Heisenberg blue meth
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,310
- 1,633
AiseeeHii situation naishuhudia kwa room mate wangu, mume wake yupo Dar, mzazi mwenzie Arusha kila weekend Arusha tu, Dar mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeHii situation naishuhudia kwa room mate wangu, mume wake yupo Dar, mzazi mwenzie Arusha kila weekend Arusha tu, Dar mbali
Yan acha tu
[emoji23][emoji23][emoji23]Dawa ya single maza ni kumzarisha watoto weng kuzid uliomkuta nao!!! hapo usumbufu kwisha
Poleni
Nimecheka huyooWatu hawaoi ili wazazi waridhike. Ila upo sawa Ni hatari kuoa mtu mwenye familia na mtu mwingine, inahitaji uwe mwanaume kweli kuweza kumtuliza. Wanaume wa aina hiyo wapo ila wachache, huku nilipo kuna mtu kachukua mwanamke aliyezaa na mwanaume watoto wawili na alikuwa anaishi nae. Kaoa kapeleka watoto shule za maana na jamaa anamuonaga mama watoto wake akipita tu na mgari mjini. Hata salamu hawezi toa, anatoa povu tu kuwa atalipiwa na Muumba, ipo siku atapata ila ndo hivyo mwanaume keshafanya yake.
kafikisha 30??Hakuwa na imani na mm aliniona kama vile sina malengo naye, bado hajaolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu ukute hata mimba hujatungisha kwa mkeo unapiga bra bra nyingi lazima uisome namba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unabaki umejikwinyata km kakuku kagonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaaa, number yake hata sisave huwa akinitafuta tunachati tukimaliza nafuta kilakitu ndo mpaka anitafute tena, mbaya zaidi bado mzigo nakula
Poa umeelewekamuwe mnawazarisha watoto weng na wa kutosha kuliko ulimkuta nao ndo atamsahau mzaz mwenzie