Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Kuna wanawake wanapenda ainanya vijana wale wapiga chuma ila hawawezi kutunza mwanamke na mtoto.
So wakishazaa nao huwa wanahangaika kutafuta mwanaume atakaye wahudumia yeye na mtoto ia mioyo yao huwa bado inakuwa imebakia kwa wale vijana. So akipata mahitaji yake moyo huwa unadai sana....
Ukweli ni kwamba ingawa watu husema mwanamke haridhiki na hajui anachotaka ila ukweli ni kuwa mwanamke anahitaji affection zaidi ya anavyotaka pesa.
Pesa kwa mwanamke ni kwaajiri ya kumpa mahitaji yake ambayo humpatia utulivu wa akili na si vinginevyo.
But maswala ya kitandani ni muhimu zaidi kwao sababu ndipo akili yao hupata msasa wa utulivu wa akili.
Ni ngumu sana mwanamke kupata mwanaume ataefanana na anaempatia vema kitandani na huwa hawawasahau hawa watu. Ila ni rahisi sana kumsahau mwanaume ambaye anampatia pesa na mahitaji pale akimpata mwenye uwezo wa zaidi juu ya huyo au mwenzake mwenye kipato sawa.
So kama ulimteka hisia zake kwa kutumia gear ya kumudu gharama zake na mtoto wa mwanaume mwenzako basi jiandae kuumia. Ila kama ulimteka kwa hisia kwa kumudu mahitaji yake ya mwili then hapo wala usiwaze....
So wakishazaa nao huwa wanahangaika kutafuta mwanaume atakaye wahudumia yeye na mtoto ia mioyo yao huwa bado inakuwa imebakia kwa wale vijana. So akipata mahitaji yake moyo huwa unadai sana....
Ukweli ni kwamba ingawa watu husema mwanamke haridhiki na hajui anachotaka ila ukweli ni kuwa mwanamke anahitaji affection zaidi ya anavyotaka pesa.
Pesa kwa mwanamke ni kwaajiri ya kumpa mahitaji yake ambayo humpatia utulivu wa akili na si vinginevyo.
But maswala ya kitandani ni muhimu zaidi kwao sababu ndipo akili yao hupata msasa wa utulivu wa akili.
Ni ngumu sana mwanamke kupata mwanaume ataefanana na anaempatia vema kitandani na huwa hawawasahau hawa watu. Ila ni rahisi sana kumsahau mwanaume ambaye anampatia pesa na mahitaji pale akimpata mwenye uwezo wa zaidi juu ya huyo au mwenzake mwenye kipato sawa.
So kama ulimteka hisia zake kwa kutumia gear ya kumudu gharama zake na mtoto wa mwanaume mwenzako basi jiandae kuumia. Ila kama ulimteka kwa hisia kwa kumudu mahitaji yake ya mwili then hapo wala usiwaze....