Dawa ya mtu kama huyo, ni moja tu anza kurudi usiku na asikuuliize kitu atarudi katika mstari mwenyewe ,lewa gonga pombe kama ni mdau, ukirudi nyumbani uwe chakali but play smart sio lazima ajue ukitoka unakula swala za nje pia sio lazima, yani piga gambe na utakachokutana nacho huko nje shughulikia vilivyo gonga nyapu stress zitahama mwanamke ukimpa attention saba anakupanda kichwani, akiona nawe huna muda nae akili itamkaa, ukirudi home umekua mwepesiiii akikuuliza mwambie you are the reason i ave changed so tuendele tu lifestyle hii, ni lazima ataumiza kichwa na atataka amani maisha ni mafupi sana kwa mpuzi mmoja kuuchezea akili.. Kiume zaidi