawake mliowaoa.

Pia siri zenu zote na mambo yote utakayomfanyia wao wanatuambia. Mfano ni huyu niliyemzalisha. Akiudhiwa kidogo mashtaka lazima ayalete kwangu.

Mimi ndio namtuliza na maneno ya faraja anapoa.

Usicheze na wanawake Boss.

Nitaanzisha Uzi kuwahusu hao single mother. Case study atakuwa niliyemzalisha akaolewa na mtu mwingine.
 
Amani itakuwepo endapo Aliyemzalisha hana time naye.

Amani itakuwepo endapo hampendi aliyemzalisha.

Amani itakuwepo endapo aliyemzalisha ni choka mbaya.

Amani itakuwepo endapo aliyemzalisha anaakili na hapendi kuvuruga mahusiano yenu.

Vingine unajidanganya.

Mimi nimemzisha binti mmoja kutoka kanda ya ziwa. Nikamtelekeza kwa sababu za kiitifaki. Yule mwanamke ameshapata mwanaume mwengine wanaishi wote.

Cha ajabu Mwanamke ndio ananipigia simu akitaka nimcharaze tena. Anasema Mimi ni mzazi mwenzake hivyo anahaki ya kuniomba huduma ya penzi.

Mimi nilishangaa. Nikamwambia sitathubutu kumharibia jamaa aliyekutunzia heshima kwa kufuata hisia zako. Tuligombana sana ati namkatalia kumtooomba.

Yeye ananiita mume wake. Huwezi amini ndoa ile ipo mikononi mwangu. Nikiamua kupasha napasha muda wowote.

Lakini nimekataa huu mwaka wa pili kwa sababu ya heshima yangu kwa mshkaji ambaye hata hivyo simjui.

Hivyo Mkuu, usidhani upo salama sana. Kuna ndoa zinaishi kwa hisani ya Wababa waliozalisha wanawake mliowaoa.

Pia siri zenu zote na mambo yote utakayomfanyia wao wanatuambia. Mfano ni huyu niliyemzalisha. Akiudhiwa kidogo mashtaka lazima ayalete kwangu.

Mimi ndio namtuliza na maneno ya faraja anapoa.

Usicheze na wanawake Boss.

Nitaanzisha Uzi kuwahusu hao single mother. Case study atakuwa niliyemzalisha akaolewa na mtu mwingine.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] sababu gani za kiitifaki.Hizi ndoa zina matatizo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna singo Mother mmoja alinitongoza yeye mwenyewe kipind nikiwa na mgogoro mzito na wife.

Wife nimempumzisha nmerudisha Kwao naishi singo.

Nkaona sio kesi, hebu nimkubalie tu nipate pa kupunguzia stress.

Siku ya Kwanza TU nmekula mzigo, kesho yk ananpigia sim mwanae kalazwa aghakan.

Nmefika TU, kanilengesha bill kwa wahudumu
"Baba Mtoto ndo uyu hapa keshafika"
Wahudumu wananikabidhi bill.

NKAONA SIO KESI, nkalipa yote tukaondoka.

Siku ya nyingine, nkala mzigo.
Kesho yake ananipigia
"ukitoka kazini naomba lift, Sina nauli nmemleta mwanangu shule"

Kufika tu eneo la shule, ananambia Mtoto anadaiwa ada na isipolipwa yote Mtoto anarudishwa nyumbn.

Nkamwabia wasiliana na baba ake, akasema hawez kumtafuta maana aliikataa mimba.

Nkasema isiwe kesi, NTACHANGIA NUSU YA ADA,ILIYOBAKI UTACHANGIA MAANA UWEZO UNAO.

Akakubali kishingo upande.

Nkalipa cash nusu Deni, kwa sharti Mtoto aendelee kusoma nyingine baadae.


Baada ya hapo akaanza sarakasi, kutoa mzgo ikaanza kua mbinde,

Vijimaneno vya hapa na pale vikaanza
"Siamini Kama unanipenda, wanao wanasoma shule za gharama ila mwanangu shule ya kawaida tu afu Ada unalipa pungufu"

NKAONA MPUUZI UYU, Fadhila ameifanya imekua wajibu.

NKAONA ISIWE KESI, nkamkatia kabisa Mawasiliano.

Alipoona Nmemkatia Mawasiliano, akaanza kujileta leta leta nyumban majiran wajue ndo natoka nae.

NKAONA ASINILETEE KIWINGU UYU, nkamrudisha Mama watoto kabisa nyumban.

NA NDO UKAWA MWISHO WA MCHEPUKO ULE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sio chai kweli? [emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amani itakuwepo endapo Aliyemzalisha hana time naye.

Amani itakuwepo endapo hampendi aliyemzalisha.

Amani itakuwepo endapo aliyemzalisha ni choka mbaya.

Amani itakuwepo endapo aliyemzalisha anaakili na hapendi kuvuruga mahusiano yenu.

Vingine unajidanganya.

Mimi nimemzisha binti mmoja kutoka kanda ya ziwa. Nikamtelekeza kwa sababu za kiitifaki. Yule mwanamke ameshapata mwanaume mwengine wanaishi wote.

Cha ajabu Mwanamke ndio ananipigia simu akitaka nimcharaze tena. Anasema Mimi ni mzazi mwenzake hivyo anahaki ya kuniomba huduma ya penzi.

Mimi nilishangaa. Nikamwambia sitathubutu kumharibia jamaa aliyekutunzia heshima kwa kufuata hisia zako. Tuligombana sana ati namkatalia kumtooomba.

Yeye ananiita mume wake. Huwezi amini ndoa ile ipo mikononi mwangu. Nikiamua kupasha napasha muda wowote.

Lakini nimekataa huu mwaka wa pili kwa sababu ya heshima yangu kwa mshkaji ambaye hata hivyo simjui.

Hivyo Mkuu, usidhani upo salama sana. Kuna ndoa zinaishi kwa hisani ya Wababa waliozalisha wanawake mliowaoa.

Pia siri zenu zote na mambo yote utakayomfanyia wao wanatuambia. Mfano ni huyu niliyemzalisha. Akiudhiwa kidogo mashtaka lazima ayalete kwangu.

Mimi ndio namtuliza na maneno ya faraja anapoa.

Usicheze na wanawake Boss.

Nitaanzisha Uzi kuwahusu hao single mother. Case study atakuwa niliyemzalisha akaolewa na mtu mwingine.
Hii situation naishuhudia kwa room mate wangu, mume wake yupo Dar, mzazi mwenzie Arusha kila weekend Arusha tu, Dar mbali
 
Back
Top Bottom