Pole sana...

Ndiyo ununue viatu vipya na siyo used...

Anyways huyo alikua na mambo yake bado rohoni...



Cc: mahondaw
 
Duke Tachez,
mzee umeshawahi kuishi U.S.A?

Hapana, sijawahi kuishi nchini Marekani. Sehemu kubwa ya maisha yangu zaidi ya miaka 25 (I'm 29 nw) nimeishi hapa hapa nchini Tanzania mikoa ya Arusha, Mbeya na Dar es Salaam.

Kwa nini umeuliza hilo swali?
But lazima utakuwa ushaishi mbele...viengereza vya sisi tuliosoma ud,udom tunavijua
 
Nimekaa na kutafakari kwa kina sababu zinazomfanya kijana wa kiume kuoa single mother ila sijapata majibu sahihi.

Kwa mila na tamaduni zetu kuoa mwanamke asiye na bikra na ukamtolea mahari unaruhusiwa kuomba mahari yako irudishwe endapo ukiamua na wazazi watarudisha na binti utaendelea kuwa nae.


Ila kitendo cha kuoa mwanamke aliyezalia nyumbani (Single Mother) hili ni kosa kubwa ambalo linaweza kukufanya utengwe na familia pamoja na ukoo mzima na ikiwezekana kutoruhusiwa kutumia ubini wa ukoo wenu, maana hutafsiriwa kama kuleta mkosi na laana katika familia na ukoo.

Sasa mimi naomba kuuliza kwa hawa wengine wanaoamua kuoa wanawake wa aina hii walioshindwa kujitunza katika maadili yaliyo sahihi je"

Wanakuwa hawana uwezo wa kuzalisha?

Wamekataa tamaa ya kupata mwanamke mbichi?

Wamelipwa ili wawaoe?

Wamelogwa au kupewa limbwata?

Wanalelewa yaani tegemezi?

Uwezo wao wa kufikri ni hafifu?

Hawajui madhara ya kuoa mwanamke wa aina hiyo?

Binafsi mpaka sasa sijajua watu wanaoa wanawake wa aina hii wanakuwa ni watu wa aina gani na wanakuwa katika hali gani.

Kwa mwenye kujua anaweza kunisaidia ili nami nijue siku njema.
 
Yote hayo ya nini ndugu yangu? Sababu single mother ni dubwana dudu la ajabu rti halipaswi kuolewa?
Wewe oa ambao unawahitaji na wanaooa single mother waache usitake kujua kwa nini wamewaoa.
Kutaka kujua ya nyumba ya pili ni umbea rafiki utagombana na majirani.
 
Pole sna ndugu yngu ila lazima ujue shule zimefungwa kipindi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo watu wanaoa single mother kwa kufuata urahisi zaidi kwa walioshuka thamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni rahisi ku bargain kwenye kitu used tofauti na kitu kipya mkuu. If you know you must understand.
Mf. ukienda Karume unaweza nunua raba kwa sh.10,000 ila raba hio hio hata ikiwa mdosho dukani huwezi ipata kwa chini ya 25,000!
 
Single mother hamtaki ila wake za wenzenu watamu. Jinga wewe!
Wake za watu watamu alafu sio wasumbufu yaani wee unagegeda wala utaletewa presha za kijinga za oh jamani mbona mzabzab una nigegeda tuu utanioa lini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…