Kuna wanawake wanapenda ainanya vijana wale wapiga chuma ila hawawezi kutunza mwanamke na mtoto.

So wakishazaa nao huwa wanahangaika kutafuta mwanaume atakaye wahudumia yeye na mtoto ia mioyo yao huwa bado inakuwa imebakia kwa wale vijana. So akipata mahitaji yake moyo huwa unadai sana....

Ukweli ni kwamba ingawa watu husema mwanamke haridhiki na hajui anachotaka ila ukweli ni kuwa mwanamke anahitaji affection zaidi ya anavyotaka pesa.

Pesa kwa mwanamke ni kwaajiri ya kumpa mahitaji yake ambayo humpatia utulivu wa akili na si vinginevyo.

But maswala ya kitandani ni muhimu zaidi kwao sababu ndipo akili yao hupata msasa wa utulivu wa akili.

Ni ngumu sana mwanamke kupata mwanaume ataefanana na anaempatia vema kitandani na huwa hawawasahau hawa watu. Ila ni rahisi sana kumsahau mwanaume ambaye anampatia pesa na mahitaji pale akimpata mwenye uwezo wa zaidi juu ya huyo au mwenzake mwenye kipato sawa.

So kama ulimteka hisia zake kwa kutumia gear ya kumudu gharama zake na mtoto wa mwanaume mwenzako basi jiandae kuumia. Ila kama ulimteka kwa hisia kwa kumudu mahitaji yake ya mwili then hapo wala usiwaze....
 

MTU kama Sio malaya anaakuwaje single mamaa wa watoto wawili wa babaa wawili tofauti ? hee au kastaafu duuuh ? Ebu nieleweshe mkuu.
 
Single parent walioachika wakike wote ni Malaya
Sawa mkuu, na hiyo maanayake ukiona singo mama maana yake lazima kuna singo baba (kama hajafariki).
Sasa swali langu ni, je Hawa singo baba wao wanaitwaje....??
 
Role model wako?
Akiwa anagegedwa na michepuko unamuonaga?

Moyo wa mtu ni kichaka
 
Ni kweli uhawara hauna talaka,wakikutana kwenye mazingira rafiki lazima wapashe kiporo.
 
Hivi humu JF kuna chama cha wagumu wa kukataa single mothers, tupeane ushauri jamani?
 
MTU kama Sio malaya anaakuwaje single mamaa wa watoto wawili wa babaa wawili tofauti ? hee au kastaafu duuuh ? Ebu nieleweshe mkuu.
Single mother mwenye watoto wawili wa baba tofauti na aliyetoa mimba za 5 za wanaume wanne,halafu alitembea na wanaume wengine ishirini ambao wakumpa mimba yupi malaya zaidi?
 
Nafikili umalaya ni tabia ya mtu
Kuowa single mothers ni jambo ambalo lakipekee nalo
Kifupi mungu ndie anaejua[emoji1317][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…